Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katika mkutano wa Rais Mtarajiwa Tundu Lissu polisi walifika eneo la mkutano na kuanza kuwatawanya watu kwa kutumia mabomu hata hivyo kwa kuwa Lissu ni kiongozi Wala si mtawala aliamuru watu...
21 Reactions
107 Replies
13K Views
Nec ijifunze democrasia kutoka kwa jabali la democracy Tanzania JPM. Akiwa Mwenyekiti wa CCM aliamuru kura zihesabiwe kwa uwazi kabisa mbele ya wajumbe kwenye mchakato wa kura za maoni kupata...
3 Reactions
20 Replies
2K Views
KELELE ZA CHINA DHIDI YA NCHI ZA NJE KUINGILIA UCHAGUZI WA TANZANIA SIO KELELE ZA CHURA MTONI! Taarifa ya China iliyotolewa na msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya nchi hiyo bwana Zhao Lijian...
2 Reactions
4 Replies
986 Views
Wakazi wa mji wa Tandahimba na vitongoji vyake walikusanyika kwa wingi kwenye viwanja vya shule ya msingi Matogoro ili kumpokea mgombea urais anayeiwakilisha CHADEMA Mh. Tundu Lissu. Kwa hakika...
46 Reactions
112 Replies
13K Views
TUNDU LISSU V/S UONGOZI CHADEMA Inasikitisha sana kuona Tundu Lissu akifanya kampeni zake bila viongozi wa kuu wa chama, wale wana gombea ubunge tunajua hawawezi kuwepo kila pahali, lakini...
1 Reactions
52 Replies
4K Views
Ndugu zangu, Kutokana na hali ilivyo huenda CHADEMA ikakosa Mbunge ambaye ni kiongozi Mkuu katika chama kwani Mbowe ambaye ni Mwenyekiti nafasi yake kurudi bungeni ni finyu mno kwani Wananchi wa...
9 Reactions
34 Replies
4K Views
NITAKUWA RAIS MSIKIVU NA NITAUNDA SERIKALI YA UMOJA WA KITAIFA " PROF.LIPUMBA" LIWALE Nchi yetu imejaa ufisadi, ubinafsi, migawanyiko, kuumizana, ubaguzi, kutokuaminiana, chuki, kukata tamaa na...
0 Reactions
12 Replies
995 Views
Katika kipindi hiki cha kampeni za urais, nimekuwa nikimwona huyo jamaa aliyevaa ‘Kaunda suti’ ya buluu hapo kwenye picha, akiwa pembeni ya Tundu Lissu karibu kila sehemu. Nikiangalia mavazi yake...
14 Reactions
149 Replies
15K Views
Mgombea ubunge wa jimbo la ubungo kupitia Chama Cha mapinduzi Profesa Kitila Mkumbo amezungumzia Mambo matano muhimu atakayoanza kuyashughulikia punde tu akiapishwa kuwa mbunge. Profesa Kitila...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ndugu zangu wasalam, Mimi ni mwajiriwa kwenye sekta binafsi na nimeanza kuchanigia NSSF tangu mwaka 2011, akiba yangu ni kati ya Mil 60-75, japo kuna kipindi nilijitoa nilipohama kampuni, muda...
12 Reactions
47 Replies
4K Views
Mgombea wa Urais Kupitia chama cha ADC Mh Queen Cuthbert Sendiga leo hii ameahidi kujenga chumba Cha kuhifadhia maiti haraka sana katika hosp ya wilaya ya Arumeru (Patandi) endapo atapatiwa nafasi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakazi wa Bukoba, naomba muelewe kuwa boss hanuniwi. Kuendelea kuuchagua upinzani ni kuendelea kwa hiyari yenu kabisa kujitenga na maendeleo. Jifunzeni kuenda na uelekeo wa upepo. Amkeni...
5 Reactions
48 Replies
3K Views
Kumekuwa nadharia kuwa watu wengi tunaoshinda mitandaoni aka wazee wa keyboard hatuna muda wa kwenda kupangana na mistari kwa ajili ya kuchagua viongozi wetu wawe wapinzani wawe chama tawala...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi. Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa...
3 Reactions
78 Replies
6K Views
Nimeona Video clip inayomwonyesha Mgombea Ubunge wa CHADEMA Nyamagana (John Pambalu) akishtukia uwepo wa kituo Feki/Bubu/Hewa Jimboni humo. Namba ya utambulisho wa Kituo hicho haikuwepo kwenye...
39 Reactions
132 Replies
9K Views
Niliwahi kuuliza humu JF kuhusu Wasifu wa Dkt. Mahera ambaye ni Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi , lengo la swali lile lilikuwa kufahamu uwezo na weledi wake na nadhani sasa mmeanza kujua...
11 Reactions
47 Replies
5K Views
Jina lipo vizuri limenyooka hakuna konakona. Nasema tukutane dimbani tarehe 28. Nimeongea na mtendaji tumekubaliana kura yangu isiguswe wala isichezewe. Ameniuliza kama nimeshafanya maamuzi...
17 Reactions
37 Replies
2K Views
UTANGULIZI: ¶• Nianze kwa kutoa FACT CHECKS zifuatazo: FACT No. 1; Ni wazi kuwa uchaguzi wa mwaka huu katika ngazi ya Urais atakuwa aidha Tundu Lissu (CHADEMA) ama John Magufuli (CCM)...
34 Reactions
68 Replies
6K Views
"Jumla ya mawakala wa chama watano wamefariki katika hekaheka za kukimbizana na haya marekebisho yaliyotolewa usiku na asubuhi kuambiwa sasa hamuapishwi hapa mnatakiwa mkimbilie kwenda kuapishwa...
6 Reactions
48 Replies
4K Views
Mkurugenzi wa mashtaka nchini Tanzania (DPP) Biswalo Mganga amesema yeyote mwenye lengo la kuvuruga amani ya nchi atashughulika bila kujali dini, jinsia wala cheo chake. Biswalo ameeleza hayo...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Back
Top Bottom