Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Elimu duni na kutojitawala kifikra kumetufanya watanzania kuwa ngazi ya mafisadi, kila chaguzi zikaribiapo, tazama mtu amekuwa kiogozi tangu mimi nazaliwa na sasa nina umri wa miaka 31 jimbo lake...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Pamoja na wengine humu kukesha tukipiga kelele sidhani kama tutaambulia kitu, mwisho wa mwisho tumempeleka jamaa ikulu sijui kama atamkumbuka MS hata ukatibu kata achana na ukuu wa wilaya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tangu matokeo yatangazwe kwa ujumla nimekuwa ninajiuliza maswali mengi sana moja wapo kama wapinzani na wanamapinduzi hawaikubali tume na kwa mfano chadema na dr slaa wamegomea matokeo kuna...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Profesa Lipumba - rejea mdahalo wako ITV: Kipi kichuguu na upi mlima?
0 Reactions
12 Replies
2K Views
ZITTO VIPI amaechiwa na Polisi,inasemekana alikuwa ameshikiliwa na polisi -Kigoma
0 Reactions
12 Replies
3K Views
:thinking: mimi nimekaa najiuliza: hivi kwa nini tume ya uchaguzi - NEC isiwe na database (benki ya taarifa) ya uchaguzi kwa vituo vyote kwa ajili ya transparency na future reference. Mimi siyo...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Katika moja ya Mikutano yake kanda ya Ziwa, Rais anayeondoka madarakani Bwana Jakaya Kikwete alijikuta katika hali ngumu baada ya kuzomewa na wananchi pale alipotoa ahadi iliyotafsirika kama upupu...
0 Reactions
65 Replies
10K Views
Yafuatayo ni majimbo ambayo dalili zinaonyesha kuwa matokeo yamechakachuliwa ili kuipa CCM ushindi ingawa wapinzani walishinda; 1. Shinyanga mjini 2. Sumbawanga mjini 3. Mbozi Magharibi 4...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Habari ambazo nimezipata punde ni kuwa kuna uwezekano aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Bw. Lau Masha akafikishwa mahakamani hasa baada ya kukiri mwenyewe kuwa alimpigia simu mgombea wa Chadema...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
huyu mwandishi ameelezea mambo ya muhimu sana ,na uhakika jumuiya ya kimataifa imeshatambua maovu yaliyofanyika katika uchaguzi huu. nafikiri ile hali ya kisiasa iliyotokea baada ya uchaguzi wa...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Baada ya NEC kuhairisha uchaguzi wa wabunge katika majimbo ya Nkenge, Mpanda Mjini na Mpanda Vijijini, ningependa kujua kwanza kama Chadema ina wagombea huko? Pili, kama inayo...ingefaa sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hali inaonekana ni tete sana baada ya Uchaguzi kwenye nchi yetu kwa mara ya kwanza tangu tupate uhuru. Kuna tetesi kwamba huenda JK akatangaza hali ya hatari kwa Taifa mara tu atakapoapishwa. Hii...
0 Reactions
37 Replies
4K Views
Picha hii hapa chini itadumu miaka mingi sana kuashiria nni namna gani watanzania walikuwa wakitaka mabadiliko ya kweli. Dogo huyu (mbele kabisa aliyenyanyua mkono kwa hisia) pamoja na kwamba...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajukwaa la Jamii Hatimaye NEC imetangaza matokeo yote rasmi ya Uchaguzi Mkuu 2010. Katika mchanganuo wa wapiga kura NEC imetoa takwimu zifuatazo: Wapiga Kura Waliojiandikisha ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nilikuwa Jijini Mwanza kwa siku kadhaa na niliyojionea sio siri ni mazito sana hata kusema,maana mengine nilikuwa ninasikia tu humu ooh wizi wa kura,ooh uchakachuaji,na mda mwingine nilijua tu...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Naanza kuandika hii thread nikiwa na huzuni kubwa sana. Najiuliza sipati jawabu kwamba imekuwaje na nini kimetokea kwenye Uchaguzi wa mwaka huu. Kwamba eti Watanzania milioni 5 wamekubali tena...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Document hii itasaidia kuwafanya watu waamini kuwa upigaji kura mwaka huu utakuwa ni wawazi zaidi. Na labda ndiyuo sababu inayowafanya baadhi ya watu kupata presha kubwa sana.
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Ndugu wana JF, Kama Dr Slaa akikataa kukubali matokeo ya uchaguzi uliomalizika punde na kutangazwa Kikwete ndio mshindi. Tunakumbuka jinsi hali ilivyokuwa kule zanzibar baada ya uchaguzi wa...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
birds with same feathers fly together! ROBERT MUGABE yule ambae wote tunamjua na tumemsoma mara nyingi yuko dar es salaam kupongeza kikwete.
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwa wale waliokuwa hawaamini kuwa CCM wameiba kura fungua hii attachment uone jinsi chama hiki kinavyoendeshwa na mafisadi
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom