Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

"Sisi tumekuwa wakali kutokana na aina ya wagombea tulionao kwa sasa, ndiyo wamesababisha watu waone mbona adhabu zimekuwa nyingi na kamati imekuwa kali hivi" - Katibu wa Kamati ya Maadili ya...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Sisi kama Raia wema tuna wajibu wa kukumbushana pale tunapoona Taifa letu pendwa linataka kudidimia kutokana na Uroho wa madaraka wa baadhi ya wagombea ambao tayari wako madarakani. Rais Magufuli...
6 Reactions
18 Replies
2K Views
Watanzania wote waliotimiza vigezo kwa mujibu wa sheria, wanatarajia kutekeleza haki yao ya kikatiba ya kupiga kura kuwachagua Rais, Wabunge, Wawakilishi na Madiwani. Hatua hii muhimu imefikiwa...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
40 Reactions
289 Replies
25K Views
Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana! Sina hakika kama ni maombi ya Watanzania au ni mapenzi ya Mungu tu, bali kikubwa kuliko yote ni kwamba mwisho wa CCM umefika rasmi baada ya wananchi kuikataa...
70 Reactions
143 Replies
11K Views
Jumatano ya tarehe 28 Oktoba Watanzania tuna nafasi ambayo binafsi naamini kwa wengi wetu wa kizazi hiku hatutapata tena. Ni nafasi ya mara moja katika maisha ya wengi wetu ya kufanya maamuzi sio...
9 Reactions
12 Replies
895 Views
Wakati Watanzania wakijiandaa kushiriki Uchaguzi Mkuu kesho Oktoba 28, 2020, Katibu Mkuu wa UN, Antonio Guterres ametoa wito mchakato huo ufanyike kwa amani Guterres amehimiza Viongozi wa Vyama...
2 Reactions
16 Replies
2K Views
Wiki ijayo tarehe 28/10 watanzania wote tunaenda kupiga kura kuchagua Rais, wabunge na madiwani Jambo moja ambalo kila mmoja anapaswa alitambue ni kwamba kura yako ni siri yako. Maana yake ni...
3 Reactions
39 Replies
3K Views
Timu ya watazamaji kutoka Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) yenye waangalizi 59 imewasili nchini kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu utakaofanyika kesho. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nini hatima ya uchaguzi wa mwaka huu? Mwaka 2015 CHADEMA walikuwa wakisema wakiingia madarakani, watafufua Shirika la ATC, watafanya shule bure, n.k. Magufuli ameyafanya hayo, na zaidi. Sasa...
0 Reactions
2 Replies
697 Views
Kabla ya kumaliza Misa Takatifu, Jumapili iliyopita ya tarehe 25/10/2020, baba padri alituomba tuimbe wimbo wa taifa kwa ajili ya uchaguzi wa 28/10/2020. Mimi niliingiwa na kigugumizi kwa sababu...
0 Reactions
1 Replies
729 Views
Nimetafakari sana huu mchezo unavokwenda, na nimejiridhisha bila shaka, mpaka sasa, CCM imepoteza pambano. Mtakubaliana na mimi ya kwamba CCM wameshindwa kwenye hoja za kampeni, CCM wameshindwa...
70 Reactions
200 Replies
13K Views
Wanawake wa Kawe wameapa kulinda heshima ya Kawe kwa kutoruhusu hilo jimbo kuangukia mikononi mwa tapeli wa kimataifa aliyejivika ngozi ya udini. Wamemhakikishia Mwenyekiti wao wa Taifa, Mhe...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kesho ni finally ya kampeni za Urais, hivyo ningependa kusikia hasa kutoka kwa Mh. Lissu na hata wagombea wengine wa upinza. Kwanza ainishe changamoto chache zilizopo na hapo hapo namna gani...
0 Reactions
3 Replies
771 Views
Hakuna sababu ya kuendelea kulia lia na ugumu wa maisha. Tuchague Tundu Lissu kwa kishindo upande wa Bara na Maalim Seif upande wa Visiwani. Tunayo hatima ya Tanzania mpya inayojali haki, uhuru na...
9 Reactions
10 Replies
965 Views
Viongozi wa dini mnayo nafasi yakukemea leo kwa sababu msipowakemea waumini wenu leo mkakaa kimya kesho watachafuka awataweza kuwafuata kutubu na awatataka kukutanisha uso wao na wenu kwa ajili ya...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Katika historia ya Chaguzi za vyama vingi tokea 1995 haijapata kutokea mgombea aliyepiga kampeni mfululizo na kutimiza takribani 96% ya malengo ya ratiba yake bila kuonyesha kuchoka kwa mwili au...
55 Reactions
87 Replies
5K Views
Kuna Taarifa zinazunguuka mitandaoni kuwa REDET wanajipanga kutoa ripoti ya utafiti wa mwenendo wa kisiasa nchini kesho tarehe 27/10/2020. Kama REDET watatoa taarifa hizo wakati nchi inaingia...
16 Reactions
42 Replies
4K Views
Nchi nyingi Duniani utangaza nakuweka wazi kampuni yakuzalisha vifaa na karatasi za kura na jamaa ni kampuni ya nje ya nchi husika vasi siku vifaa vinaingizwa nchini utangazwa na media uruhusiwa...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya Rais Magufuli kuingia madarakani na kuamua Tanzania iwe nchi inayojitegemea katika masuala yake za kiuchumi pamoja na kuleta mageuzi makubwa katika mikataba ya madini na uwindaji wanyama...
27 Reactions
104 Replies
5K Views
Back
Top Bottom