Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wana JF; Katika Uchaguzi Mkuu 2010 Dr. Slaa na CHADEMA wametoa changamoto na upinzani mkali tofauti sana na miaka ya nyuma. Uchaguzi mwaka huu ulikuwa na msisimko mkubwa sana huku kukiwa na...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
:sad: Watanzania tumekuwa wapole sana kiasi kwamba tunatia huruma. Sio siku nyingi tume ya uchaguzi ilitoa majina ya watakaopiga kura kwenye vituo walivyojiandikishia. La kushangaza na ambalo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu, Nimemsikia JK akitoa kauli hii jana wakati akihutubia kwenye hafla ya kutangazwa pale Karimjee na leo kwenye sherehe ya kuapishwa pale uwanja wa uhuru. Na kuna mahali kwenye hotuba ya leo...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
someni hiyo kumbe nao wameona
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Pole sana Dr. Slaa kwa kushindwa lakini inakubidi ukubali matokeo na kama umeonewa basi nenda kwenye tume ili uweze kufungua mashtaka. Licha ya kupigiwa debe na baadhi ya makanisa uchwara yasiyo...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Hamad Rashid kuwania Uspika Salim Said ALIYEKUWA Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Hamad Rashid Mohammed, amesema huenda akachukua fomu ya kugombea kiti cha Spika wa Bunge la...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
robert mugabe- zimbabwe joseph kabila- drc mwai kibaki - kenya rupia banda- zambia jacob zuma- south africa wana jf tengenezeni similarity equation ya hawa viongozi waliohudhuria.i guess there is...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Sina Hakika kama nafahama sheria vizuri kuhusu jambo hili. kutokana na maelezo ya NEC wapiga kura wote waliopiga kura ni chini ya asilimia hamsini ya waliojiandikisha. najiuliza kuhusu validity...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
UCHAGUZI TANZANIA 2010 Jumuiya ya watanzania ugiriki inapenda kuitumia fursa ya uchaguzi uliofanyika 31/11/2010 kuelezea machache yafuatayo: Inatubidi watanzania popote tulipo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
INASIKITISHA KUONA MAGARI NA PIKIPIKI ZA POLISI YANAYO SINDIKIZA VIONGOZI WA NCHI MABOVU ILE MBAYA,HIVI HATA HUYO KIONGOZI ANAESINDIKIZWA HAONI KUWA HANA USALAMA WOWOTE AWAPO KATIKA MSAFARA...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Jamani nani ni mtz lakini najiuliza kuna ulazima wa kwenda kushuhudia mafisadi wanavyoapishana?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ivi kumbe ivi vyama vina idadi sawa ya wabunge WHAT A COINCIDENCE Source. Parliament of Tanzania=
0 Reactions
16 Replies
2K Views
"Mdogo wangu Bashiri ndiye aliyenikinga na bomu na hivyo yeye kujeruhiwa. alinivamia alipoona wamenilenga mimi na kurusha mabomu kule nilipo mie" Zitto Kabwe amabye ndiye Mbunge mteule kwa...
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Sasa tayari washajitawaza jamani mi nasubiria nione wezi watakao pangwa kwenye hilo baraza la mawaziri. Sio ajabu huyu mtu asivyo na aibu akawarudisha wale watuhumiwa wa ufisadi kwenye baraza la...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwanza nampongeza Dr.Slaa kwa ushindi aliopata japo kaporwa.Watanzania wenzangu wanakukubali wala usiwe na shaka kabisa Pili naomba nianze kwa kutoa ushauri kwa Dr.SLAA aanze kuunda baraza la...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
:israel: Dr. Slaa atafanya ‘press conference’ na waandishi wa habari kesho siku ya Jumapili. Mahali ni Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo. Dr. Slaa amesema sio kawaida yake...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
juzi na jana watu wengi maarufu na ambao wakikohoa tu vyombo vya habari vinaandika hatimaye wanadai kuwa DR Slaa anazeeka vibaya we riz wa jk, we rost azim nyie uhai wa inji hii kweli leo Dr.Slaa...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
naomba mniambie hayo majimbo 7 na kata 23 ambayo matokeo hayajatangazwa according tu nec tatzo nn?au hatujamaliza kuchakachua?
0 Reactions
0 Replies
806 Views
Kweli hawa watu wa tume ni wajinga sana yani hamna kitu kabisa. Nafikiri masikio yao yalishabomoka. Hii habari toka mtanzania daima TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), jana ilimtangaza mgombea...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana JF,kusema kweli nina hamu saaana ya kujua exactrly true results(un chakachuaji)ya mwaka huu for presidential level ili nione hali halisi ilivyo ya kisiaa nchini na ili niweze waonea huruma...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom