Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Ndugu Wana jukwaa wenzangu nawasalimu. MAKULUMLA ndio hilikiwa ngome ya chadema kwa Jimbo la Ubungo lakini Toka kitila apate ridhaa ya kupeperusha bendera ya chama Cha mapinduzi, wakazi hao...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, Kwenye Kampeni za Uchaguzi, Wagombea wanalazimishwa kuongea Kiswahili au wawe na Mkalimani pale penye ulazima. Sasa inakuaje Lissu Mgombea Urais wa Tanzania kupitia CHADEMA...
11 Reactions
100 Replies
10K Views
1. Tusimamie haki, tutende haki na tuhamasishe watu wetu kutotumia nguvu inayo dhuru mtu, ua watu , kupoteza watu na kuharibu uchaguzi. Toka tulipoanza na tulipofikia kuna matukio mengi tayari...
10 Reactions
21 Replies
2K Views
Tumetoka kwenye ukata wa pesa Tumetoka kwenye asilimia 15 ya bodi ya mkopo Tumetoka kwenye mateso, utekaji na mauaji Tumetoka kwenye ukosefu wa ajira Tumetoka kwenye kusimamishwa fao la...
2 Reactions
6 Replies
740 Views
Mdau najua wewe ni shahidi.Kila makao makuu ya mkoa anapopita Mgombea wa CCM na mgombea mwenza kumekuwa na tabia ya kuachisha masomo wanafunzi na kusombwa kuhudhulia mkutano. Hii sio haki kwani...
13 Reactions
30 Replies
3K Views
Ni kama vile Shughuli imeisha jimbo la Ubungo, hii hapa ni kata ya Makuburi.
12 Reactions
33 Replies
5K Views
Mgombea urais Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia CHADEMA, Tundu Lissu, akizungumzia tukio la mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano kupitia CCM, Dkt Magufuli juu ya kauli zake kuhusu wanawake...
26 Reactions
135 Replies
13K Views
Ndugu zangu, Maajabu hayaishi,ukisikia visingizio kuhusu karatasi basi ujue hadaa kuhusu kalamu maalum kupiga kura inakuja. Hili si geni,ikifika kipindi karibu na kupiga kura lazima Chadema...
5 Reactions
55 Replies
5K Views
Hakukuwa na sababu ya msingi kwa MC, DJ Mbowe na Mwalimu kuwapa watu waliohudhuria tension zisizo na maana eti kuna maamuzi mazito yatokanayo na uenguaji wa wagombea wa ACT na CDM. Taarifa...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
NUKUU ZA NDUGU HUMPHREY POLEPOLE KATIBU WA HALMASHAURI KUU, ITIKADI NA UENEZI KATIKA MKUTANO WA HADHARA KATA YA MAKONGO JUU - KINONDONI 11 Oktoba 2020 1. "Nataka ndani ya hizi siku 7, mafundi wa...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
MKINICHAGUA OKTOBA 28, KUWA RAIS WA NCHI HII NITAWEKEZA KWA WATU, KISHA WATU WAWEKEZE KWENYE VITU"PROF. LIPUMBA" DODOMA- CHEMBA Tutahakikisha haki sawa na furaha kwa wote Haki ya Elimu kwa kila...
0 Reactions
0 Replies
827 Views
Kila siku ipitayo kwa Mungu historia mpya ya nchi hii inaandikwa. Historia hii ina jambo la kijifunza ili kusaidia kujenga taifa kutokana na experience inayopata. Napenda kuchukua nafasi hii kama...
26 Reactions
40 Replies
5K Views
Huyu bwana akili zake nyingi sana pamoja na kua na ufahamu mkubwa wa masuala ya katiba na sheria lakini hayupo nyuma pia kwenye kuyafahamu masuala kazima ya kiuchumi. UNAJUA ALISMAJE? Lissu...
34 Reactions
39 Replies
4K Views
Wameona Mbatia anatema cheche wamekata matangazo na kutupeleka kwa rungwe Hivi wataacha lini huu uhuni? Hakuna anaetaka kumsifia jiwe tena nchi hii Update Rungwe kwanza kuongelea juu ya ulafi...
6 Reactions
55 Replies
8K Views
Nimekuwa nikifatilia habari mbalimbali hususani habari za UCHAGUZI KUU NA WAGOMBEA WAKE. nimegundua ni ITV pekee wanaorusha habari sahihi zisizo elemea upande wowote ule(sijui azam).ukikosa...
25 Reactions
46 Replies
5K Views
Kushinda uchaguzi ni moja na kuwavuta kwako watu wengi wezekanavyo ili wawe upande wako wao na familia zao wakupe kura. CHADEMA tumeiona ikiponda kuanzia Askari, wafanyakazi wa tume, viongozi wa...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Watanzania tumeendelea kuishi maisha ya kutojua kesho yetu kwa zaidi ya miaka 59 ya uhuru. Barabara mbovu sana hasa huku kwetu vijijini,maji taabu sana huku vijijini,dawa hakuna, shule ndiyo...
10 Reactions
36 Replies
3K Views
Kuna tatizo kubwa lipo kwa mgombea ubunge wa jimbo la Ubungo Mh.Boniface Jacob. Siasa za upinzani sio za kushambuliana wenyewe kwa wenyewe, lakini anachofanya huyu kitapelekea tatizo kubwa kwa...
8 Reactions
40 Replies
5K Views
Sioni kama yule mwandishi NGULI, msomi wa uandishi Kisha akahamia kwenye wigo wa Sheria Bwana Pascal Mayalla Kama anaweza jibu hoja hizi. Nyani Ngabu the Monkey of the nation anaweza kumung'unya...
5 Reactions
17 Replies
2K Views
Mara nyingi naegemea Upinzani Ila leo nawapongeza CCM kwa walivyoanza kampeni zao. Hawajawashambulia Wapinzani kwa kejeli au matusi kama ilivyokuwa mwaka 2015 ambapo Lowassa alitukanwa sana kuhusu...
17 Reactions
84 Replies
5K Views
Back
Top Bottom