Wanabodi,
Katika bandiko hili naomba niongelee vyama vya kitaifa especially the big 3. Nikimaanisha CHADEMA, CCM na CUF?
Zanzibar:
Kama kigezo kingekuwa chama cha kitaifa lazima kiwe kile...
Wakuu naomba waliopo kwenye maeneo kulikofanyika chaguzi ndogo zilizoahirishwa oct 31 mfano mpanda mjini watupe hali ilivyoenda,naamini vituo vimeshafungwa.
Nakumbuka Rais Obama aliapishwa mara mbili kwa sababu alikosea kiapo chake kwa sababu ya kuweka neno "faithfully" mahali ambapo si pake! Kiapo chake kilikuwa kama ifuatavyo:
ROBERTS: I, Barack...
Duuh.. kama ndivyo hivi, basi kila mmoja wetu walau apate kuwa Rais mara moja maishani.....!!
Kwa kweli mafao haya na marupurupu yote ni kama kufuru vile...haswa ukizingatia hali ya kiuchumi ya...
THE NRM 2011 presidential candidate, Yoweri Museveni, has promised free education for Alevel students starting next year.
Museveni made the promise at different rallies in Lango sub-region...
Brazil vs Tanzania: Tofauti kati ya uchaguzi wa Oct. 31
Tafakari,
Tanzania na Brazil zote zilifanya uchaguzi wa Rais siku moja ya Jumapili, October 31, 2010.
Tanzania ina population isiyozidi...
- Well, uchaguzi uliomalizika umetoa mafundisho mengi sana kwa maoni yangu mojawapo ni kwamba wanawake ni lazima wapewe nafasi katika vyama vyetu vya siasa, sio siri kwamba wanawake wengi...
Hivi kura 9 za kuchagua Spika kuharibika ina maanisha kuna wabunge mbumbumbu au wakorofi au vilaza au msamiati mzuri ni upi jamani? Ivi awa wabunge walioharibu kura tukiwapa kutunga sheria...
Habari WanaJF
Nimeangalia wajumbe wa CC CCM na kugundua kwamba imejaa mafisadi
Na hiki ndicho chombo chenye influency katika hicho chama .Kwa maana hiyo hata Rais au Mbunge kama anaenda...
Nimekuwa nikifuatilia na kuichunguza video inayoonesha JK akianguka pale viwanja vya Jangwani siku ya uzinduzi wa kampeni wa Chama Cha Mafisadi.
Kabla ya kuanguka, JK alianza kwa kutamka maneno...
Na. B.OLE,
Baada ya kumaliza kwa sakata la uchaguzi Visiwani kinachoendelea sasa ni mdolongo wa kazi unaowakabili watendaji wa Serikali hasa Rais pamoja na makamo wake ambapo kwa mara ya kwanza...
Tanzania Elections
Obama congratulates government
By POLITICO STAFF | 11/12/10 7:14 PM Updated: 11/12/10 7:17 PM
Close Email this ArticleObama congratulates government
Please enter your...
There is some how a general consensus that the presidential results announced by both NEC and ZEC doesnot truerly reflect the wills of the people. Despite that general consensus, there are varied...
Civic United Front:
Established : 1992
Founder : James Mapalala, Hamad Mlo
Rised : 2000 Under the leadership of Professor Ibrahim Lipumba/ Seif S. Hamad
Fall : 2010 Under...
Neno chakachua leo hii linajulikana kama njia ya Kikwete na CCM kujipatia idadi ya kura rasmi za NEC zaidi ya kura halisi walizopigiwa na wapiga kura. Lakini hasa asili ya neno Chakachua ni nini...
Nimethibitishiwa na mtu mzito aliyepo Kilombero kuwa CCM walitaka kumhonga aliyekuwa mgombea mbunge wa Jimbo la Kilombero, Regia Mtema, Shilingi milioni 200 ili akubali matokeo bandia ya kura za...
Ni rais ndani ya nchi yenye amiri jeshi mwingine,
Hana jeshi,
Hana nchi kwa maana ya ardhi, eneo la JMT ni pamoja na visiwa vya Zanzibar na Pemba,
Hana mamlaka kwa wananchi wake mamlaka yake ni ya...
Kwa Taatifa nilizonazo ni kwamba Batilda 'Yule aliebagwa Vibaya na Lema' ana mpango wa kufungua mashtaka kushinikiza apewe ubunge wa arusha mjini. Je ataweza?...............Wanamabadiliko kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.