Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Every minute counts Chadema kama bado haijafungua kesi mahakamani kuhusu majimbo ya magu, shinyanga, segelea, to name just a few wanangoja nini. Knowing kwamba wingi wa wabunge wa upinzani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
ndugu zangu uchaguzi umekwisha na matokeo yenye utata yamekwishatolewa na tume ya uchguzi. Matokeo hayo yana kila dalili kuwa yamechakachuliwa kwa nia ya kumuokoa mgombea wa ccm dr jakaya kikwete...
0 Reactions
49 Replies
4K Views
Kama kilaza {kikwete} ataapishwa na kuwa raisi, inamaanisha kwamaba chadema hawakuwa na la kufanya ilkumuondo asiwe rais kwa mujibu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa. Kwa upande wa dr wa ukweli...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mimi Isaac 'Ankali' leo tarehe 5 November 2010,natamka kwa hiari yangu bila kushurutishwa na yeyote kuwa ninaahirisha Utanzania wangu kwa kipindi cha miaka 5. Uamuzi huu unakuja baada ya...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya matokeo kutangazwa nini chama cha CHADEMA kinatakiwa kufanya ili kisipoteze muelekeo wake. Kwa kuwa baada ya rais kuapishwa sheria inakataza kufungua kesi ya kupinga matokeo, basi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Je Wabunge wateule kupitia CHADEMA wanaweza kuingia bungeni na kuitisha hoja binafsi juu ya suala la kuwa na katiba mpyaaaaaa????????
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Uchakachuajia umeisha,sasa je tutegemee nini kutoka kwa JK?Mi naomba nianze na number 1. 1.Nategemea baraza lilelile la mawaziri wengi wakiwa hawana viwango vya...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Naomba tuwekane sawa kuhusu mambo mawili: 1. alichosema Dr. Slaa kuhusu ushiriki wa makada wa CCM katika kikao kilchofanyika La Kairo Hotel 2. Hoja za wanaokanusha. Alichosema Dr. Slaa: Kwanza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa maana uchaguzi wa mwaka huu wame tuonyesha kazi yao
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Uchaguzi umeisha ,kura zimeibiwa live, kila mtu kaona kura zimeibiwa na Chadema hawajakubaliana na huu wizi , sasa kitu gani au hatua gani zitachukuliwa? mpaka sasa hivi sijui kwamba DR ametoa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Ana kweli madaraka yana gharama zake, mbunge mteule wa CCM jimbo Shinyanga mjini akiyepita kimazabe analindwa na ulinzi mkali wa polisi sasa sijui watamlinda mpaka lini na watawalinda wengi sana...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Baada ya matokeo kutangazwa nini chama cha CHADEMA kinatakiwa kufanya ili kisipoteze muelekeo wake. Kwa kuwa baada ya rais kuapishwa sheria inakataza kufungua kesi ya kupinga matokeo, basi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Uchaguzi umekuja umepita. CCM wamefanya walivy dhamiria, kutuibia watanzania haki yetu. Kutokana na maguvu na mabavu yao wataendelea kutukandamiza. Tukubali yaishe, lakini njia sasa inaelekea...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kiravu akiri NEC ilikosea na sasa matokeo yasomeka kama ifuatavyo Kikwete 30,960 badala ya kura 17,792 (+13,168) Slaa 22,036 badala ya kura 3,789 (+18,247) Utaona Slaa alitaka kudhurumiwa...
0 Reactions
60 Replies
6K Views
Kufuatana na habari katika Nipashe ya leo, matokeo ya mwisho ya urais kwa wagombea wakuu watatu ni kwamba Kikwete kapata kura milion 5.169, Dr Slaa kura milioni 2.193 na Prof Lipumba kura mil...
0 Reactions
64 Replies
7K Views
wana JF mimi najiuliza utakuwaje uhusiano wa JK na Obama baada ya uchaguzi. Maana katika Afrika Obama amemsifia sana JK.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni kweli yawezakua hawa mafisadi walifanya uchakachuaji wa kura za uraisi. Lakini hata hivyo kulingana na vyama vya upinzani kutokua na umoja na nguvu ya pamoja hawakuweza kufika hadi vijijini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
By John Kulekana (AFP) – 2 hours ago DAR ES SALAAM — Tanzanian President Jakaya Kikwete was re-elected with 61 percent of the vote, electoral officials said Friday, in a poll marked by low...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Source: Mwanahalisi: Jumatano, Novemba 3-9, 2010 NEC inatuhumiwa kuhujumu matokeo ya Uchaguzi kwa lengo la kukinyima ushindi CHADEMA. Madai hayo yamo katika barua ambayo CHADEMA kiliwakilisha...
0 Reactions
108 Replies
11K Views
Mawakala wa chadema wanadai kwamba karibu kura zote zilizoharibika zilikuwa za Dr. Slaa! Wamedai kuwa ukimpigia Slaa kwa kuweka tick, wanaccm wanakoleza wino hiyo sehemu halafu wakati wa kuhesabu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom