Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Kuna baadhi ya watu humu JF wamekuwa wakihoji idadi ya wapiga kura kuwa milioni 29 mwaka huu na kueneza dhana potofu ya kuwepo kwa wapiga kura hewa. Si kweli hata kidogo. Idadi ya wapiga kura...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Napenda niwataarifu Watanzania kama bado unajiuliza kura yako ya Rais umpe nani basi Magufuli ni chaguo sahihi kabisa kwa kweli miaka hii mitano ametuongoza vzuri kimaendeleo zaid naamini hii...
0 Reactions
4 Replies
852 Views
Wakuu kwa sasa ni suala la muda tu kwa Nchi yetu kupata Rais Mpya kutoka kwenye chama kipya , naandika haya kwa kujiamini kabisa baada ya Tathmini ya uhakika , njia pekee ya kumshinda Lissu kwenye...
41 Reactions
165 Replies
17K Views
Habari wakuu, Awali ya yote nawahimiza watanzania kesho tujitokeze kwa wingi tukapige kura za kimbunga ata mwizi wa kura ashindwe namna ya kuiba. Tangu kampeni za urais zilipozinduliwa mpaka leo...
9 Reactions
29 Replies
3K Views
Kadri tunavyokaribia uchaguzi idadi ya wapiga debe wa CHADEMA mitandaoni inazidi kupungua siyo tu hapa JF bali hata huko facebook, twitter na sehemu zinginezo. Inaonekana wamepima upepo na kuona...
17 Reactions
52 Replies
6K Views
Ikiwa leo ni siku ya Maombi, Sala na Shukrani nchi nzima, Mgombea Urais anayesubiriwa kwa hamu kupigiwa kura na wananchi walio wengi ambapo anatarajiwa kushinda kwa zaidi ya 75%, anaendelea na...
21 Reactions
77 Replies
10K Views
Kufuatia kubandikwa kwa majina ya Wapiga kura kwenye Vituo vya kupigia kura, imebainika kuna Wapiga kura hewa(Ghost voters) na Vituo hewa vya kupigia Kura(Ghost Voters stations). Hii ni katika...
25 Reactions
91 Replies
8K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Kassim Majaliwa akiwa Nachingwea Mkoani Lindi amesema watakaoleta maendeleo ni Viongozi wa CCM. Amesema, "Tumeanza kuona watu wanakuja...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Ni maoni yangu kuelekea hitimisho la Kampeni leo 28/10/2020. Lengo kuu ni ili Wananchi wawasikie kwa lugha moja katika kuhitimisha na kesho wafanye maamuzi sahihi. Naamini leo hakuna pumba au...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Salama wana JF? Awali ya yote tujipe pole na pongezi ya kuyashugulikia maisha kwasababu bila ya hivyo basi tambua mkono hauta enda kinywani. maada kuu pasipo ya kupoteza mda nadhani wote...
0 Reactions
0 Replies
494 Views
Nadhani walibanwa mno, na ukiangalia uongozi wao utajua kwanini? Hata nyuso za watangazaji, ilikua unaona kabisa hawana raha kushindwa kutangaza taarifa za upinzani. Ilikua unaona kabisa nini...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Naamini kuwa Rais Magufuli anastahili kupewa nafasi nyingine ya kuliongoza Taifa letu kwa miaka mingine mitano. Hoja zinazotolewa bado hazijatosha kuwafanya Watanzania wengi kutokumuunga mkono...
14 Reactions
94 Replies
6K Views
October 28 ,2020 Watanzania twendeni tukamsimike Dkt. Magufuli Kwa ushindi wa kishindo ,miaka mitano mingine ya kazi, Afrika inajua ,Dunia inajua kazi ya Mtoto wa Afrika kutoka Chato ,mwana...
2 Reactions
11 Replies
777 Views
Ilikuwa hivyo tokea mwaka 2010. Kata haiunganishi matokeo ya Raisi Wala ubunge.
2 Reactions
46 Replies
5K Views
Serikali ya awamu ya tano inayoongozwa na Rais Magufuli imekuwa ya machungu na kilio kwa Watanzania wengi. Maisha ya mwananchi wa nchi iliyowekwa kwenye kundi la uchumi wa kati yamezidi kuwa ya...
18 Reactions
71 Replies
4K Views
LIVE: PROF.KITILA MKUMBO ANAHITIMISHA KAMPENI JIMBO LA UBUNGO
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Mbeya Majimbo ya mbarali, Mbeya mjini, Mbeya vijijini, Rungwe na Kyela Kigoma Majimbo karibia yote ni ACT Wazalendo na CHADEMA Dar es Salaam Majimbo yote kuna upinzani Zanzibar Mikoa yote ni...
8 Reactions
45 Replies
4K Views
Wewe unaye shinda humu, unashinda Facebook, Twitter na Instagram kushabikia CCM ilihali Ndugu zako hasa wazazi wako kule kijijini wanateseka kwa umasikini unao sababishwa na CCM. Mfumo wa Elimu...
0 Reactions
5 Replies
709 Views
Back
Top Bottom