Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakati anaingia madarakani ilionekana kama anakirupuka hivi yaani anafungua nchi. Wengi tusingeweza kuamini kama angeonesha consistence katika sera yake ya mambo ya nje...yaani kufungua fursa kwa...
2 Reactions
16 Replies
210 Views
Naibu Waziri wa Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Mhe. Zainab Katimba, amesema tayari Serikali imetoa Sh.Bilioni 1.8 kwa ajili kuendelea na ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Muleba, mkoani Kagera...
0 Reactions
0 Replies
38 Views
Makamu Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Mhe. Jaji Rufaa (Mstaafu) Mbarouk Salim Mbarouk amefungua mkutano wa wadau mkoani Pwani leo Februari 01, 2025 ambapo ametangaza ratiba ya...
1 Reactions
7 Replies
314 Views
Taarifa za kuaminika toka ndani ya CC ya Chadema zinadai kwamba miongoni mwa majina yalikua shortlisted kwa ajili ya Kurugenzi ya Habari ni pamoja na; 1. Gervas Lyenda 2. Liberatus Mwang’ombe Na...
3 Reactions
37 Replies
1K Views
  • Redirect
🔴 WASOMI WANA JAMBO LAO DODOMA...!! MKUTANO MKUU MAALUM WA VYUO NA VYUO VIKUU 📍 Mahali: Ukumbi wa NEC - CCM, Dodoma 📅 Tarehe: 16 Machi 2025 ⏰ Muda: Saa 2:00 asubuhi 👤 Mgeni Rasmi: Ndg. Mohammed...
1 Reactions
Replies
Views
Mkoa wa Rukwa ni miongoni mwa Mikoa kongwe hapa nchini, tena ukiwa muhimu sana hasa kwa uzalishaji wa chakula. Pamoja na hayo, kwa miaka yote hiyo Mkoa huu haukubahatika kuwa na usafiri wa anga...
1 Reactions
4 Replies
109 Views
Copy and paste Viongozi wengi wa kisiasa huwa wanajitengenezea taswira fulani ktk uongozi wao. Kwa mfano aliyekuwa Waziri Mkuu, Edward Sokoine, alijijengea taswira inayofanana kidogo na taswira...
6 Reactions
18 Replies
784 Views
Kugawa Majimbo ya Uchaguzi Nchini Tanzania Maslahi ya Umma au Wanasiasa? ➠Kugawa majimbo ya uchaguzi ni mchakato muhimu katika kuhakikisha uwakilishi sawa na ufanisi katika mifumo ya...
1 Reactions
4 Replies
157 Views
Ni matumaini yangu kuwa mpo salama,kwa upande wangu namshukuru Mungu. Kwanza kabisa ni-declare interest kwamba mimi ni wa mkoa wa Mara,wilaya ya Serengeti,tarafa ya Ngoreme,kata ya Kenyamonta...
14 Reactions
133 Replies
20K Views
Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Kagera Faris Buruhani amekishukuru kikao cha Halmashauri kuu ya CCM Taifa [NEC] kilichoketi Mach 10, 2025 kwa kutoka na kauli mbiu ya KAZI NA UTU TUNASONGA MBELE...
0 Reactions
1 Replies
44 Views
  • Redirect
Hivi karibuni PM ametoa kauli ya ajabu ambayo haitarajiwi kutolewa hata na mjumbe wa nyumba kumi: Majaliwa anadai kuwa watanzania ambao wamemaliza vyuo vikuu na hawana ajira, wakajiunge na VETA...
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Naomba kuuliza wakuu kuijiandikisha kupata kitambulosho Cha kura mwisho lini maana Kwa huku kibaha sioni waandikishaji au ndio habari imeisha
1 Reactions
Replies
Views
Wanabodi, nimeikuta hii kwenye Tovuti ya kituo cha Ubia Kati ya Sekta binafsi na Sekta ya Umma PPPC imenivutia na ni mimi tu kuwaleteeni hii taarifa hapa. Kafulila anasema ikiwa Taifa...
11 Reactions
106 Replies
1K Views
  • Redirect
Kijana kasoma Muhimbili (representing other higher learning Institutes), amepata GPA ya 5. Serikali haiwezi kumwajiri kijana kama huyo, ni sahihi kweli aende VETA asomee udreva? Nina imani una...
0 Reactions
Replies
Views
MJADALA HURU WA KITAIFA KUHUSU MRADI WA GESI ASILIA MIMINIKA (LNG) MWAKA 2024 SEKTA NDOGO YA MAFUTA NA GESI Mabibi na mabwana, wanasiasa, wafanya biashara, wajasiliamali, wanazuoni, wataalam wa...
9 Reactions
143 Replies
6K Views
Gesi asilia ina uhusiano mkubwa na sekta nyingine za uchumi kama vile misitu, kilimo, usafiri, elimu, afya, madini, utalii, biashara, viwanda na nishati. Aidha, shughuli katika sekta ya gesi...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
CHADEMA muda huu wanzungumzia kampeni ya Tone tone namna inavyoendelea hadi sasa Updates... Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Godbless Lema na Mwenyekiti wa Kamati ndogo...
8 Reactions
35 Replies
1K Views
Wakati kuna vijana wanabubujikwa na machozi ya furaha humu kila siku.... wanajitahidi kwa kila siku kuanzisha nyuzi hadi 5 kutetea matamko na viongozi then nafasi nyeti anaenda pewa BaBu...
23 Reactions
57 Replies
3K Views
Petroli ni moja ya mafuta ambayo huagizwa kutoka katika mataifa ya nje kwa ajili ya kutumiwa katika magari madogo na ya kati. Mafuta ya petroli ambayo yanaigizwa kutoka mataifa ya nje yanachukua...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
Mkurugenzi wa Kituo Cha Uwekezaji Tanzania TIC bwana Gerald Teri amesema sera Bora na nzuri za Uchumi na Biashara zilizoasisiwa na Rais Samia zimefanikisha kuvutia uwekezaji wa mtaji (FDI) wenye...
6 Reactions
109 Replies
3K Views
Back
Top Bottom