Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dr Lwaitama huwa napenda hoja zake sana leo kwenye kipindi cha today in perspective uyu mzee alitoa point akasema IN AFRIKA THE DEVIL IS IN THE COUNTING Na ndio maana waangalizi wanasema uchaguzi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Hili swala la CCM,NEC,UWT(Usalama wa Taifa) KUCHAKACHUA matokeo ya kura za Urais na Ubunge liko wazi kabisa na ushahidi upo. Mifano halisi ni ucheleweshaji wa kutangaza matokeo kwenye maeneo...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Naoma ufafanuzi wa kutumia neno mteule hasa kwenye chaguzi zetu. Sasa hivi tuna Rais mteule and wabunge wateule. Kwa nini waitwe wateule badala ya wachaguliwa? Kwani wapiga kura waliwateuwa au...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Well! Wengi Tulifikiri May be This Time Hawatadanganya Tena, Lakini Hawaogopi Wananchi Kabisa. Katiba Wanaandika Wao, Tume/NEC Wanaunda na Wabunge Wao Wakitumia Pesa za Wananchi Dodoma, Wanatumia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KENYA -walipigana,wakabadili serkali kwa stail ya ndizi na chungwa, wakaunda serikali ya umoja, baadae wakabadili na katiba WAGANDA-wakapigana,wengne waliingia mstuni, zambia- fuatilia uone...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Dk. Willbrod Slaa, ameitaka Idara ya Usalama wa Taifa iende mahakamani endapo madai aliyoyatoa dhidi yao si kweli.
0 Reactions
37 Replies
5K Views
Kaka inabidi ujitahidi urudishe imani kwa walio kuajiri. Lazima ufanye OVERTIME! la sivyo..........! miaka 5 ijayo, Chama kubwa Bye! bye!.
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Ndugu wana JF hatimae ule mchakato kama sio mchakachuo wa uchaguzi umeshapita na wote tumeuona kwa macho yetu. Je tumejifunza nini? Kumekuwa na malalamiko mengi sana juu ya uchaguzi huu...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wapendwa wote watanzania tunaotaka mabadiliko ya nchi yetu tusiwe na wasiwasi.Tusahau ya kuibiwa kura na tujikite kujenga vyama vyetu vya upinzani kwani mwaka 2012 tutakuwa na uchaguzi mkuu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndugu Wana JF, Nadhani ni jambo la busara wabunge wetu wote wa kambi ya upinzani ambao ni zaidi ya 50 waungane pamoja ili tuweze kupata speaker ambaye ataweza kuliongoza bunge kwa kujali maslahi...
0 Reactions
44 Replies
4K Views
Kosa la NEC la kuchelewesha matokeo ya uchaguzi katika majimbo mbali mbali nchini lilisababisha watanzania kupandwa na jazba na kuleta fujo katika maeneo ya kutangazia matokeo katika majimbo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Unajua Baba akiambiwa na mtoto wake kwamba amekosea huwa inauma na huenda akamgombeza mtoto. LAKINI baada ya hapo hukaa na kutafakari maneno ya mtoto na huenda akauona ukweli ndani yake...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hivi kweli inawezekana vipi majimbo karibu yote ya Bara na visiwani kura zilizoharibika zinaacheza hapo kwenye 2.x%? Ina maana kutofahamu yetu ya jinsi ya kupiga kura hadi tunaziaribu nchi nzima...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kama tunataka mageuzi ya kweli tungetumia play book toka kwa majirani zetu hapo Kenya. wapinzani tuwe na kocha wa nje ndg. Laila Odinga. upande mkubwa wamesonga mbele hadi sasa wana- share...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Clouds FM inatangazia wananchi kwamba kuna watu wanahamasisha umwagaji damu. Kisha wanapiga wimbo wa taifa hovyo hovyo jambo ambalo mtu atadhani rais anataka kutangaza Hali ya hatari. Clouds na...
0 Reactions
79 Replies
7K Views
Nachelea kusema kuwa hawa vijana ambao familia zao wamezaliwa wakazikuta ziko katika njia hiyo, hivi kweli wataacha ufisadi?
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Tafsiri rahisi ya utawala wa Kiimla ni aina ya utawala ambapo anayeongoza nchi hujipa ridhaa ya kuongoza yeye mwenyewe. Ni ukweli usiopingika kwamba Jk hakuchaguliwa na wananchi. Tofauti na...
0 Reactions
0 Replies
5K Views
Huyu hapa kachukua fomu kweli lol!!!! anataka kufanya nini?? mimi bado sijajua wanachotaka kufanya!!!!
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Lipumba anasema iyo ndo asilimia ya watu waliomchagua raisi ni aibu. Kaitupia lawama NEC na kuhoji uwezo wao na uhuru wa tume. Naona wana CCM wanapiga kerere ila msg sent Amkabidhi JK ilani ya CUF
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Back
Top Bottom