Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

BAADA ya kumalizika kwa uchaguzi mkuu, Chadema imeibuka kidedea kwa nafasi za ubunge katika majimbo mawili ya Maswa Mashariki na Maswa Magharibi Mkoa wa Shinyanga ,viongozi wa CCM wilayani humo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
kama mashabiki wa jk walisherehekea ushindi wake kwa sbb tu aliwashinda akina dk ws na wenzake, basi ninaweza kusema walifaidi unono huo kwa 100%. ni ukweli usiopingika kwamba sekunde ya kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na ushindi wa kuridhisha wa CHADEMA, ulioniduwaza zaidi ni wa NCCR Mageuzi. From no where, chama tulichokuwa tunakiona kimekufa, kimeweza kuibuka na kubeba majimbo matatu (kama sio mawili)...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Jana nillikuwa katika jimbo la uchaguzi la karatu na nilikutana na watu wengi wenye maswali yafuatayo. 1.Je matokeo yaliyotangazwa na tume nec yanatofauti gani na matokeo kwenye vituo? 2.Je Dr...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Dr Shein amemteua maalim Seif kuwa makamu wa kwanza wa rais na balozi Seif Idd kuwa makamu wa pili wa rais... government of national unity in the making
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Monday, 08 November 2010 01:07 0diggsdigg Dk Willbrod Slaa Salim Said JOPO la viongozi wa dini limefanya ziara ya ghafla kwa aliyekuwa mgombea wa urais kwa tiketi ya Chadema, Dk Wiilibrod...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana JF mi huwa najiuliza CCM ina mali nyingi ambazo wazazi wetu na sote tulizichangia km vile viwanjavya mipira (Jamhuri, kirumba nk) ofc nyingi tu. Je kuna uwezekano zikarudi serikalini maana ni...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Watanzania wamebahatika kuwa katika nchi yenye kila namna ya utajiri. Mali asili nyingi zinatumiwa na watu ili kujiingizia kipato. Moja kati ya maliasili zetu ni maziwa ambamo mwamo tunavua...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ndugu zangu wote mliopenda na kutamani kuiona Tanzania mpya, nawapa hongera kwa kazi nzuri sana ngumu ambayo mmeifanya. Nimepokea huu ujumbe mzuri na naamini utawafaa katika kipindi hiki...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimefuatilia nyendo za mbunge mchaguliwa wa jimbo la Monduli Edward Lowassa tangu alipofika Arusha saa chache kabla NEC haijatangaza mshindi wa kiti cha ubunge wa jimbo la Arusha mjini. Inaonekana...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF; Nimerejea baada ya safari ya takribani wiki mbili ili na mimi niweze kutumia vema haki yangu ya kupiga kura. Nikishapiga kura naondoka tena nikaendelee na harakati za maisha. Nimesikia...
0 Reactions
781 Replies
59K Views
Halmashauri nane nchini zitaongozwa na vyama vya upinzani baada ya kupata viti vingi vya udiwani katika Uchaguzi Mkuu wa wiki iliyopita. Halmashauri hizo ni Karatu, Manispaa ya Moshi, Kigoma...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Dr Willibrod Slaa of the Chadema must swallow his vain pride and accept the verdict of the Tanzanians in the recently concluded General Elections. Despite a few minor glitches that...
0 Reactions
0 Replies
738 Views
Waziri mkuu aliye jiuzu(si kustaafu) E.Lowassa angejua kwamba chochote anachofanya kujisafisha anajiaribia zaidi angefuata ushauri wa bure anaoupata hapa JF.Huwe kuwadhulumu Watanzania...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Opposition MPs First 11: A team of rivals? Following the just concluded general election (which the whole world knows was clearly rigged), Tanzania is set to have a formidable team of around 100...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kauli ya JK jana kwenye hotuba ya kuapishwa kwake ambapo alikiri upinzani uliwasumbua na ilibidi wajipange upya na kufanya kazi ya ziada ili kushinda uchaguzi huu ulimwelewaje? Mimi tafsiri yangu...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Ndugu Wana JF, Nimepata taarifa kutoka kwa mtu wa karibu wa maalimu Seif Sharif Hammad ambae anaitwa Mr Ismail Jussa Ladhu kama ilivyo andika kwenye facebook page yake hapa chini. Ismail's...
0 Reactions
33 Replies
5K Views
Hii Habari hapo chini ni safi sana nimeitoa huko ippmedia. 1) Mimi nina support mapendekezo ya a much more independent Electoral Commission 2) Kuungana upinzani ili kuiondoa CCM kwani inanuka 3)...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Utawala wa kifisadi hapa Tanzania mlezi wake ni CCM. Ushindi wa CCM hutegemea sana ufisadi hivyo ni vigumu sana chama hiki kuondoa ufisadi Tanzania. Wakati wote wa kampeni hatukusikia wagombea wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Pole sana na hekaheka za uchaguzi na majukumu mazito ya kuliongoza Taifa letu. Ni dhahiri kwamba kwa sasa utakuwa unaipanga serikali utakayofanya nayo kazi kwa miaka mitano ijayo. Na hili ni...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Back
Top Bottom