Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna jipya? Kuna sura za kuboa kama ilivyokuwa? Nani PM? Size ya baraza je? Binafsi sitarajii jipya kabisa.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
1.Spika atakayelinda maslahi ya mafisadi. 2.Spika ambaye hataruhusu mijadala aina ya richmond,epa,meremeta,tangold,mikataba mibovu ya madini,vitalu vya wanyamapori n.k..... 3.Spika ambaye yuko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Waziri Sitta amekamatwa kwa tuhuma ya kutaka kutoa rushwa na TAKUKURU mkoani Tabora. Sitta amekamatwa na fedha zaidi ya millioni moja na bahasha za kaki 140 na simu za mkononi aina ya Nokia. Sitta...
0 Reactions
95 Replies
14K Views
Kulikoni hapo jameni? Mbatia analia na Chadema!! Mzee wa Nji hii nae vivyo hivyo!! Hivi kwanini na wote wako jahazi moja?? kuna siri gani iliyo sirini hapo???:thinking:
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Cabinet mpya hii hapa Kikwete anatarajia kuchanganya sura mpya chache na za zamani nyingi kwenye baraza lake la mawaziri analotarajiwa kulitangaza wiki ijayo. Aidha huenda akapunguza ukubwa wa...
0 Reactions
41 Replies
6K Views
Eti kirefu cha CCM NI Chaka Chua Matokeo
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I am not in any way disputing the qualities of Mabere Marando, just simply posing the question of the best most likely candidate who could win uspika wa Bunge. This is Chadema's opportunity to...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
UKISHANGAA nguvu ya mafisadi kuhakikisha wanamuweka speaker atakayewalinda, UTAZIMIA ukisikia baraza la mawaziri. Kwa mwenye kusoma nyakati ameshajua kina nani watakuwa mawaziri, kina nani...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Am not saying it will happen, but it can happen - Chenge kukutwa na hatia na kesi zake na jimbo la bariadi kuwa wazi, uchaguzi kurudiwa - Dr. kusimama kama mgombea bariadi - This will be the best...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Fuatilia hapo uangalie mkatunist alivoweka mambo. DORY | Facebook
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ati umefika wakati wa mwanamke kushika muhimili mmoja wa dola. Ratiba hiyo anayo nani? Ikiwa ipo, tuambiwe basi ni lini CCM imepanga mwanamke awe Jaji Mkuu. Si vibaya pia, CCM ikatanabaisha ni...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Mwaka huu wataumwa matumbo ya kuharisha mpaka basi. Serikali haina hata wiki ilishaanza kusafisha mafisadi; na kuumbuliwa within the same week. PCCB wanaipaka mavi serikali ya JK just on the...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Uteuzi wa CCM kwenye kiti cha mkuu wa bunge unaweza kuwa ni nafuu kwa upinzani. Sisi hapa ni watu tunaofikiri beyond today, tuache kulalamika sana kuwa walioteuliwa watabana upinzani, what am...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Haya madudu ya sasa hivi ya CCM – yaani kujichanganya na kwa Mkuu wa kaya kuonekana kukaa kimya bila ya kauli yanaonyesha kwamba kuna vigogo wengine, mbali na Chenge na Dr Rashid waliopata...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
TUME ya Taifa ya Uchagzu (Nec) imetangaza kuwa uchaguzi wa wabunge katika majimbo saba ambayo haukufanyika Oktoba 31 mwaka huu, utafanyika Jumapili ijayo. Kwa mujibui wa taarifa iliyolewa na Nec...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
I wish this could be the combination.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Tunaona Hivi Karibuni CCM Wanachagua Spika wa Bunge. Hiki Chama ni Kichekesho Tupu. Katika Wananchi Wote na Hao Wanachama Wao Kila Leo Wanayarudia Majina Yaleyale Style ya Recycle Ideas. Anna...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hatimaye chama kimeaua mhimili wa tatu utawaliwe na mama. Wametumia kigezo kipi kumondoa mama wa Peramiho? Basi njia iko wazi kwa Wakili Msomi
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu,naomba mwenye sababu zozote za msingi ni kwa nini Dr Slaa hakufanya mkutano na waandishi wa habari J2 iliyopita?Tunapenda sana kumsikia Mpambanaji wetu shujaa wetu.Je lini atatuhabarisha?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
CCM ni chama kilichopoteza mwelekeo na mvuto kwa sababu ya kukumbatia ufisadi. Natoa angalizo mambo yanavyoendelea ndani ya CCM inaashiria kinaelekea ukingoni. Ubinafsi, jeuri na uzandiki ndio...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom