Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna njia nyingi za kuingia mjengoni na siyo lazima uwe na kundi maalum la uwakilishi. Hatimaye yule dada afisa wa benki kuu na mburudishaji wa wakuu, asiyeogopa hadhira katika mavazi yake kaingia...
0 Reactions
32 Replies
8K Views
NAJITOKEZA KUIPONGEZA CCM SIKU CHACHE BAADA YA KUCHAKACHUA KURA NA KUPATA KUSHINDA UBUNGE NA URAISI KILOMBERO,BEI YA CEMENTI YAPANDA KUTOKA 12,500-14,000 KWA MFUKO,NA HIYO NDIYO MAANA HALISI YA...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Napenda kutoa pongezi kwa Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete na pia kwa Chama cha mapinduzi (CCM) watz twasema mapinduzi tumeyaona.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
1. Kuwa karibu na wanachi hadi wakuzoee na kukuamini. 2. Ujichanganye na wananchi hadi wakuone ni mwenzao. 3. Utumie kwa uangalifu ushawishi wako na elimu yako hadi ilete mwanga mawazoni mwa...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Mwaka huu na kuendelea, kila baada ya kuahirishwa kwa vikao vya bunge, kufanyike upimaji wa mimba na Ukimwi kwa lazima. Tunataka tujua kama kweli wabunge wote 95+ wa viti maalumu, wanakwenda...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
KJ hana ubavu wa kuacha kumteau January Makamba kuwa Waziri kamili au Waziri Mdogo: Najua JK akiona hii atakasirika sana, hapendi kuonekana anafanya kama mnavyotarajia. Atamteua January kwa...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA amesema, Chama chake kiko tayari kushirikiana na vyama vingine vya upinzani bungeni vyenye nia ya dhati ya kufanya hivyo. Amesema, kwa maana hiyo CHADEMA imeacha...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
hili suala la wabunge wa viti maalum binafsi linanichanganya. CCM chadema na cuf wanafurahia kupata wabunge hawa japo wanajua fika wamechaguliwa kutokana na sababu mbalimbali ikiwamo (kuwa na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, baada ya kumalizika kwa shughuli za uchaguzi mkuu kundi kubwa la watanzania wanamshukuru Mungu kwamba uchaguzi umemalizika kwa amani na Tanzania inaendelea kuwa kisiwa cha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu! waweza fikiria ni kichekesho!!!!!!!!!!!!!!!!Augustine Mrema ni MP elect,more nyuzi to come!
0 Reactions
80 Replies
10K Views
  • Closed
Naomba kujua kuhusu Shyrose Bhanji. Amekumbukwa au amechinjiwa baharini tena?
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Tume ya Uchaguzi imetangaza nafasi 104 ya wabunge wa viti maalumu kwa mgawanyo wake wa kuweza kuingazia uwiano wa wingi wa kura za ubunge. Hivyo baada ya kukokotoa uwiano wa viti hivyo CCM...
0 Reactions
3 Replies
5K Views
RAIS wa Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein, amemteua Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad kuwa Makamu wa Kwanza wa Rais wa Serikali ya Umoja wa Kitaifa Maalim Seif amewahi kushika nyadhifa...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Jamani najiuliza maswali sipati jibu.hivi umaarufu wa zitto kigoma,ameshindwa kuisaidia CHADEMA kunyakua majimbo zaidi?kwa nini imekuwa NCCR MAGEUZI kinara huko?ina maana Zitto hakufanya jitihada...
0 Reactions
47 Replies
7K Views
Hi JF Hivi wabunge wa CHADEMA waliochaguliwa ni wangapi? Ni yupi si mbunge katika orodha hii chini? 1. Wapinzani walioshinda hawa hapa 1.Halima James Mdee -Kawe/Chadema 2.Tundu Lissu -...
0 Reactions
2 Replies
5K Views
Umeshaoyesha huwaamini viongozi wa CCM, na wa SERIKALI ambao umewateua wewe kwa kufanya BMW campaign, sasa UNAENDELEA KUKAA NAO WA NINI?? Badilika ili kesho na kesho kutwa tukikuuliza swali kuwa...
0 Reactions
31 Replies
3K Views
N aamini watendaji wako Mh. Rais Kikwete wanasoma taarifa mbalimbali kupitia jukwaa hili hivyo watakupa salaam zangu. Ninaandika haya kama raia wa Tanzania mwenye nia njema na maendeleo na...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Umati uliofurika unatisha. Ni maelefu kwa maelfu. Vuvuzela za wapinzani wake zilipigwa ili watu wasisikie vizuri lakini wapi, watu wamekomaa tu. Ama kweli Slaa anapendwa. Baada ya kumaliza...
0 Reactions
35 Replies
5K Views
1. MANISPAA YA ILALA The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage JIMBO LA SEGEREA HALINA MATOKEO, 2.MANISPAA YA KINONDONI The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF, Katika kutafakari saaana na kuangalia ndani ya CCM kwa wale walio chukua form kuwania nafasi ya USPIKA wa Bunge(10). Nimepatwa na wasiwasi saana, kwani naonavyombo vyote vya...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Back
Top Bottom