Nimetembelea website ya BBC kutaka kujua umaarufu wa Tanzania kwenye matukio ya kimataifa. Nimeshangaa hakuna taarifa hiyo. Lakini endapo watajua Robert Mugabe alikuwepo nina uhakika watatafuta...
Nilikuwa nasikiliza habari ya mwenyekiti wa ccm akiapa uwanja wa uhuru.
Pointi moja aliyosema, "wananchi waliopiga kura walitimiza haki yao ya kidemokrasia".
Swali langu kubwa je si haki ya...
ni kama vile CUF wameshakata tamaa ya mbio za kuitoa CCM, so nigeshauli kama kuna uwezekano ingawa siwezi kuwafikia wakuu wa chama hiki, nigeomba kiungane na CCM ili kiweze kuunda CCMCUF ili...
Nimefuatilia kwa makini sana uchaguzi wa mwaka huu. Nimevutiwa sana kwa jinsi shamra shamra na msisimko mkubwa sana. Hakika Tanzania tumekomaa kisiasa na tunaelekea kwema.
Tatizo langu linakuja...
Nimeona wanaingia wageni wa kada mbalimbali, nimemwona Ridhiwani Kikwete. Loh! Nimemwona pia mama Salma Kikwete, mtangazaji anasema yupo na watoto wa rais, wapo kama 12.
Pamoja na NEC ya CCM kuchakachua matokeo na kumtawaza JK ambaye siyo chaguo letu, imehabarishwa na gazeti MZAWA la leo kuwa Chadema kuongoza Halmashauri 13 na baadhi yake ni Muleba, Arusha...
Ushindi wa ccm siku zote ni ushindi wa misukule,ushindi wa kiini macho,ccm hawawezi kushinda bila kuchakachua kura,watanzania tuamke,tunahitaji ushindi halali ili tuepuke yale yaliyotokea kenya na...
Total Population in Tanzania: about 35 M
Eligible population for voting: estimates from NBS projections 47% of the population about 16 Million above the age of 18.
Those who registered for...
Ndugu zangu wana JF, kwa maoni yangu nadhani wanachama wa CHADEMA wanaweza kutemba vipya juu kwamba wanakubalika Tanzania. Nasema hivyo si kwamba tumeshinda uchaguzi hila tumepata kura nyingi kwa...
Pamoja na nec kueleza kuwa iliweka mikakati ya kuwasaidia watu ambao hawakuona majina yao, bado idadi inahisiwa kuzidi million nnne ya waliokosa kupiga kura kwa kukosa kuona majina yao.
Tusilaumu...
Ukifuatitilia kwamakini utakuta kuwa majimbo yote yaliyokuwa icu upande wa ccm na yakachakachuliwa kuyarejeshea oksijen, mzee marope ndiye aliyetia timu na kulazimisha kutangazwa matokeo tofauti...
Hongereni wanaJF wote na moderators kwa kushiriki kikamilifu katika zoezi zima la uchaguzi kwa namna yeyote ile. I am sure JF has been influential and effective katika huu uchaguzi zaidi hata ya...
WanaCHADEMA HAKUNA KULALA, VIJANA TUJITOKEZE KUCHUKUA MAJIMBO AMBAYO YANAONGOZWA NA VIHIYO WA CCM. MIE NGUVU ZANGU NIMEZIELEKEZA BABATI MJINI MWAKA 2015. WASOMI TUSIPENDE KUNG'ANG'ANIA MJINI...
The East African Court of Justice said it was ready to handle post election cases from the Communitys member states as long as their lawsuits are in line with the EA Community Treaty...
Nipo maeneo ya Longido na kuna wamasai wa jimbo la Ngorongoro wamenieleza kitu kilichoniuma sana. Waliniambia kwamba JK hakufanya mkutano wa hadhara Ngorongoro ila aliwaita faragha ma-Laighwanani...
Ukifuatilia kwa makini siasa nchini tangu uchaguzi wa 2005 hadi 2010 utagundua kuwa idadi ya wananchi wengi walioipigia CCM kura mwaka 2005 wameipigia kura CHADEMA mwaka huu.Hii imechangiwa sana...
Ndugu zangu wazalendo wa nchi hii,
Nimekuwa nikifuatilia kwa umakini mkubwa mwenendo wa matokeo ya uchaguzi kutoka maeneo mbalimbali hususan kwa nafasi ya urais. Kwa wale wenzangu walioanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.