Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chenge apata pigo jingine NEC Fredy Azzah TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imetoa ufafanuzi wa viti sita vinavyosubiri uchaguzi wa majimbo saba unaotarajiwa kufanyika Jumapili ijayo, huku...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna taarifa zisizo rasmi kwamba, NCCR-Mageuzi wanapanga kumsimamisha Jaji Robert Kisanga katika nafasi ya Uspika, hatua ambayo inaelezwa kuweza kuwasukuma Chadema na CUF kumwachia. CUF...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Hoax!!!!!! Hoax!!!!!! Hoax!!!!!! Hoax!!!!!! Hoax!!!!!!
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Jamvini!! Mbona kimya hiki kinanipa wasiwasi? Huyu Mpambanaji wetu Dr Slaa yuko huru na salama kweli? Watanzania chungu nzima hatukukubaliana na matokeo ya Tume ya Uchaguzi, lakini mbona subiri...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wakati PCCB wamemshafisha Chenge kwenye kadhia ya Radar kuwa suala hilo limekwisha na Chenge hahusiki, SFO wenyewe wamekanusha kuisha kwa suala hilo na kueleza litatinga mahakama kuu ya Uingereza...
0 Reactions
151 Replies
13K Views
Mtikila: Viongozi wa dini wanafiki na Andrew Chale MWENYEKITI wa Chama cha Democratic (DP), Mchungaji Christopher Mtikila, ameponda hatua ya ujumbe wa viongozi wa dini nchini kumtaka Dk...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Watanzania tuamke,kasoro hizi zilikusudiwa kabisaaa 1. Iweje karatasi ya kupigia kura isiwe na serial number ili ioane na ile inayobaki katika kishina cha kitabu? maana ikitokea inahitajice...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
CANADA has congratulated Tanzania for conducting peaceful general election and applauded President Jakaya Kikwete, on his re-election for the second and last term in office. In a statement...
0 Reactions
2 Replies
756 Views
MAY PEACE BE UPON YOU GREAT THINKERS! HEBU MTU ALIYEKO DODOMA AMA BUNGENI ATUJUZE HALI YA HUKO IKOJE JAMANI. NIMESIKIA KWENYE RADIO WAKICHAMBUA TASWIRA ZA BUNGENI NA WAKAELEZEA KUA MH. SUGU...
0 Reactions
19 Replies
3K Views
  • Closed
wasalaaam wadau, Naona kuna kama kafukuto ka mambo ya kugomea uongozi wa upinzania bunguni kwa chadema ambao kwa data zilizopo ndio chama pinzania. naomba kutoa mtazamo wangu juu ya hili...
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Chenge yupo sahihi katika tuhuma zake dhidi ya Sitta?Kama wagombea nafasi ya spika ni hao wawili,kura yako ungempa nani?mie ntakuwa msimamizi wa uchaguzi huo!
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hongera baba kwa kuchaguliwa, kuteuliwa kisha kuapishwa kwako kuwa rais wa hii Jamhuri yetu ya Tanzania, Hatuna Rais mwingine badala yako, kwenye ile hotuba fupi uliwaasa WAANDISHI na wale...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Aliyekuwa muhadhiri wa chuo kikuu cha Dar Es Salaam Alec Chemponda naye amechukuwa fomu ya kuwania uspika.
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Inawezekana wengine hatukumbuki na msinicheke. Najua hoja ya ufisadi wa EPA ililetwa bungeni na Dr. Slaa lakini Samwel Sitta akaikemea kwamba bunge haliwezi kujadili hoja zenye ushahidi wa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kwa mara ya kwanza tunashuhudia Tanzania yenye maraisi wawili yani raisi wa tume ya uchaguzi(baba ridhiwani) na raisi wa WATANZANIA DR SLAA
0 Reactions
14 Replies
2K Views
ndugu si vibaya nikiwadokeza namna nilivyofanikiwa katika uchaguzi huu na nilivyopangua hoja za wapinzani wa CCM jimboni. leo nitaanza na sera ya elimu bure kama ilivyonadia na chadema. mimi...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Ndugu Wana JF, Napenda kutoa pendekezo kwa uongozi wa Chadema kuanzisha Database ya computer itayotunza kumbukumbu muhimu za wanachama wake kama vile Majina kamili, Anwani za mwanachama, Number...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
wana JF, nimejiuliza hili swali nimekosa jibu, nikaona si mbaya wacha nilisogeze sebuleni, kama inatokea mmoja kati ya watu waliothibitika kwa ufisadi akaomba uanachama wa chama chetu (CHADEMA)...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Au wana JF, hasa Malaria Sugu, munaonaje? Maana hawa vijana wamefulia kwa kukikana chama makini Chadema
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Nimependa sana mijdala inayohusu vyama vilivyogombea upinzani uliojitokeza ni wa juu sana unaoimarisha demokrasia ya nchi yetu, sikufurahia kebehi na matusi ambavyo vlinionyesha udhaifu binafsi wa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom