Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Dkt. Mwinyi mgombea wa kiti cha urais Zanzibar ni kiongozi mwenye hoja mama na falsafa za ukombozi zenye kujikita kwenye uungwana wa utu kwanza katika kuwatumikia watu, anashawishi anapojenga...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa 1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti...
37 Reactions
104 Replies
11K Views
Dr. Tulia Ackson Ni vyema ukajifunza unapozungumza na Wananchi na ukatambua nafasi ya kazi unayotuomba tukupatie Wana Mbeya. Kazi ya Mbunge siyo kwenda kuomba fedha kwa Rais, fedha za nchi ni...
38 Reactions
54 Replies
6K Views
Tume ya uchaguzi mnashindwa kujitenga na chama Cha mapinduzi. Mliaanza kuwapa ushindi wa mezani, mkamaliza mkawasimamisha wagombea wa udiwani na Ubunge kufanya kampeni lakini homa ikazidi...
6 Reactions
16 Replies
2K Views
Kwanza kabisa tukubaliane kwamba mtanange wa uchaguzi umepamba moto huku kila chama cha siasa kikijitahidi kunadi wagombea wake na kushawishi wananchi kuwachagua. Kwa namna nyingine tumeona...
16 Reactions
37 Replies
6K Views
1. Mgombea wa CCM akihubiri Upendo, Umoja, Amani na Mshikamano; Mgombea wa CHADEMA anahubiri mafarakano na utengano baina ya Watanzania wenyewe. 2. Mgombea wa CCM anaeleza namna kusimamia na...
0 Reactions
4 Replies
627 Views
Akiwa mkoani Dodoma ambayo kwa asili ni ngome ya chama cha mapinduzi, Ndugu Lissu amefafanua kwa uzuri kabisa na kwa lugha rahisi kabisa ya kueleweka anamaanisha nini pale CHADEMA inaposema haki...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Wana hamvi hamjambo humu? Mpaka sasa tumeona jinsi kampaini zinavyo kwenda Kati ya miaka mitano tena Na miaka mitano kwanza Kwa mwenendo huu wa kampain inavyoenda bila ya kuelemea upande wowote...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Kwa anaefahamu,naomba atujuze kwani teyari mitandaoni watu wameanza kusema yao. Halafu hivi JAMANA PRINTERS ndio kina nani hasa? CC: CHADEMA
1 Reactions
58 Replies
5K Views
Tusimchague rais ambaye akiyapata madaraka anachukia ushauri na kuona kama kumshauri ni kuingilia Uhuru wake. Rais anapaswa kujua kwamba yupo madarakani kuyatimiza yale ambayo wananchi wanataka...
15 Reactions
88 Replies
5K Views
Tulishuhudia kampeni za uchaguzi wa 2015 Lowassa akizunguka na timu nzima ya viongozi wakuu wa CHADEMA na karibu wabunge wote kila alipokuwa anakwenda kufanya kampeni. Mwaka huu ni tofauti...
20 Reactions
79 Replies
6K Views
Hii ni kwasababu kwanza bado hajajua achague kipi kati ya kuendelea kuwa Mwanaharakati au Kujiandaa kuwa Kiongozi. Hali hii imemfanya afanye harakati sana hata anapokuwa kiongozi. Nivyema akabaki...
21 Reactions
79 Replies
6K Views
Habari wanajf, leo kuna jambo moja ambalo nimeona nilizungumzie ili tuweze kukaa sawa na kuweza kushinda mapambano yetu yanayokuja. Ninaamini kuwa hadi sasa CHADEMA ila ilani nzuri sana ambayo...
9 Reactions
62 Replies
4K Views
Habari wakuu, Wiki iliyopita nilikuwa kwenye kampeni ya mgombea ubunge wa upinzani anayetetea kiti chake Mhe. Joseph Mbilinyi eneo la Stendi ya chunya. Nilichogundua ni kwamba kuna vijana...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Shule za mkoloni zinaonesha kuchoka na kulegea. Watoto wa kusoma wanaongezeka kila mwaka shule haziongezeki. Kanda ya ziwa hakuna chuo kikuu cha serikali ni vijitawi tu. Jana nilimuona mgombea...
0 Reactions
0 Replies
693 Views
Hivi sasa ukipita mitandaoni, utaona kabisa kuna aina fulani ya watu kuanza kuhamasishana kuhakikisha haki inatendeka katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu na wanasiasa ndio wanaonekana kuwa mstari wa...
21 Reactions
105 Replies
9K Views
Alitegemea kukubarika zaidi, kwa jinsi alivyokuwa akitumia vyombo vya Habari, shirika la utangazaj nchini TBC, vyombo vya Habari vya CCM. Yawezekana watu hawavifuatilii sana ama ugumu wa maisha...
81 Reactions
171 Replies
20K Views
Mnachopigania ni kitu gani? Wajua kuna ile busara ya kuzaliwa nayo, unaona kabisa uwezo wangu wakushinda Urais hapa sina unapiga porojo tu kusumbua watu. Mnajua mwaka huu fulani anaungwa mkono na...
6 Reactions
19 Replies
2K Views
Katiba ya Tanzania ya mwaka 1997, inaeleza majukumu ya mbunge kwa jimbo lake kama ifuatavyo:- (a) Kumuuliza Waziri yeyote swali lolote kuhusu mambo ya umma katika Jamhuri ya Muungano ambayo yako...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Amani iwe nanyi wadau Kama mada inavyojieleza hapo juu, hizi ndo sababu za Kwa nini Uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu ndo uchaguzi Mgumu zaidi kwa CCM? 1. Mwaka 2015 Chadema walikuwa na mgombea...
36 Reactions
104 Replies
9K Views
Back
Top Bottom