Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wanabodi, Katika bandiko hili naomba niongelee vyama vya kitaifa especially the big 3. Nikimaanisha CHADEMA, CCM na CUF? Zanzibar: Kama kigezo kingekuwa chama cha kitaifa lazima kiwe kile...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu naomba waliopo kwenye maeneo kulikofanyika chaguzi ndogo zilizoahirishwa oct 31 mfano mpanda mjini watupe hali ilivyoenda,naamini vituo vimeshafungwa.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nakumbuka Rais Obama aliapishwa mara mbili kwa sababu alikosea kiapo chake kwa sababu ya kuweka neno "faithfully" mahali ambapo si pake! Kiapo chake kilikuwa kama ifuatavyo: ROBERTS: I, Barack...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Duuh.. kama ndivyo hivi, basi kila mmoja wetu walau apate kuwa Rais mara moja maishani.....!! Kwa kweli mafao haya na marupurupu yote ni kama kufuru vile...haswa ukizingatia hali ya kiuchumi ya...
0 Reactions
193 Replies
34K Views
THE NRM 2011 presidential candidate, Yoweri Museveni, has promised free education for A’level students starting next year. Museveni made the promise at different rallies in Lango sub-region...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Brazil vs Tanzania: Tofauti kati ya uchaguzi wa Oct. 31 Tafakari, Tanzania na Brazil zote zilifanya uchaguzi wa Rais siku moja ya Jumapili, October 31, 2010. Tanzania ina population isiyozidi...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi...
0 Reactions
43 Replies
4K Views
Wana jf mwenye taarifa ya Nakaaya azianike hapa. Alisikika kuwa amehamia ccm akitokea chadema
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Hivi kura 9 za kuchagua Spika kuharibika ina maanisha kuna wabunge mbumbumbu au wakorofi au vilaza au msamiati mzuri ni upi jamani? Ivi awa wabunge walioharibu kura tukiwapa kutunga sheria...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari WanaJF Nimeangalia wajumbe wa CC CCM na kugundua kwamba imejaa mafisadi Na hiki ndicho chombo chenye influency katika hicho chama .Kwa maana hiyo hata Rais au Mbunge kama anaenda...
0 Reactions
0 Replies
972 Views
Nimekuwa nikifuatilia na kuichunguza video inayoonesha JK akianguka pale viwanja vya Jangwani siku ya uzinduzi wa kampeni wa Chama Cha Mafisadi. Kabla ya kuanguka, JK alianza kwa kutamka maneno...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Na. B.OLE, Baada ya kumaliza kwa sakata la uchaguzi Visiwani kinachoendelea sasa ni mdolongo wa kazi unaowakabili watendaji wa Serikali hasa Rais pamoja na makamo wake ambapo kwa mara ya kwanza...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania Elections Obama congratulates government By POLITICO STAFF | 11/12/10 7:14 PM Updated: 11/12/10 7:17 PM Close Email this ArticleObama congratulates government Please enter your...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
There is some how a general consensus that the presidential results announced by both NEC and ZEC doesnot truerly reflect the wills of the people. Despite that general consensus, there are varied...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Nauliza kama JK kesha lihutubia bunge na kama kahutubia wapinzani wamehudhuria? Msaada jamani.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Civic United Front: Established : 1992 Founder : James Mapalala, Hamad Mlo Rised : 2000 Under the leadership of Professor Ibrahim Lipumba/ Seif S. Hamad Fall : 2010 Under...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Neno chakachua leo hii linajulikana kama njia ya Kikwete na CCM kujipatia idadi ya kura rasmi za NEC zaidi ya kura halisi walizopigiwa na wapiga kura. Lakini hasa asili ya neno Chakachua ni nini...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Nimethibitishiwa na mtu mzito aliyepo Kilombero kuwa CCM walitaka kumhonga aliyekuwa mgombea mbunge wa Jimbo la Kilombero, Regia Mtema, Shilingi milioni 200 ili akubali matokeo bandia ya kura za...
0 Reactions
51 Replies
6K Views
Ni rais ndani ya nchi yenye amiri jeshi mwingine, Hana jeshi, Hana nchi kwa maana ya ardhi, eneo la JMT ni pamoja na visiwa vya Zanzibar na Pemba, Hana mamlaka kwa wananchi wake mamlaka yake ni ya...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwa Taatifa nilizonazo ni kwamba Batilda 'Yule aliebagwa Vibaya na Lema' ana mpango wa kufungua mashtaka kushinikiza apewe ubunge wa arusha mjini. Je ataweza?...............Wanamabadiliko kama...
0 Reactions
62 Replies
7K Views
Back
Top Bottom