Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Hata kama hawatapata kura za kutosha naomba tume na Magufuli tumieni hekima yenu ili wabunge wagombea wafuatao kutoka vyama vya upinzani warudi bungeni. Hili litasababisha nchi yetu kuchangamka...
5 Reactions
84 Replies
7K Views
Jumla ya Makundi 16 ya waangalizi wa nje wapewa fursa na vibali vya kufuatilia mwenendo wa shughuli ya uchaguzi Tanzania huku asasi za kiraia na taasisi 97 za ndani pia zikipata nafasi hiyo...
4 Reactions
76 Replies
8K Views
Ni muda Sasa NEC kupitia picha na video kurudia rudia mafuriko na mikutano ya Lissu kusoma alama za nyakati. Mikutano ambayo haipewi matangazo ya kutosha, mikutano isiyorushwa live, mikutano...
21 Reactions
69 Replies
7K Views
Toka kampeni imeanza hawakuzungumzia wala kufuatilia wanayo yafanya Mawaziri, Wakuu wa Wilaya na Wakuu wa Mikoa, hawa watendaji wamefanya mengi sana wengine wamejihusisha nakuwaagiza wananchi...
0 Reactions
3 Replies
890 Views
Jimbo la Kawe limekuwa likiongozwa na CHADEMA kwa zaidi ya miaka kumi sasa chini ya Mbunge Halima Mdee. Ki ukweli pasi na shaka yoyote sijaona juhudi zozote za Mbunge kupeleka hoja yoyote Bungeni...
2 Reactions
25 Replies
3K Views
TUTAWAHUDUMIA WAZEE WALIOLITUMIKIA TAIFA LETU" PROF. LIPUMBA" TANGA-KOROGWE VIJIJINI Tutaweka utaratibu wa kitaifa wa hifadhi ya wazee itakayohusisha jamii nzima kuwalea wazee wetu ambao wengi...
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Wana Jamvi, Kipindi ndio hiki, wakati ndio huu. Kama umelewa mchuzi wa Magufuli basi bado huja dondoka ila kama umelewa mchuzi wa Tundu Lissu basi amini usiamini ameanza kupigwa changa la macho...
0 Reactions
52 Replies
5K Views
Kampeni ya kutaka Rais ni aina ya uchochezi dhidi ya Rais aliyeko madarakani, huu ni wakati wagombea wengine wanawashawishi wananchi waachane na aliyeko madarakani wamchague yeye, ukifanya...
9 Reactions
23 Replies
3K Views
NEC watupatie elimu hii sawa sawa. Je, ni kweli kuwa bado nikiwa ndani ya Tanzania lakini nje ya kituo nilichojiandikisha siwezi kupiga kura ya Rais? Kuhusu ubunge hiyo ni sawa, lakini kura ya...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Baadhi ya wanachama wa chama fulani wamekuwa wakijinasibu na hii taarifa ya kupikwa kuwa kama zikipigwa kura au kupendwa kwa chama chao hapo mwanza basi asilimia 95 inawapa ruksa kujitutumua...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wasalaam, Huwa inashangaza kwa mtu msomi mwenye akili timamu anapoamua kwa makusudi kupotosha jambo lenye maslahi kwa umma, ambalo linatambulika vema kwa jamii husika. CCM wameparamia kujibu...
21 Reactions
32 Replies
3K Views
Yule mbunge wa Milele wa Mbeya Mjini, Mh Joseph Mbilinyi ambaye pia aliwahi kufungwa jela kwa kesi ya Kisiasa, leo amefika Kata ya Ilomba kuomba kura zake mwenyewe lakini pia ameomba zingine kwa...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Mwenye macho anatazama mwenyewe na mwenye akili anajua anachokifanya. Nchi lazima iwe imara kwa katiba ,bila katiba nchi inakuwa dhaifu Sana Ni ukweli nchi bado ni dhaifu na ndo maana mtu moja...
14 Reactions
53 Replies
3K Views
Sio siri wafuasi na wanachama wa CHADEMA walijitutumua kuonyesha chama chao kipo hai na hili walilikomalia zaidi pale Lissu aliporejea toka Ubelgiji na kisha kuteuliwa kuwa mgombea urais kwa...
12 Reactions
51 Replies
4K Views
Waziri Mkuu Kasim Kajaliwa amebomoa Ngome ya Mwenyekiti wa Chadema Taifa na Mbunge anaye maliza muda wake Freeman Mbowe kwa kusema hai ilikosa Mbunge kwa muda wa miaka kumi na tano. Ameyasema...
8 Reactions
67 Replies
8K Views
Suala la mawakala ni muhimu Sana kwa vyama vya upinzani. Toeni elimu kwa mawakala wenu na ikibidi wachagueni walio watiifu na waadilifu kufanya shughuli ya kusimamia kura zenu. Kila Mara vyesi...
1 Reactions
2 Replies
651 Views
Mara kwa mara watu binafsi, taasisi za dini na za kiraia na viongozi wetu wa kisiasa wanekuwa wakituasa watanzania kuwa wazalendo kwa nchi yetu, japo wengi waneshindwa kutofautisha kati ya nchi na...
0 Reactions
2 Replies
551 Views
Kwenye nchi nyingi kuelekea kipindi cha uchaguzi, siku ya uchaguzi na hata baada ya uchaguzi kuna mambo mengi hutokea. Mojawapo ya mambo hayo ni mashambulizi/udukuzi ya mifumo ya teknolojia ya...
0 Reactions
0 Replies
597 Views
KAWE INA HESHIMA TAYARI, INAHITAJI MAENDELEO Je, ni kweli Kawe inahitaji heshima? Jimbo la Kawe ni moja kati ya majimbo muhimu sana hapa Dar es Salaam. Kule Masaki na Oysterbay wanakaa watu...
6 Reactions
85 Replies
6K Views
Leo Tarehe 09/10/2020 Mheshimiwa Boniface Jacob* anatarajia kuendeleza Kampeni zake za Ubunge Jimbo la Ubungo katika Kata ya Ubungo. Muda ni Kuanzia Saa 8:00 Mchana, Mtaa wa* *Ubungo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Back
Top Bottom