Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Katibu wa CHADEMA kata ya Tabata, Jacob Emily inadaiwa ameumizwa alipokua akiyazuia majina yaliyoletwa na watu wa CCM yasiingizwe kwenye daftari la uandikishaji wapiga kura. Watu wa CCM inadaiwa...
3 Reactions
33 Replies
1K Views
PIA SOMA - LGE2024 - Special Thread: Hali ya Vituo vya Kujiandikisha kupiga Kura Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024 kwa Picha na Video
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Vyama vingine baada ya wanachama wao kugoma kushiriki maandamano haramu yaliyopigwa marufuku na kudhibitiwa na polisi, wame nyong'onyea, wamesinyaa na wamekua kama wamepigwa ganzi hivi, Lakini pia...
8 Reactions
65 Replies
2K Views
Chadema wanishawishi, maana naona iwe jua iwe mvua ccm itashinda. Sasa waniashawishi. 1. Hawatalalamika kama kura zao zimeibiwa? 2. Watazilinda kura zao? PIA SOMA - LGE2024 - CHADEMA ikikomaa...
0 Reactions
3 Replies
184 Views
Nimeamka asubuhi mke wangu ananiambia tunaitwa kwa mwenyekiti, nikajikuta niende kumsikiliza anasemaje, nikamkuta kijana anaandikisha majina anasema anataka kutupa kadi za CCM za kieretroniki...
5 Reactions
19 Replies
652 Views
Wanawake, Umeshajiandaa kugombea nafasi za uongozi au mnasubiri mseme ningekuwa mimi ningefanya hivi, au haya mawazo yanatuumiza Wanawake au haya maamuzi hayawagusi wanawake? Huu ndio muda...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Walimu wanatia huruma katika hivyo vituo. Serikali ijitafakari. Mwisho.
8 Reactions
95 Replies
3K Views
Uchaguzi wa Serikali za mitaa Kwa jinsi unavyoendeshwa kwa kweli ni kama mashindano ya mtaani tu maarufu kama ndondo. Lakini pamoja na hiyo CCM inaonekana imepania kiharamu kushinda uchaguzi huu...
4 Reactions
8 Replies
294 Views
Hali ya vyama vya siasa zikoje katika maeneo yenu katika uchaguzi huu mdogo wa Serikali za mitaa , na je , Muamko wa wananchi ni wakiwango gani?
1 Reactions
32 Replies
1K Views
Nikiwa Mtanzania mwenye akili timamu. Zifuatazo ni sababu za kususia kujiandikisha: 1. Katiba mbovu. Hata mchague nan sahau mabadiriko. 2. Utofauti mkubwa wa mjini na vijijini, ata mkijitokeza...
5 Reactions
11 Replies
392 Views
Habari Ninacho hisi watu wengi kutokujiandikisha kwenye Chaguzi za Serekali za Mitaa pamoja na kutumika hamasa nyingi Watu wengi walikuwa wanajiandikisha ili wapate Kadi ya kupiga kura iwe kama...
1 Reactions
1 Replies
132 Views
Ukweli lazima usemwe hata kama ni mchungu...mwaka huu kumekuwa na ugumu sana kwenye haya mazoezi... Kwenye vitambulisho vya kura watu wameenda tu tokana kuaambiwa vitawasaidia kwenye shughuli...
3 Reactions
7 Replies
408 Views
Wanazingua hawa, hii ilitokea jana na kuripotiwa kupitia ukurasa wa Boniface Jacob (Boniyai). --- Ustaarabu siyo tabia ya CCM Hawa ni Watoto wa shule Wamekutwa wanaandikishwa katika daftari...
0 Reactions
0 Replies
230 Views
Wakuu, Kama bado hujaenda kujiandikisha kupiga kura tafadhali tazama picha hii ya Rais Samia na Nyerere kwa nyakati tofauti wakiwa kwenye foleni wanasubiri zamu zao zifike...
14 Reactions
45 Replies
2K Views
Siku zote tumesema humu na kwingineko kwamba, Uongozi ni Kuongoza Njia, hii ina maana kwamba unapokuwa kiongozi unapaswa kuwaongoza waliokupa dhamana hiyo. Tofauti na Viongozi wengi...
1 Reactions
6 Replies
400 Views
Leo, Ijumaa, 11.10.2024, Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini, Prof Sospeter Muhongo, amejiandikisha kupiga kura tarehe 27.11.2024. Vilevile, ametembelea vitongoji kadhaa vya Kata nne, ikiwemo Kata...
0 Reactions
6 Replies
311 Views
Zitto amewataka Watanzania wote kujiandikisha katika mitaa, vijiji, na vitongoji vyao ili waweze kushiriki katika uchaguzi ujao unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2024. Amesisitiza umuhimu...
0 Reactions
1 Replies
143 Views
Wakuu, Mambo yanazidi kuwa matamu, wakuu mkashiriki kupiga kura tujue kama hawa watu milioni wanaokusanywa kwenye mikutano ni wa kweli au ni janja janja ===== "Mbali na kupoteza Dira na...
0 Reactions
1 Replies
229 Views
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Kanda ya Nyasa kimewahimiza wananchi kujitokeza kujiandikisha kwenye daftari la mkazi ili waweze kushiriki katika uchaguzi wa Serikali za mitaa...
0 Reactions
1 Replies
280 Views
Aliyekuwa Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kupitia ukurasa wake wa X ameonesha namna ambavyo kumeanza kutokea udhaifu na ubabaifu kwenye mchakato wa kuandikisha wapiga kwenye uchaguzi wa...
1 Reactions
12 Replies
804 Views
Back
Top Bottom