Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakuu Habari zenu? Kuna mwaka nilisimamia uchaguzi mkuu wa ngazi ya raisi, ubunge na udiwani mkoa fulani,nilichokiona nikaona vizuri chadema mkafanyia kazi kwenye mawakala wenu ni vitu vidogo ila...
8 Reactions
13 Replies
1K Views
Inaonekana dhahiri sasa hata wazee wamechoshwa na Taifa la watu kuishi kwa hofu. Msikilize Mzee Butiku hapa anavyopigilia nyundo kwa mzee Meko.
78 Reactions
120 Replies
15K Views
Kwa wanao fuatilia sera za wagombea wa Urais hasa Lissu na Magufuli? Nani anajenga hoja za mashiko kuhusu Uchumi wa hii nchi? Kiujumla tunataka kusogea mbele, tuone watu wanasafiri toka sehemu...
1 Reactions
76 Replies
4K Views
Na V. M [emoji736]Hakika nimejionea Mwaka 2020- Kumeendelea kuwa na Ushiriki mzuri wa Wanawake katika mchakato Mzima wa Uchaguzi; [emoji994] Nchini Tanzania kumekuwa na hamasa na muamko mkubwa...
0 Reactions
3 Replies
696 Views
Tunapenda kuufahamisha UMMA kuwa wasimamizi wa uchaguzi katika maeneo yafuatayo wamegoma kuwaapisha mawakala wetu:- 1) Bariadi 2) Bunda 3) Sinyanga Mjini 4) Morogoro Mjini 5) Chemba 6) Alumeru...
1 Reactions
29 Replies
2K Views
MGOMBEA Ubunge Kinondoni kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Saed Kubenea amesema anataraijia kushinda uchaguzi wa jimbo hilo kwa wastani wa asilimia 52.8 hadi 58.2. Kubenea ametoa kauli hiyo leo...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Akiwa Wilayani Chemba-Dodoma, akielekea makao makuu ya nchi Dodoma, mgombea Urais wa CCM amesimama na kuhutubia hadhira ya wana-Chemba. Lakini katika jambo la kushangaza ambalo pengine NEC...
16 Reactions
43 Replies
4K Views
Barua hii inayosambazwa Whatsapp ni feki100%. Tunavyokaribia siku ya uchaguzi, kunajitokeza taarifa nyingi za uongo zinzosambazwa katika mitandao ya kijamii. Usidanganyike ukaingia kwenye mtego wa...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wana JF wenzangu kilele cha kampeni kina hitimishwa kesho na siku ya kukata maneno ni Juma 5. Kama ulipanda viazi usitarajie kuna Choroko. Hii iwafikie wabunge WOTE na madiwani pamoja na Urais...
6 Reactions
9 Replies
973 Views
Baada ya kipindi cha kampeini kuisha yani kesho tarehe 27/10/2020 ni vyema sasa waandishi wa habari , wataalam wa mambo ya siasa , wadau wa maendeleo ni vyema sasa kuandaa kipindi maalum cha...
0 Reactions
0 Replies
507 Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema mgombea urais kwa tiketi ya CCM, Dkt. John Pombe Magufuli amemtuma aje amuombee kura kwenye...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Mgombea Urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt John Magufuli amesema kitendo cha Waziri Mkuu wa awamu ya tatu, Fredrick Tluway Sumaye na Mbunge mteule wa Jimbo la Babati Mjini Pauline Gekul...
1 Reactions
15 Replies
3K Views
Hali mbaya CCM Buganguzi, Mkuu wa wilaya apambana kurudisha Kata kutoka Chadema Agomewa. Nisehemu Alikozaliwa! Wana JF, Ukisikia derby kali ni kata ya Buganguzi iliyoseheni watu wanaojielewa...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Nianze kwa kuomba samahani kwa niliowakwaza kwa heading hapo juu! I am a realist and I wish to remain so! Upinzani haujafa kama JPM alivyotamaani ila umeumia! Our house isn't in orderWe can't...
7 Reactions
322 Replies
36K Views
Mkuu wa mkoa wa Simiyu, Anthony Mtaka, amesitisha minada na magulio yote mkoani humo siku ya uchaguzi mkuu ya Oktoba 28, 2020, ili kutoa nafasi kwa wananchi kwenda kupiga kura kumchagua Rais...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hiyo kupitia kutambua madhila ya CCM miaka 59 baada ya Uhuru maendeleo ya kujikongoja na propaganda za miaka mitano ya JPM. NDANI YA MIAKA 5 1. Kuua soko la mazao ya biashara kama vile korosho...
10 Reactions
23 Replies
2K Views
Wiki hii ni muhimu sana kwako. Ni wiki ya wananchi kuamua kuendelea kuhangaika na matibabu kwa kukosa pesa au kupata bima ya afya kwa wote. Ni wiki ya Mwanafunzi kuamua kuendelea kulipa riba ya...
14 Reactions
47 Replies
3K Views
Mgombea Urais wa CHADEMA, Tundu Lissu, amesema kuwa iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania, atabadili mfumo wa elimu kwa kuhakikisha zinajengwa shule mpya, vyoo pamoja na nyumba za walimu...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Pamoja na ukweli kuwa uchaguzi huu ni wa Rais, Wabunge na Madiwani ila ni ukweli usiokificho uchaguzi huu umehamia kwa Dr Magufuli Vs T. Lissu, umerudi kwa Maalim Sief VS Dr Mwinyi. Kwa...
0 Reactions
0 Replies
937 Views
Back
Top Bottom