Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

UNAHITAJI KUWA MUONGO KAMA COMICAL ALLY KUSEMA TINDU LISSU ATASHINDA MBIO. Leo 20:45hrs 12/10/2020 You need to be Chemical Ally to say that Tindu Lissu will win the marathon😀Comical Ally fooled...
1 Reactions
0 Replies
482 Views
Nipo very disapointed na uteuzi wa CCM, Kawe, CCM imempeleka mtu asiejiheshimu yeye binafsi, asiyeheshimu wengine, asiyeheshimu viongozi wa juu wa kidini na wala asieheshimu dini za wengine...
14 Reactions
62 Replies
4K Views
Mimi ni mmoja kati ya wale wachache ambao tulikuwa tunafikiri TUNDU LISSU SIO PRESIDENTIAL MATERIAL KAMA AMBAVYP TULIFIKIRI JPM SIO PRESIDENTIAL MATERIAL. Baada ya kufuatilia kauli na mwenendo wa...
36 Reactions
49 Replies
5K Views
Kwa mfululizo wa vitendo vinavyotoa sauti, kuonwa na kusikika na kila mmoja na mfululizo wa takwimu zilizoshiba alizozifanya Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa miaka mitano tu ya uongozi wake...
0 Reactions
29 Replies
2K Views
Kwa miaka mitano watanzania wamekuwa wakiumia moyoni,hawana pa kusema shida zao. Miaka mitano mzunguko wa fedha umesinyaa,hakuna aliyediriki kusema,umekuja wewe umeongea mengi,ya kuwasaidia...
9 Reactions
25 Replies
2K Views
Kwa bahati nzuri niliisoma mipango ya Mgombea Urais wa Chadema 2015 kupitia machapisho yake na nimemsikiliza Tundu Lisu katika mikutano yake ya kampeni. Japo Lowassa alikuwa haongei sana lakini...
9 Reactions
86 Replies
6K Views
Tazama nalikuwa usingizini naam usingizi wa maono. Tazama malaika muona vionwa akanijia na kunichukua mpaka uwanda wa juu wa nchi. Akaniambia tazama, nami nikawaona wanaume wa nchi wenye nguvu...
0 Reactions
0 Replies
524 Views
CCM kinajua kuwa siyo rahisi kushinda kwa sanduku la kura, sasa wapo tayari kwa lolote ilimradi warudi Ikulu upinzani wapende wasipende. CCM kinajua kina Madudu mengi hasa kwenye miradi hasa...
23 Reactions
78 Replies
5K Views
Na. Egla Mamoto Wakati Serikali Ya Awamu ya Tano Ya Rais Dr.John Pombe Joseph Magufuli ikilaumiwa na Baadhi ya wapotoshaji eti imejikita katika ujenzi wa Uchumi wa Vitu Badala ya Uchumi wa watu...
0 Reactions
23 Replies
1K Views
Na Thadei Ole Mushi Kuna siku niliwaambia wenzetu huko nje wakiona wamepata kiongozi mwenye maono huwa hawamwachii kwa haraka. Niliwahi kuwaambia kuwa Urusi wao kwa kutambua Mchango wa Putin...
5 Reactions
40 Replies
3K Views
Leo eneo la Kinyerezi kwenye kampeni za Mgombea Urais kupitia Chama cha Mapinduzi ambaye ndie Rais Mtarajiwa hilo halina ubishi, Kumbilamoto amemuomba msamaha Dkt. Magufuli kuwa walifanya makosa...
10 Reactions
85 Replies
9K Views
Kwanini ninafikiri Tundu Lissu anatosha zaidi ya Magufuli? Kuna watu ambao wanasema kwamba KURA ya MTU ni siri.Pamoja na hayo ni lazima niweke rekodi sawa sawa ili kila mtu atambue kwamba...
51 Reactions
63 Replies
8K Views
Ratiba rasmi ya NEC toleo la 5 la Octoba 2 mwaka huu, inaonesha namna wagombea wa vyama vyote sehemu wanazotakiwa kuwepo kwenye mikutano rasmi ya kampeni. Lakini kumekuwepo na ukiukwaji mkubwa wa...
10 Reactions
14 Replies
2K Views
Mimi ni muumini wa usawa kwenye uchaguzi. Tumeshuhudia huko duniani mamlaka zikiingia kwenye uchaguzi mkuu huku wakijitahidi kuweka usawa. Kwa Tanzania mwaka huu tumefeli na tunajichafua...
27 Reactions
58 Replies
5K Views
Mapokezi anayopata Tundu lissu kila mahali anakopita ni ishara ya watu kuchoka na watu wamechoka kweli kweli wala siyo utani. √ Vijana wanalia na ukosefu wa ajira √ Watumishi wanalia na nyongeza...
64 Reactions
158 Replies
11K Views
“Nimepanda mabasi ya mwendokasi UDART kwa mara ya kwanza. Hapa nimekutana na Dada Rachel ambaye ananipa uzoefu wake wa usafiri huu. Naelekea Kariakoo”.
44 Reactions
192 Replies
16K Views
Leo Oktoba 07, 2020 Mgombea urais wa JMT Tundu Lissu amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Marekani Nchini Tanzania Bwana Ambassador Donald J. Wright. Balozi wa Marekani nchini Tanzania...
77 Reactions
269 Replies
23K Views
Ni wazi CCM mpya inatumia uharamia kushinda nafasi za ubunge na udiwani katika Kanda za Mashariki, Kusini, Kaskazini na visiwani kwa kujua wazi hawawezi kushinda kwenye box la kura. Kanda ya ziwa...
2 Reactions
34 Replies
2K Views
Kada ya watumishi ndiyo injini inayoendesha na kutekeleza kazi za serikali. Wanasiasa wote hata wanapojibu vizuri maswala mbalimbali basi majibu wanayatoa kwa watumishi wa Umma. Watumishi wana...
8 Reactions
20 Replies
3K Views
Yaani sijajua how come Serikali inaanza kuuza dawa yaani inafungua maduka ya kuuza dawa. Badala wajikite kuweka mifumo bora ya afya ikiwemo Bima wao wanakimbilia kuanzisha maduka ya kuuza dawa...
6 Reactions
36 Replies
2K Views
Back
Top Bottom