Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Zikiwa zimebaki siku 3 kabla hatujaingia tarehe 28.10.2020 siku ya kufanyika kwa uchaguzi Mkuu Tanzania, nadiriki kusema kuwa nchi naona inamtaka Lisu. Nimezunguka Mikoa 25 ya Bara na 3 ya...
68 Reactions
173 Replies
13K Views
TLP leo imemlaki Magufuli katika eneo la Himo jimboni Vunjo. Magufuli akisalimiana na Mwenyekiti wa Chama cha TLP Mzee Agustino Lyatonga Mrema Akizungumza mara baada ya Rais kumpa nafasi ya...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Fellow countrymen when you see wrong or inequality or injustice, speak out, because Tanzania is your country. This is your democracy and so make it, protect it and pass it on. Democracy is not a...
1 Reactions
5 Replies
587 Views
Wanabodi habari ya majukumu? Nipo naangalia taarifa ya habari ya ITV naona leo hakuna taarifa ya mikutano ya Lissu. Je, leo Mh Lissu hakufanya mikutano? ITV ni vizuri muwe mnatupa taarifa mapema...
16 Reactions
44 Replies
5K Views
Ndugu zangu, Ukisikiliza yanayoendelea ndani ya ACT na CHADEMA kuhusu suala la Wagombea urais Muungano na Zanzibar utacheka sana na utagundua dhahiri kuwa hakuna upinzani Tanzania bali wasaka...
35 Reactions
145 Replies
10K Views
BIDHAA INAPOKUWA NGUMU KUUZIKA UNATAFUTA MBINU MPYA ZA UUZAJI Leo alfajir natoka msikitini rafiki yangu Abdallah Kageta ambae ndiyo mwadhini wa sala ya Alfajir hapa msikitini kwetu huwa tuna...
10 Reactions
12 Replies
1K Views
Kwa hakika ni WanaCCM wachache sana wanaojua kuwa CHADEMA NI MSINGI lilikua ni zoezi operation ya chama nchi nzima na lilikua na lango la kuhakiki wanachama wake nchi nzima ngazi zote kuanzia...
32 Reactions
41 Replies
4K Views
Jeshi la Polisi limemkamata mgombea ubunge wa jimbo la Kawe Dada Halima Mdee na sasa wanakwenda naye kumpekua nyumbani kwake Mbweni. Halima Mdee alikwenda kuripoti Polisi juu ya Matukio ya...
9 Reactions
71 Replies
11K Views
"Unapokwenda kulinda kura aga kabisa nyumbani kwako, uhakikishe familia yako umeiacha vizuri kwa maana utakutana na wenye kazi yao ya kulinda kura na unanaweza usirudi nyumbani ukaenda gerezani au...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Mh. Tundu Lissu leo atakuwa na Mikutano mitatu Jimbo la Singida Magharibi ambayo ni; 1: Sepuka, 2: Iglanson na 3: Ihanja. Wakati wa Mabadiliko ni sasa. Yani yule mwingine leo anafanya mkutano...
0 Reactions
0 Replies
915 Views
Tarehe 28 hiyooo imefika, Misimamo ya watanzania haitabiriki, Hii inatokana na kukosa uhuru wa kuongea, Watanzania wakikutana kwenye vijiwe wanamsifia Magufuli, Ukimdadisi mmoja mmoja kwa...
3 Reactions
13 Replies
1K Views
Nimemsikia Tundu Lissu kupitia East Africa Radio kwamba leo ataendelea na kampeni mkoani Ruvuma kisha wataelekea Dodoma, Singida, Kilimanjaro, Tanga na kumalizia Dsm siku ya mwisho. Nauliza tu...
2 Reactions
71 Replies
6K Views
Membe yuko live anafanya mahojiano na redio Tehran mida hii na ameulizwa kuwa kuendelea kwake na harakati za kampeni haoni kama zinamuhujumu Lissu na upinzani kwa ujumla? Membe amejibu kwa kuwa...
21 Reactions
104 Replies
10K Views
Tumsifu Yesu Kristu! Bado siku nne tu taifa hili linaingia kwenye uchaguzi ambao utaamua hatma ya wananchi wake ambao miaka mitano iliyopita walichagua viongozi wao, lakini kutokana na katiba ya...
0 Reactions
4 Replies
830 Views
Kati hali isiyo ya kawaida, Viongozi wa CCM waambulia watu 6 katika kikao kilichotegemewa kuwa na isiyo ya kawaida. Kwani TPDC peke yake in Kaya 72 na Mikocheni B ikiwa na watu ,5000 Mwezi...
9 Reactions
17 Replies
3K Views
Nawaomba wasimamizi wa uchaguzi mliowahi kutishwa kutimuliwa kazi eti msimtangaze wapinzani kwa vile mmepewa magari, mmepewa na mishahara. Toeni shaka hakuna mtu mwenye mamlaka ya kumfukuza DED...
1 Reactions
4 Replies
805 Views
Jumuiya ya viongozi wanawake kutoka vyama mbalimbali vya siasa, wamelaani tabia ya baadhi ya wanasiasa nchini kutoa lugha za vitisho. Wamesema tabia hiyo inaweza kusababisha uvunjifu wa amani...
0 Reactions
2 Replies
601 Views
Wadau nini kimetokea? Ukijaribu tuma ujumbe mfupi wenye maneno Tundu Lissu au John Magufuli hauendi ila jumbe nyingine zinaenda.... Jaribu kwa Airtel, Vodacom
7 Reactions
134 Replies
15K Views
Mgombea wa urais Dr. John Pombe Magufuli amewaahidi wakazi wa Karatu kulala wilayani hapo alipokuwa akiendelea na kampeni za kutafuta urais mkoani Arusha. Rais Magufuli ametoa ahadi hiyo na...
4 Reactions
61 Replies
8K Views
Mgombea urais kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF Profesa Ibrahim Lipumba, amesema atakapopata ridhaa ya kuwaongoza Watanzania, serikali yake itashirikiana na Jumuiya ya Umoja wa Kimataifa ili...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom