Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

je ni kosa kisheria kutokumtambua kikwete kama rais wangu?kwani simpendi
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeangalia picha ya watu waliohudhuria sherehe za kuapishwa Jk kama Rais wa Tanzania. Picha hizo zilinishtua pale nilipoona watu wamevaa mavazi ya CCM na kubeba bendera za CCM. Nikajiuliza, hivi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya Hitimisho la leo la kuapishwa kwa Rais aliyeshinda kwenye uchaguzi Dr. JAKAYA MRISHO KIKWETE ( Japokuwa mgombea wa Cahama fulani hakutokea eti amesusa, ila wenzake wala yeye akisusa) ...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Sasa nimeamini kuwa Kikwete alichaguliwa na wanachama milioni 5 wa ccm. CCM ina wanachama zaidi ya milioni 5 nchi nzima. Hivyo nadiriki kusema kuwa wale wapigakura zaidi ya milioni 4 waliokosa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kikwete inaugurated, orders Tanzania forces on alert Sat, Nov 06 08:20 AM EDT By Fumbuka Ng'wanakilala DAR ES SALAAM (Reuters) - Tanzanian President Jakaya Kikwete told security forces on...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Kupanga ni kuchagua. Hakuna haja ya kulaumu tena kwamba maisha ni magumu. Adhabu tumeitaka wenyewe. Kwa hapa Marekani, Chama kinachosababisha umaskini kwa namna yoyote ile, kinanyimwa uongozi wa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
nimepita kwenye mtandao watume ya uchaguzi ili kujua matokeo ya urais jimboni humo lakini jimbo hilo na matokeo yake hayapo. nini kilichojiri mpaka matokeo yasiwekwe kwenye website ya NEC?
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wachambuzi wa Siasa: Naomba msaada, nimetafuta kanuni za bunge toleo la mwisho nadhani ni la 2009 bila mafaniko, kuangalia kama CHADEMA inauwezo ya kuunda serikali kivuli yenyewe bila kuihusisha...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kazi mliyoifanya wanaJF katika Uchaguzi wa mwaka huu (2010) ni ya kutukuka. Nina imani na wanaJF kuwa sasa tutaijenga Tanzania ya Amani ya kweli na Haki. Tusilegeze kamba katika kufanikisha hili.
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Lipumba amebwagwa kwenye uchaguzi. Pamoja na kubwagwa yeye hakuonyesha uso wa mtu aliyeshindwa bali ni kama mtu aliyepata ushindi. Hili lilijidhihirisha wakati anatoa neno kama mshindwa hapo jana...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wamehudhuria sherehe za kuapishwa kwa Kikwete wageni kadhaa kutoka nje ya nchi. Kama matokeo ya uchaguzi yametangazwa jana, ina maana mpaka hapo jana (katika hali ya kawaida ya demokrasia) ni NEC...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
MGOMBEA urais kwa tiketi ya CUF, Profesa Ibrahim Lipumba jana aliungana na wanazuoni pamoja na wananchi kuiponda Tume ya Uchaguzi (Nec) kwa kushindwa kuhamasisha Watanzania kushiriki kikamilifu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
People's Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer!!!! By any means, this young guy is no CCM Kitoto kidogoooooooooooo, lakini HAKIDANGANYIKI
0 Reactions
0 Replies
868 Views
Nimepitia gazeti la Mwananchi la leo na nikabaini ya kuwa kumbe NEC wamesema JK alishinda kila Mkoa wa bara na Lipumba kushinda jumla kuu ya Zanzibar...................Zanzibar Prof. Lipumba kura...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
wana JF mnaonaje mimi nikimtuhumu nyerere hafai kuitwa BABA wa Taifa . Maana yeye hakuunga mkono wapinzani na suala la kuunda Katiba mpya
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Nowhere in our 49 years since independence has a presidency been harangued with allegations of vote rigging and having crawled back to power with such a narrow mandate to lead this nation.....a...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mbunge mteule wa Jimbo la Ubungo,John Mnyika Na Ramadhan Semtawa TOFAUTI na muongo mmoja uliopita ambao CCM imeweza kuwa na ngome imara ya kisiasa mkoani Dar es Salaam, safari hii kambi ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miaka mingine 5 ya wizi wa JK na genge lake unaendelea (Part 2) ya JK. Jitaarisheni watanzania kwa wakati mgumu unaoletwa na JK na genge lake la kimafionso, co-starring Chenge, Lowassa na wengineo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Pamoja na kuwa uchaguzi umeisha na uchakachuaji umeisha, mimi nina swali juu ya aliyekuwa anatunza vifaa vya uchaguzi kuanzia fomu, karatasi za kura na masanduku. Ninajua kuwa vifaa hivyo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
jamani kama TZ ilipeleka jeshi Comoro kumuondoa mpinzani baada ya uchaguzi ulio na utata je nani wa kuindoa CCM? au nyani haoni kundule?
0 Reactions
0 Replies
867 Views
Back
Top Bottom