Kwa mafanikio makubwa kabisa ya W.P. Slaa (PhD) aliyoyapata ktk siasa za Tanzania, Napendekeza sote tumwandalie sherehe kubwa kabisa ya kumpongeza. Pia yawepo maandamano kila mkoa ya kumpongeza...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete
Kazi kubwa inayomkabili Rais Jakaya Kikwete baada ya siku chache zilizopita kuapishwa kuwa rais wa Jamhuri ya Muungano kwa kipindi...
Salamu za pongezi zaendelea kumiminika
Tarehe: 8th November 2010 @ 21:15 HabariLeo
SALAMU za pongezi kutoka ndani na nje ya Tanzania, zimeendelea kutolewa kwa Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa...
1. Andaa vielelezo vyote vya wizi wa kura uvisambaze kwenye Ofisi za kibalozi na jumuia za kitaifa na kimataifa.
2. Uwe makini na sheria za kifisadi za TZ za kumuweka mtu kizuizini kwa machafuko...
katika facebook yake,Dr Salaa ameandika hivi:
Tunaulizwa kwaninii hatukushiriki kutangazwa au kuapishwa kwa JK
Tungeweza vipi kuhudhuria kutangazwa kwa mshindi au kuapishwa kwa Rais ambaye...
Kufuatia babari na taarifa zilizo patikana kutoka kwa mawakala wa mgombea wa CHADEMA, wametua tawimu zilizo kusanywa nchi nzima na zinaonyesha kwamba mgombea wa chama tawala CCM J.M. Kikwete...
Kumbe wakati matokeo yalipoanza kutangazwa na kuonekana jk anatupwa mbali, mkuu alizirai na kwa mara ya kwanza madaktari wake wakagundua analo pia tatizo la presha na kkisukari, ndo maana nec...
baada ya matokeo ya ushindi wa ccm kutangazwa tandahimba cuf wapingana na matokeo kwa kufanya vurugu wachoma nyumba na gari la mshindi moto...
hiyo ni demokrasia gani?
Nimekuwa nikifuatilia maoni ya wanaCHADEMA, humu Jf na hata mitaani, na wengi wanalaani kushindwa uchaguzi wa mwaka huu na kusema tusubiri 2015, CCM itaanguka.
Ninachotaka kuwaasa ndugu zangu...
Jamani kuna tetesi ya mtu muhimu mmoja wa chadema aliekuwa akifuatilia database in making comparison of what has been published by NEC has been lost since yesterday.
A case has been reported to...
Akihojiwa na BBC kwamba watawafanyia nini Watanzania kiasi cha kukifanya Chama chake kionekane cha maana tena mbele ya umma na hivyo Watz wakipigie kura 2015, Makamba(Yusuf) alisema:
"...
Pamoja na Sera za msomi Dr. Slaa kuwa nzuri na Mkwere Kikwete kuzikubali, atakuwa na ubavu wa kujitenga na mafisadi na kuteuwa baraza dogo la mawaiziri pamoja na speaker wa bunge ambaye si...
Ndugu wana JF, Ndugu Watanzania wenzangu, mabibi na mabwana, vijana na wazee, napenda kuchukua nafasi hii kuwapongeza wote walioshiriki kwa namna moja au nyingine katika kufanikisha uchaguzi huu...
Kikwete Mungu akupe neema utambue kuwa watu wamekuchukia gafla!!!!!hasa kwetu Mwanza,ulitudanganya kwamba
''Mwanza ingekuwa Califonia ya tanzania''ukatuona mazoba,na hatusahau ulivotaka...
Tanzanians will go to the polls on 31 October 2010 to elect the President of the United Republic of Tanzania, President of Zanzibar, Members of Parliament and Members of the Zanzibar House of...
Nilimskiza vizuri huyu mtu hatari anayeitwa waziri mkuu mstaafu (na TBC) wakati akizungumzia masuala aliyoyaita uzushi wa Dr. Slaa.
Alisema "Dr. Slaa hazijui siasa za nchi hii". Wingi wa watu...
Kuna tetesi kuwa JK ameamua kufanya kweli, baada ya Lipumba kumtambua sasa kumpa uwaziri mkuu au kuunda nae serikali ya umoja wa kitaifa kwa kuchagua akina Rashid mohamed kuwa mawaziri wa JK nk...
Kwa kulingana na ilani ya ccm, baraza la mawaziri wa Tanzania litakuwa na mawaziri wasiopungua 47, na kwakuwa huwa wana tabia ya kulipa fadhila, haitatushangaza kusikia hata Mama Salma Kikwete...
Uganda: Universal Alevel starts next year THE NRM 2011 presidential candidate, Yoweri Museveni, has promised free education for Alevel students starting next year.
Museveni made the...
Haya mambo ndo yanawachanganya viongozi wetu wa africa kuto achia madaraka..
Just imagine hapo angekuwa Dr Slaa sijui angeomba awe na mkewe au Davis M?
Asikwambie mtu kuongoza nchi kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.