Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

CCM yaanza kumeguka • Katibu UWT Maswa atimuliwa SIKU tano baada ya kumalizika uchaguzi wa rais, wabunge na madiwani, huku Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kikinyakua...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Huo ndo ushindi wa tsumani, mhhhh!!!!!!!!!!! anyway, let's wait may b atabadilika this time. Tuombe Mungu na wakati huo nasisi tuendelee kufanya kazi kwa bidii. God bless TZ as he blessed George...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kama kilaza {kikwete} ataapishwa na kuwa raisi, inamaanisha kwamaba chadema hawakuwa na la kufanya ilkumuondo asiwe rais kwa mujibu wa katiba yetu tuliyo nayo sasa. Kwa upande wa dr wa ukweli...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hao FFU city centre vipi? Wamepita ,mbio hapa Ohio street!
0 Reactions
42 Replies
4K Views
Now that JK is back, I'm no longer afraid of xenophobia. Fellas, it's time to celebrate. Go CCM Go JK. It's business as usual. Nice try, Dr Chadema!! How do you like us now? :peep:
0 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna watu wanaonekana kushabikia au kumlaumu mpiganaji Slaa kwa kusema kuwa kura zake zinachakachuliwa. Nia ni kupunguza idadi ya viti maalumu kwa upande wa Chadema ili CCM iweze kuingiza wanawake...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Kwa umakini walio nao wabunge wapya wa chadema nina imani watalitawala bunge kwa 90%, maana wabunge walioingia tripu hii wamenikonga moyo, MDEE MNYIKA MBOWE,KABWE, LISU,ktk safu ya ushambuliaji...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
ameshinda wakaiba, unataka ushahidi, huu hapa waliojiandikisha mil 20 waliopiga kura baada ya kuchakachua mil 8 jk kapata 5 mil dr slaa 2 mil waliobaki wote wako wapi? Nasema rais wangu dr slaa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Conclusive remark ya JK kuwa wote ni washindi does he really mean it au ndo copy and paste ya kutoka kule Zenji If the statement is truly from the bottom of his heart then I salute him for that...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa mazingira ya kisiasa ya sasa nchini ni kujidanganya kuwa kiongozi wa upinzani anaweza kuwa Rais kupitia njia ya kura. Kwa hiyo yeyote aliyetarajia kuwa Dr. Slaa angekuwa Rais ama hayafahamu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Prof. Lipumba ambaye sasa ameteremka katika idadi ya kura zake na hata kushindwa kupata kura milioni moja pale NEC ilipotamka alipata kura 695, 667 au 8.06% aliujulisha umma wa watanzania ya kuwa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Ninaunga mkono kitendo cha Slaa(PhD) kutohudhuria kusikiliza usanii wa tume. Hii inadhihirisha wazi kuwa PhD ya Slaa si ya kuchakachua kama ya Mkwere na Benson Bana
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu wadau, kuwa kila mpenda amani na nchi hii anautakia ushindi wa Jakaya Kikwete mema, fanaka na matarajio mazuri kwa kipindi 2010 - 2015, hongera sana. kumbuka kutimiza kila...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
waangalizi wabaini kasoro katika kuhesabu kura Send to a friend Friday, 05 November...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi em tujiulize jamani yaani watu milioni nane tume imetumia wiki nzima kutoa matokeo je ingekuwa milioni 16 ingekuwaje!!Muda wote huo walikuwa wanafanya nin kama sio shughuli yakuchakachua.
0 Reactions
0 Replies
979 Views
Double Dipping Votes Delays Tanzania Election Results Jakaya Kikwete checks off one more tally as officials arrest Daudi Gindishi for double voting Jen Hoskote | Tue Nov 2, 2010 TAGS...
0 Reactions
0 Replies
754 Views
Leo Mh Jk anatangazwa mshindi wa urasi 2010-2015 na Jaji Lewis Makame! Lakn wakati yakitangazwa matokeo Jk alionekana fika hana furaha na muda wote wa uongozi wake. Kwanza anajua watu hawampendi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
BARAZA Kuu la Uongozi la Taifa la CUF, limesema wawakilishi walioshinda majimbo ya Pemba na Unguja, watakula kiapo na kuingia ndani ya Baraza la Wawakilishi lakini hawatatoa ushirikiano kwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
TEMBELEENI HII ILANI YA CCM, KWENYE UTANGULIZI KIPENGELE CHA PILI MSTARI WA MWISHO UNASOMEKA "Aidha mafanikio ya azma hii unategemea kutambua hali na mazingira ya kisiasa, kiuchumi na...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Lipumba kumkabidhi Jakaya Kikwete Ilani ya CUF ni Ukombozi?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom