Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Nilifika nchini Tanzania kwa mara ya kwanza zaidi ya miaka 30 iliyopita kufanya kazi ya kujitolea kama daktari na uzoefu huo ulinifanya nijenge heshima na mapenzi ya kina na ya kudumu kwa Tanzania...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Leo hii Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na mgombea urais kupitia CCM bila ya huruma yoyote na kwa zaidi ya dakika 23 alimkaba Mbowe akiwa chini na kumwekea goti shingoni kwa muda wote...
16 Reactions
69 Replies
6K Views
Nimeona Mfano wa karatasi ya kupigia kura za Urais inayosambaa mitandaoni na ambayo inadaiwa kutolewa na Tume ya Uchaguzi (NEC). Nina swali dogo tu ambalo naomba nijibiwe. Huu mpangilio wa Majina...
55 Reactions
302 Replies
27K Views
Kuelekea Uchaguzi Mkuu nimekua nikifuatilia matangazo ya taarifa za habari kwa vituo vyote vya TV za hapa nyumbani nakushangazwa na Kituo cha Television cha Star TV cha jijini Mwanza. Kimekuwa na...
6 Reactions
30 Replies
2K Views
Awali ya yote ningependa kwa unyenyekevu mkubwa kumshukuru mwenyezi Mungu wa mbinguni na mwingi wa rehema kwa kutuwezesha sisi watanzania kuwa na kiongozi wa aina yake katika nchi yetu. Rais...
43 Reactions
220 Replies
22K Views
Hizi siku chache zilizobaki, unaweza kuzitumia vizuri kwa kuwaongezea mishahara watumishi. Hawa ni watu wasio na kinyongo na huridhika kwa kitu kidogo tu. Ili kupunguza 'technicalities'...
3 Reactions
55 Replies
5K Views
Kama kuna jimbo ambalo CHADEMA wanaliwinda kwa udi na uvumba basi la Meatu lipo juu kwenye list! Ni jimbo ambalo lilikuwa chini ya CCM likiwakilishwa na mfanyabiashra mwenye kiwanda cha vintwaji...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Kuelekea uchaguzi wa tarehe 28 naomba Chadema na ACT Wazalendo mchukue tahadhari muhimu 1) Kuhusu mawakala wenu, wajiamini, wawe makini na matukio yote, wawe wenye uzalendo maana pesa nyingi...
26 Reactions
48 Replies
5K Views
Sheria za Tanzania zinasemaje kuhusu kufanya shughuli za serikali wakati wa kampeni? Je, sheria inakubali au hakuna mwenye uthubutu kukemea? Sheria inasemaje kuhusu ahadi ya ajira? Hii siyo...
3 Reactions
9 Replies
964 Views
WATU WA MUNGU TUTAMCHAGUA TUNDU LISU. Na, Robert Heriel Sisi watu wa Mungu, wapenda haki, wakataaji wa dhuluma, wakataaji wa utesaji, wapinga umungu mtu, wapenda uhuru, sisi tunaopenda umoja...
37 Reactions
96 Replies
6K Views
Kawaida na hulka ya binadamu ni kutamani kusikia au kuona kitu kipya kuliko cha zamani, wazungu wanasema test the difference. Tangu kampeni zianze CCM wamekuwa wakipoteza muda mwingi kuelezea...
38 Reactions
101 Replies
8K Views
Mgombea Ubunge katika Jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya chama cha CCM Ndg. Issa Mtemvu kwa uchunguzi nilio ufanya ni kwamba wananchi wa jimbo la Kibamba wanakuhitaji sana ili uweze kutatua...
1 Reactions
34 Replies
3K Views
Mbunge mteule Viti Maalumu Mkoa wa Kagera (CCM) Regina S Zachwa amewataka wanachama wa CCM, wananchi kwa ujumla kurudisha Shukrani kwa Rais Magufuli kwa kumchagua kwa kura nyingi za kishindo...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Salaamu, Kwanza niwapongeze vyama tajwa kwa mwitikio mkubwa vinao upata kutoka kwa wananchi kwa muendelezo wa kampeni zinazoendelea tofauti na mategemeo ya watawala. Wote tunajua maelekezo...
1 Reactions
2 Replies
812 Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha UPDP amesema kuwa Serikali yake itaandaa Muswada punde baada ya kuingia Bungeni kwa ajili ya unyanyasaji na udhalilishaji wa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wakuu, Niko hapa Korogwe ambapo Kesho tutakuwa na kampeni ya mkoa kwa mgombea wa CCM ndugu Magufuli. Wananchi wamejitokeza kwa wingi sana kumsalimia barabarani. Watu ni wengi mno. Nimeamini kuwa...
34 Reactions
246 Replies
19K Views
SUALA LA SIMU KWA MAWAKALA: TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI MSIHARIBU UCHAGUZI WA WATANZANIA! Taarifa kuwa Tume ya Taifa ya Uchaguzi itazuia Mawakala wa Vyama kuingia na simu zao katika vituo vya...
24 Reactions
82 Replies
7K Views
Tutaunganisha sera za vyama vyote vya siasa ndani ya siku 100 za kwanza madarakani Mgombea Urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha Wakulima Tanzania, AAFP, Seif Maalim Seif...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Mkurugenzi wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi, Dkt. Wilson Mahera amewashauri waangalizi wa ndani wa uchaguzi kuwa na fedha ili wawe na uwezo wa kufanya kazi hiyo badala ya kutegemea wafadhili. Ametoa...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha UPDP, Twalib Kadege, amesema kuwa ikiwa Watanzania watampa ridhaa ya kuongoza nchi watahakikisha vyama vyote vinapata ruzuku...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom