Tuanaalika wanJF wate kufurahia ushindi wa JK na CCM kwa ujumla
baada ya kupewa ridhaa na watanzania
Karibuni wote tufurahia ushindi wetu na watanzania wote
Wakaotaka kuja NIPM
There is no political event more dangerous than a general election. Even in what are called the mature democracies, elections bring out hidden weaknesses in a nations structure that can be...
Ban congratulates JK, Tanzanians for peaceful polls
By The guardian reporter
8th November 2010
United Nations Secretary-General Ban Ki-moon
United Nations Secretary-General...
Out of Curiosity I looked at the tabulated data posted on this forum under the theme 'tathmii ya kina' and compared this with the published election results.
Interesting, the postings by JF...
Haya Ndugu zangu, huyu naye alikuwa na mtazamo wake wa kupigia magoti mafisadi, hii ni kabla ya matokeo rasmi kutangazwa na NEC,ukipata muda soma
By Jerry Okungu
Nairobi, Kenya
November 4, 2010...
Wale wazee wa kikao cha siri huko mjini mwanza kwaajiri ya kuweka mazingira mazuri ya CCM kushinda wameongea na watanzania,, kilamtu alikuwa akijiumauma na kusingizia publicity, ,hivi hawa watu...
Kwenye magazeti ya leo Dr. Shein kamteua Makamu Mwenyekiti wa NEC, Jaji Makungu kuwa mwanasheria mkuu wa Z'bar. Hivi atafanya kazi zote mbili? Au hii nafasi ya huku NEC ndio iko wazi? Ndio janja...
Sheria hii ya Uchaguzi ya 1984 Sehemu ya Kipengele chake ilikuwa inasema:
(2) The Electoral Commission may, for any reason which appears
to be sufficient, require that the votes in the...
Tumesikia mengi sana kati ya JK na Dr.Slaa! sasa tusubiri tuone hii vita ya Chenge na Samweli sita itaishia wapi kuhusu kinyanganyiro cha kugombea Uspika wa bunge la jamuhuri ya muungano wa TZ...
Jamani nawezaje kupata uraia wa Rwuanda? kama chenge atakuwa spika wa bunge la JMT na EL kugombea uraisi 2015 na RA kuendelea kugharamia mafisadi basi kiama cha Tanzania kimefika. Nahitaji...
"Watanzania ni watu wanaopenda umoja na amani" ukimsika mtanzania anayetamaka haya maneno ni wakuogopa sana. Hivi kuna amani na umoja gani wakati wengine hawana chakula cha kula hata kwa siku...
Inasikitisha sana kuona website ya tume ya uchaguzi inakosa matokeo rasmi ya uchaguzi licha ya maafisa mbalimbali wa tume hiyo kuyatangaza rasmi matokeo ya majimbo mbalimbali.
Wakati nafungua...
Nawashangaa sana viongozi !! Maaskofu na Masheikh...
Wanataka amani gani wakati rasilimali za watanzania zinaibwa kweupe?
Kwani nini hawa viongozi wa dini hawakemei maovu ya serikali...
KATIKA KUONYESHA KWAMBA HATA WAO HAWAWEZI KUBADILIKA WATOTO WA MAFISADI BADO WAMEENDELEA KUWA NA WAO MAFISADI AU WAMEENDELEA KUSHANGILIA BABAZAO JINSI WANAVYOHUJUMU UCHUMU WETU. MFANO, MIRAJI...
Tokea jana kila nikipita mjini watu wapo busy na shughuli zao na mji upo kimya kama vile leo hakuna tukio muhimu la kuapishwa Rais wao kipenzi aliepita kwa kura za kishindo/tsunami. Watu wengine...
Ni mesikia katika vyanzo vya habari kuwa kauli ya JK, amewaambia wananchi kuwa uchaguzi umeisha kwa ivyo sasa ni wakati wa kuponya madonda ya uchaguzi, aidha amewataka watanzania kusahau yote...
Kama Chadema watawakaribisha wapinzani wengine kwenye kambi hiyo Bungeni basi TLP iachwe kabisa kwani ni hatari kama UKIMWI. Mrema amekuwa akimpigia kampeni JK kwenye jimbo lake badala ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.