Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Wakati wa Mkutano Mkuu wa CCM pale Chimwaga, Dodoma, wakati wa kupiga kura za kumteua mgombea wa Urais kupitia chama hicho kwa Uchaguzi Mkuu wa 2005, baadhi ya wajumbe waliokuwapo kwenye Ukumbi wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
ITV imeripoti ya kuwa mgombea ubunge wa NCCR MAgeuzi ambaye alipitwa kaw kura takribani elfu moja na yule wa ccm aliingia mitini baada ya majumlisho ya pili ya kura na hivyo kugoma kusaini...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
WanaJF leo katika kufuatalia matangazo ya kuapishwa Raisi wa Zanzibar nimeona jamaa yetu Komandoo hali yake si shwari! Sijui ni nini kinamsibu komandoo wa watu.
0 Reactions
9 Replies
3K Views
By Charles Onyango-Obbo Send Cancel Bottom of Form Posted Monday, November 1 2010 at 12:33 The votes in Tanzania’s October 31 election were counted well before the vote, according to critics...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Baada ya Dkt Shein kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar leo, Tanzania kwa sasa haina Makamu wa Rais! Hapa Katiba haijavunjwa wandugu? Tujadili!
0 Reactions
47 Replies
5K Views
Tutamkosa bungeni manake amegombea urais na kufanikiwa kuongeza idadi ya wabunge wa chama. Swali ni je,atakuwa buisy akifanya nini? 1. Kutafuta mabomu na kuwapatia Waheshimiwa Lissu na Mnyika...
0 Reactions
62 Replies
6K Views
Ningependa kufahamishwa njia inayotumika kumpata Kiongozi wa upinzani Bungeni. (Ni kwa upinzani wenye viti vingi au vyama vya upinzani vyenye viti bungeni vinaweza ungana na kumchagua kiongozi wao?)
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Jamani maandalizi ya wizi wa kura yanaanzia mbali. Labda ndiyo sababu CCM huwa wanajitapa kuwa mbinu zao ni za kisayansi. Gazeti la THE CITIZEN la Ijumaa, tarehe 29/10/2010 lilichapisha takwimu...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
"No.6 Joseph Mbilinyi a.k.a Mr.2 Sugu asieogopa kuongea ukweli popote hata kama kuna hatari ya moto na mabomu, Tunahitaji Spirit zaidi za aina hii. Hatimaye muziki wa Tanzania utapata wa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
KUTOKANA NA MATOKEO YALIYOTANGAZWA NA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI JIMBO LA MONDULI FISADI LOWASA AMEPATA KURA 32,362 NA MGOMBEA KWA TIKETI YA CHADEMA AMEPATA KURA BWANA MOLLEL WA CHADEMA AMEPATA KURA...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
kwa nini wakubali kutawaliwa na wasiokwenda shule??? waliekwenda shule wanashinda nje ya Jimbo la Rorya..hii haijaka sawa.
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Mimi ni Mtanzania ninayeipenda nchi yangu. Nimefurahishwa sana na jinsi Mhe Slaa alivyobadilisha mizania ya kisiasa Tanzania. Hata hivyo siridhiki na baadhi ya mambo. 1. Ushauri uliotolewa wa...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Heshima kwenu wanajamvi, Jana usiku nilikuwa natazama BBC,Skynews na Aljazeera vyote kwa pamoja vimeipa umuhimu wa juu kabisa ushindi wa Mheshimiwa Salum Bar'wani mbunge mteule wa Lindi mjini...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kwa matokeo haya Tanzania must draft its own meaning of democracy and not the one that says power in the hands of the people
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kura za udiwani ubunge ni rahisi sana kuzilinda kuliko za urais. Diwani akisha tangazwa mshindi basi husahau ulinzi wa kura za ubunge. Naye mbunge akisha tangazwa mbunge husahau ulinzi wa kura...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Hii ni poll ya upesi upesi kujua mwelekeo wa fikra za watu. Je Utakubali matokeo ya Urais pale NEC itakapoamua kuyatangaza? a) Hapana - Sitakubali matokeo yoyote b) Hapana - Kama CCM itatangazwa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
TBC1 imeripoti sasa hivi ya kuwa aliyekuwa Mbunge wa Lindi Mjini Mheshimiwa Mohamed Abdul Aziz na ambaye bado ni Mkuu wa Mkoa wa Iringa alinusurika kipigo cha raia wenye hasira kali baada ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Ndugu wanajamiiforums nina maoni yafuatayo kuhusu uchaguzi wa 2015: 1) CCM wamechakachua matokeo ktk majimbo ambayo CHADEMA ilishinda km TARIME, KIBAHA, S'WANGA, SEGEREA, K'MBONI, SHY nk. Sasa...
0 Reactions
56 Replies
5K Views
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu. Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi. Na sasa JK anatambulika kama nani...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Katika vurugu zilizo tapakaa mji wa mbeya sasa ivi. Shule xa wasichana Loleza imechomwa moto. Mji mzima umechafuka vikosi vyote vya usalama vya mwagwa mitaan
0 Reactions
32 Replies
6K Views
Back
Top Bottom