Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nimesoma kwa masikitiko makubwa juu ya kile ambacho Chenge anataja kuwa sababu yake ya kugombea nafasi ya Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kipindi cha 2010-2015. Chenge...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
NGUVU YA ZIADA na KAZI YA ZIADA katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu ni nini?
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Binafsi sikukupigia wewe kura yangu ingawaje niliwapigia kura wagombea wa chama chako ngazi nyengine. Kampeni zako na za wapinzani wako ndizo zilizoniongoza kufanya hivyo. Najua machungu...
0 Reactions
50 Replies
4K Views
Ni jambo la wazi kuwa Watanzania wengi waliokupigia kura mwaka huu 2010 wanahamu kubwa kusikia kutoka kwako juu ya shughuli zako za kila siku za kutuongoza watanzania katika kuiendeleza nchi yetu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
msikilize mjane huyu anvyotoa ushuhuda wake 0765 152219
0 Reactions
0 Replies
976 Views
Ndugu wapenzi na washabiki wa Mabadiliko na Maendeleo, sote tunajua kabisa kuwa kuna sehemu CHADEMA imezulumiwa ushindi ktk baadhi ya Majimbo. mfano mzuri ni SEGEREA, BKB TWN, TRM, Kilombero...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Jamani tuachane na mambo ya kulumbana, cha muhimu hapa ni tume huru na katiba mpya, basi.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hata mwanangu wa miaka miwili anajua Lowasa ni fisadi. Nilimuonesha jana kwenye TV. Nikamuita: "mwanangu njoo uone fisadi kwenye TV". Akaja. Hawa CCM tunawaweza. Ni suala la kuthubutu tu.
0 Reactions
36 Replies
5K Views
Uchaguzi umemalizika sasa na matokeo yameshatangazwa. Ma-Rais waliochaguliwa wameshatangazwa, mmoja alishaapishwa, mwingine bado ni mteule naye ataapishwa muda si mrefu (kama bado). Wabunge nao...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
"blue"]Rais mteule wa Zanzibar amewateua wajumbe wanane kuingia katika baraza la wawakilishi litakaloapishwa hapo kesho, wajumbe 6 wanatoka CCM na wawili wanatoka CUF. Wajumbe hao ni Omary Yusuf...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Kwa kuwa mwaka huo watu katika jimbo likozaliwa waikataa CCM kwa kuchagua CHADEMA; Kwa kuwaunga mkono ntafanya operation otesha miti katika kijiji nilikozaliwa. Shughuli ninategemea kufanya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kama ni kweli Maalim Seif alipata kura 211,000 na Shein kura 161,000 halafu wakakaa mezani pamoja na Seif akiwepo, ili kupanga namna ya kumpunguzia kura Seif na kumuongezea Shein ili kuipa ushidi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani mmeskia jinsi mh. Mrema anavyomfagilia JK kuwa matokeo ni ya halali na hivyo Dr Slaa hana budi kuyakubali na wapinzani wasiyabeze matokeo hayo. Anasema JK amewaacha kwa mbali wapinzani wake...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
ubungo.......CHADEMA kawe...........chadema iringa mjini.....chadma mbeya mjini.....chadema moshi mjini.......chadema kigoma kaskazini.....chadema tanga mjini......CUF mtwara mjini.....CUF...
0 Reactions
373 Replies
47K Views
Mgombea wa chadema aliyetarajiwa kuwa ktkt list ya wabunge wapya amelizwa na jamaa wa tume. kwa habari tokakwa muhusika ni kwamba jina lake na picha yake vilionekana kama ni mgombea wa ccm. hivyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
WAKUU, NAULIZA KUTOKANA NA FUNUNU ZILIZOJAA HUKU KIJIJINI KWETU,NI KWELI MH:DR SLAA KASAFIRI,KAMA NI KWELI ,JE NI KWA SABABU ZIPI?:israel:
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nilisikia bado ziko choko choko huko shinyanga mjini, hebu mtujuze mlio karibu na wanaharakati wa huko! Tafadhali!
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Tunashukuru uchaguzi umeisha salama bila vita au fujo kubwa. Kwa kuwa ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu ulikuwa na mizengo hata kupelekea CHADEMA na wanachama, mashabiki na wananchi kwa ujumla...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari kutoka Makao Makuu ya Chama Cha Mapinduzi, Dodoma, zinaeleza kuwa mwananchi mmoja aliyekipigia CCM kura katika Uchaguzi Mkuu uliopita amejifyeka nyeti zake kutokana na kile alichokieleza...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Methali hii inamaana kubwa sana,, na maana Hi ni kwa wale ambao waliboronga katika uchaguzi mkuu,, na walio shuhudia wenzao wakiboronga na kupata effects kubwa ikiwemo wengine kukosa Ajira yao...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom