Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Her hands bound and stretched Between heaven and earth Her life almost snatched As her skin torn, in gory She screams and cry In anguish she sustain excruciating pain Her tormentor mercilessly...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Katika medani ya siasa inapobidi, vyama vya siasa hasimu huona ni heri kufunga ndoa ya maridhiano, (marriage of convenience) ili kuepusha balaa. Ndoa hiyo ya maridhiano inayo mifumo mingi. Mfumo...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kama JK angeniomba nimchagulie mawaziri kumi ningechagua wafuatao. Waziri mkuu - Mark Mwandosya Fedha - Mustapha Nkulo Nje - Bernard Membe Ndani - January Makamba Madini - John Magufuli...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Tanzania electoral commissions under fire over handling of poll The East African, 8 November 2010 Controversy over the two Tanzanian electoral commissions and alleged Special Branch...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wimbo wa kichaa kweli. Tena kichaa kama Malaria Sugu. Watz wenyewe wamejua. Kuwa wimbo huu ni wa kichaa tu. Kwamba chadema ni cha kikabila. Eti kabila. Kabila gani? (Lyehaga nasege tam). Eti...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
  • Closed
Wakuu punde Dr. Slaa ataanza mkutano wake na waandishi wa habari kuhusu uchaguzi mkuu pale makao makuu ya CHADEMA Kinondoni, kwa wale mliopo huko tupeni update...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Mungu uko wapi. Mbona Tanzania inaanza kupoteza mwelekeo kwa haraka? Watu wanapenda mali na madaraka na UPENDO baina yetu unafifia. Au ndo utimilifu wa maandiko Matakatifu kwamba siku za mwisho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
TAARIFA RASMI KWA VYOMBO VYA HABARI NOVEMBA 5, 2010 Novemba 3, 2010 mgombea urais kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Wilbrod Slaa aliwatuhumu makada 30 wa Chama Cha...
0 Reactions
117 Replies
11K Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Dkt JAKAYA MRISHO KIKWETE amemteua Jaji Frederick Werema kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Ndugu Wana JF, na hasa wana-mageuzi. Malaria Sugu amejipambanua kuwa ni mtu mwenye dharau anayependa kukebehi na kusifia upuuzi. Ninashauri tumkatae. Tumdharau. Tusichangie 'pumba' zake. Au...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
maamuzi tuliyofanya wewe,mimi pamoja na watanzania wengine jumapili iliyopita yanaweza kuwa ndo hayo yametangazwa na nec kuanzia jumatatu iliyopita na yakahitimishwa na ya urais nasema yanaweza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tunaelekea ukingoni kwa hiyo kwa wale waliofurahi tumieni hii weekend kwa hilo ila tu Jumapili mpumzike, kwa wale wenye huzuni fanyeni maombolezo ila tu muinue tanga Jumapili, kwa msio na mwelekeo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
NILISIKITISWA SANA NA KITENDO CHA TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI KUTOWARUHUSU WANAVYUO WALIOKUWA WAMEJIANDIKISHA KATIKA DAFTARI LA KUDUMU LA WAPIGA KUPIGA KURA SEHEM NYINGINE KAMA HAKI YAO YA MSINGI NA...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mhe. Rais, Awali ya yote ninaomba nitangaze rasmi kwamba nimeamua kukubaliana na matokeo yaliyokuwezesha kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mara ya pili tena. Malalamiko...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ukifuatitia takwimu za makadirio nilizozifanya za wagombea wa URAIS wiki mbili kabla ya uchaguzi, utagundua kwamba Mh Kikwete nilimpa 62%. Ukizingatia matokeo halisi ya kura yaliyotangazwa leo na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
THE FOLLOWING ARE SOME OF THE REASONS I BELIEVE JUSTIFY THE DISMANTLING OF NEC TO PAVE WAY FOR AN INDEPENDENT ELECTION COMMISSION MEAN WHILE A PEOPLES INTERIM ELECTION COMMISSION BE APPOINTED...
0 Reactions
2 Replies
882 Views
Nisaidieni nahitaji kujua tofauti kati ya utawala wa CCM kwa TZ na utawala wa Rais wa Zimbabwe R Mugabe
0 Reactions
20 Replies
3K Views
POLITICS IN THE WORLD ARE DIVIDED INTO TWO MAJOR SIDES THE LEFT AND THE RIGHT CCM-POLITICAL RIGHT-WHAT IS IN THE POLITICAL RIGHT OF THIS PARTY AUTHORITY-CCM assumed that they have the right to...
1 Reactions
0 Replies
750 Views
katika maisha yangu nimepiga kura hii mara ya nne lakini mara zote tumeshuhudia watanzania wakijitokeza kupiga kura na hasa huwa karibu wakuwepo watu wanapiga kura mpaka sa vituo vinafungwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Matokeo ubunge Bunda ni kama ifuatavyo: CCM wamepata kura 27305 Chadema wamepata kura 12572 Kwa hiyo Stephen M. Wasira ameshinda jimbo la Bunda kwa asilimia 68 Habari ndio hiyo!
0 Reactions
27 Replies
5K Views
Back
Top Bottom