Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kama ilivyotegemea, uchaguzi umeisha. Lakini jambo moja ambalo ni baya na la kinafiki, ni kitendo cha top brass ya Chadema kujaribu kumtosha mwenzao. Slaa. Kumtosa kwa maana ya kwamba kuteuliwa...
0 Reactions
59 Replies
5K Views
Kuhudhuria kwa rais wa Zimbabwe Robert Mugabe wakati wa kuapishwa kwa rais Kikwete kunaelezwa na wanazuoni huenda ikawa sababu ya nchi nyingi hasa za magharibi kusita kumpongeza rais Kikwete...
0 Reactions
36 Replies
4K Views
Halima Mdee kama lengo ni kwenda bungeni tayari ushapata tiketi kwa viti maalumu. Tunaomba busara itumike, waachie wenzako jimbo. Wape nafasi wenzio.
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Salamu wana JF, Ule mchakato wa kumpata spika mpya ndo umeanza asubuhi hii, kwa wana JF walioko on ground na wale wanaofatilia kwenye TV tunaweza kuitumia thread hii ili kuhabarishana live news...
0 Reactions
605 Replies
46K Views
Wakuu sio mbaya tukawataja wana JF waliogombea nafasi mbalimbali na matokeo yao ili tujue ni namna gani hili jukwaa letu limeshiriki katika kutoa wawakilishi. Naanza: 1.Dr W.P.Slaa-aligombea Urais...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
WanaJF nimeshangazwa sana na kikao cha leo ndani ya Bunge la 10 ambapo mh.Ana Abdallah alikuwa mwenyekiti. Hapa Mabere Marando alikuwa anaomba kura za wabunge zitoshe kuwa Spika ila Mh.Ole...
0 Reactions
42 Replies
6K Views
Huu ni UPUUZI, Watanzania tuko Million 45. Waliojiandikisha kupiga kura eti ni Million 19 Waliopiga kura ni Million 8 Walio mchagua rais ni million 5 swali, Je Million 11 kwanini hawakupiga kura...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
WanaJF, Hapa kuna Ratiba ya Mpangilio wa Shughuli za Bunge hadi Rais atakapolihutubia Bunge tarehe 17/11/2010. See attachment.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanajanvi naleta Mada hii mnisaidie niweze kuelewa hili! Hivi Marekani na Uengereza zinapofanya chaguzi zao kwanini haziombi kupelekewa waangalizi wa kimataifa kutoka kama Africa au Asia! Lakini...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Please people in the know, does anyone have news or feedback of what happened to this issues Ile issue ya vyoo vya shimo kwenye kata tano 3.2 billion, je wameshafatilia, je muusika...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Huwezi kuwako kwenye serikali ya umoja wa kitaifa Zanzibar mkaongoza wote kutekeleza ILANI ya CCM ya Uchaguzi halafu ukaja kwenye Bunge la muungano ukapinga. Kwa hiyo "technically" CUF sio...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
tathmini ya uchaguzi mkuu mwaka huu wa 2010
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Vipi jamani panaingilika hapa?? Naskia panaitwa jamvini.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tunahitaji Rais mpya, Tumaini Jipya na akili mpya na ni kweli kabisa kipindi hiki ndio cha kufanya mageuzi ya uongozi, tumewajaribu na sasa wameshindwa kuna kila sababu ya kufanya mabadiliko
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Anayetaka kuwaamini ccm katija jambo lolote ni juha. Kura zote za ccm zimeenda kwake na marando kapata zote cdm na chache za wana cuf walioasi maelekezo ya wakubwa wao.cdm jueni kuwa mko peke yenu...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
  • Closed
Kwa heshima ambayo Dr. Slaa imejijengea katika taifa letu na hata kwa wabunge wa Chadema na CCM kuna uwezekanno mkubwa kuwa Chadema watatoa spika wa bunge mwaka huu. Dr. Slaa anao mtandao mpana...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Hebu ona hii habari inayozunguka Yahoo kuhusu matokeo ya uchaguzi. Haingii akilini kwa kweli.
0 Reactions
5 Replies
2K Views
CCM Kweli Haina Sera. Haina Hoja. Haina Uongozi. Haina Support. Haikubaliki na Wananchi. Hivi Karibuni Wamechukua Uongozi kwa Mabavu. Wiki Hii Wanamweka Mwanamke Kama Spika. Hii ni Dharau kwa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa mara nyingine tena mtandao wa mafisadi umejipanga. Tena umejipanga kweli. Wanakuja na Spika wao wa kupika. Wanakuja na "Minority Opposition". Haya tunayaona kwa sababu yanafanyika mchana...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kuna mazungumzo yanaendelea kumuomba lowasa akubali kujiunga na baraza la mawaziri lakini kwa sasa katika nafasi ya uwaziri wa kawaida na si uwaziri mkuu. kwa mwelekeo wake inaonekana yeye...
0 Reactions
32 Replies
4K Views
Back
Top Bottom