Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Habari wakuu, Nauliza kama ulijiandikisha mkoa flan labda Dar , Muda wa uchaguzi ukakukuta na majukum mengine labda Dodoma. Unaruhusiwa kupiga Kura ya uraisi au mpaka uende kituo...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Wooote wanaojihusisha katika usimamizi wa Uchaguzi Mkuu wa 2020 kutamka neno HAKI imekuwa ngumu mno kama kutamka tusi na nguoni au kukufuru, lakini wamejikita kwenye neno AMANI na wako radhi...
15 Reactions
29 Replies
2K Views
Ikiwa ni siku saba zimebaki kuelekea uchaguzi mkuu, mgombea wa Urais kupitia CCM Mhe. Dkt. John Magufuli, amewataka Watanzania kujitenga na propaganda za ubaguzi zinazoenezwa na baadhi ya...
11 Reactions
203 Replies
11K Views
Katibu Mkuu na Mgombea Ubunge wa Jimbo la Tunduru Kaskazini, Ndugu Ado Shaibu amekamatwa na Polisi ili kuzuiwa asihudhurie Mkutano wa Tundu Lissu unaofanyika Jimboni Kwake. Ndugu Ado Shaibu...
2 Reactions
21 Replies
3K Views
Ndugu na jamaa wanaotarajiwa kufanya safari ya kuja Zanzibar au kwenda Bara mnapaswa kufanya safari zenu mapema kabla ya wiki ijayo ya tarehe 28. Mkumbuke siku hiyo hakutakuwa na chombo...
4 Reactions
30 Replies
4K Views
WAGOMBEA wawili wa kiti cha Ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo kupitia majimbo ya Kibamba jijini Dar es Salaam na Kyerwa mkoani Kagera wamewajia juu viongozi wa chama hicho kutokana na kauli yao ya...
2 Reactions
78 Replies
7K Views
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA amesema yeye sio wa kwanza kumtumia mwanasheria au wakili ambaye ni raia wa Uingereza. Amejibu hivyo alipoulizwa kuhusu kutumia...
29 Reactions
71 Replies
7K Views
Tunawasoma watu maarufu waliopingana na uonevu wa wakoloni wakatuletea ukumbozi. Waliofanya hayo walianza kwenye sanduku la kura 1958 na 1961 wakaingia ikulu na mzungu akafungasha virago. Toka...
29 Reactions
40 Replies
3K Views
Polisi watumia Mabomu ya Machozi kuvuruga Mkutano wa @ACTwazalendo ulokuwa ukifanyika katika Kiwanja cha Legeza Mwendo Kata ya Milola Jimbo la Mchinga. Mgombea wetu, Ndugu Syprian Mtotomwema...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Habarini wenzangu, kama tuonavyo mambo ndio yanaelekea mwishoni, Tumejiandaaje pale Mawasiliano yakizimwa? Yaani JF, WhatsApp, Facebook, Insta, Telegram, Signal, SMS zikawa inaccessible. Njia...
6 Reactions
62 Replies
4K Views
Mkuu wa mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila, amesema serikali ya mkoa huo imejipanga kukabiliana na vijana 150 walioandaliwa kila Kata na vyama vya upinzani kwa ajili ya kufanya vurugu kwenye vituo...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kwanza niseme waziwazi kuwa mimi namuunga mkono Tundu Antipas Lissu kuwa ndiye mgombea ninayeamini anaweza kumng'oa John Joseph Magufuli na ndiye nitakayempigia kura. Lakini pamoja na hayo lazima...
32 Reactions
151 Replies
10K Views
MBOWE ANAWEZA KUPATA FEDHEHA UCHAGUZI HUU Na Thadei Ole Mushi Mwaka huu Mh Mbowe kabla hata ya Kampeni kuanza alifanya mkutano mmoja kwenye Jimbo lake la Hai maeneo ya Tambarare akaulizwa Swali...
10 Reactions
69 Replies
5K Views
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imewataka wagombea wanaowania nafasi za kuchaguliwa kupitia Uchaguzi Mkuu wa rais, wabunge na madiwani, utakaofanyika wiki ijayo waache kuwa na matokeo mifukoni...
2 Reactions
79 Replies
5K Views
Kura yangu inakupa hakikisho la kula miaka 5 bila bugudha yoyote ni contract yangu na wewe kiongozi hivyo thamani yake ni kubwa kuliko dhahabu na almasi. Nitapiga kura yangu, nitailinda kura...
0 Reactions
1 Replies
452 Views
Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) Dkt. John Pombe Magufuli amekutana na Masista wa Bikira Maria of Kilimanjaro (Sisters of our lady of Kilimanjaro) Moshi mjini mkoani Kilimanjaro...
7 Reactions
73 Replies
8K Views
Mikutano mingi ya Chama cha Mapinduzi inapomalizika eneo la tukio watu wenye uniform za chama upotea au kuzibadilisha na hivyo kutoonekana wakiwa wamezivaa kurejea makwao. Miaka ya nyuma mtaani...
18 Reactions
62 Replies
6K Views
I first came to Tanzania over 30 years ago to volunteer as a doctor, and that experience instilled in me a deep and lasting affection and respect for Tanzania and the Tanzanian people. It was the...
66 Reactions
294 Replies
17K Views
Kwenu Masheikh na wahadhiri wetu Nawasalimien Assalam Aleikum. Jana mmefanya press conference, mmezungumza na kutoa kauli yenu kuhusu hatua ya Sheikh Ponda kusimama na kuwataka Waislamu na...
132 Reactions
337 Replies
27K Views
Rais Magufuli amesema kuna watu wanadai anamchukia Mrisho Gambo na kwamba alimfukuza kazi ya mkuu wa mkoa wa Arusha lakini hiyo siyo kweli. Gambo alinifata akaniomba agombee ubunge ili aiokoe...
5 Reactions
173 Replies
14K Views
Back
Top Bottom