Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna wabunge/madiwani wapo CCM hawapendi kabisa mtindo wa chama chao wa "Penye uzia pitisha rupia". Lakini ni waoga wasio kifani. Na tuseme si wabunifu. Wanadhani wamezaliwa kuwa wabunge/madiwani...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Hili lisiwashitue maana sasa hivi makada wa CCM ni njaa tu imewaweka huko na wala siyo mshikamano wa ki-itikadi na baada ya JK na CCM kupigwa mwereka na Dr. Slaa usishangae kuona kadamnasi ya...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Controversy over the two Tanzanian electoral commissions and alleged Special Branch involvement on the side of the ruling party in the just ended general election, deepened last week with...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec) imesema majina ya wabunge wa viti maalumu yatatangazwa wiki hii kwa ajili ya kuapishwa pamoja na walioshinda kwenye majimbo, ambavyo vitaamua ni chama kipi...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ili uchaguzi uwe huru lazima wapizani wapiganie watanzania wawe na national id yaani kila Mtanzania awe na kitambulishe cha taifa . Wakati wa kuandikisha wapiga kura liwe ni shart kuu la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
hakuna sababu ya kupigiana kelele........
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Hivi karibuni usalama wa Taifa, Rostam na Lowassa waliongea na vyombo vya habari na kukanusha kuwa hawakuhusika na uchakachuaji wa kura wakati wa uchaguzi. Rostam na Lowassa wakatoa vithibitisho...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Inasemekana na Zenji, maalim Seif Shariff Hamad alikuwa ameshinda kiti cha urais akalazimishwa kukubali matokeo na JK na jeshi ndipo akaanguka saini kukubali ye ni wa pili, kuepusha usalama wake...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Labda ni macho yangu lakini ile gari ni mil-grade kweli? Mi nadhani nimeona a customized Nissan Patrol. Hii imekaaje? Tumekosa gari mil-grade la kumbeba prezidaa wa nji hii kweli? Mpaka kwenye...
0 Reactions
34 Replies
6K Views
Ukiangalia Demographic Strong Hold ya Vyama Vya Kisiasa Tanzania, Utaona CCM Imebaki Nyuma Sana na Kupitwa na Vyama Karibu Vyote. Jambo ni Kwamba Kuna Hawa Viongozi wa CCM Hawawajui Wananchi na...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wapinzani walisema ccm ni chama cha mafisadi watu wapenda RUSHWA lakini mpaka sasa hakuna mgombea yoyte amekamatwa akitoa rushwa bravoo takukuru bravooo jk bravoo ccm
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mkurugenz wa NEC amekubali mwenyewe kwamba shughuli ya uchaguzi ya mwaka huu wamechemka,, Habari za uhakika zinatoka kwenye Gazeti letu la the Citizen leo zina sema Mkurugenzi Rajabu Kiravu leo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Tuwe makini. Humu ukumbini wameingia watu "virus" ambao nia yao ni kuona Chadema wanafarakana. Wapo watu wanaoshabikia na kusambaza sumu, kwa mfano kutabiri Zitto kutaka kugombea uongozi wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wadau hivi chadema wamepata viti maalumu vingapi bungeni?pia nimesikia kwenye magazeti ya kuwa chadema kupata viti maalumu rasmi,nimeshindwa kuelewa hili coz ninachojua hivi huwa anapewa nafasi...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nafikiri ni vema kwa Chadema kuendelea na uongozi wake wa juu kama ulivyokuwa kabla ya Uchaguzi; kitendo cha kujaribu kubadilisha NEC kwa sasa na kuingiza wageni ni hatari ila kama taratibu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Sioni Kama Kuna Umuhimu wa Viongozi wa CCM, Kikwete na Mawaziri Watakaoteuliwa Kutambulika Duniani. Hii Iwe Moja Wapo ya Initiative ya Nchi Zingine Kuadhibu Vyama Vyovyote Vinavyo Wakandamiza...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Tanzania lililomaliza muda wake, Samuel Sitta, ana hamu ya kuliongoza Bunge lijalo hivyo anatarajia kujaza fomu kesho kukiomba Chama Cha Maja sorry Mapinduzi (CCM)...
0 Reactions
106 Replies
10K Views
Ivi kwa nini tunaita huu WIZI wa kura UCHAKACHUAJI? Ni kwa ajili ya kupunguza makali ya ukweli wa jambo au vipi? Kwa nini tusiuite kwa jina lake sahihi - yaani WIZI? Tunataka kugeuza huu wizi kama...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom