Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Jamani wana JF imekuwa muda mrefu sana sijasikia matokeo ya mpanda kati,ambapo makamu mnyekiti wa Chadema alikuwa anatetea kiti chake.Mwenye taarifa atujuze,ili tujue hali ya mpiganaji wetu!!!
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kama ilivyokuwa katika chaguzi tatu zilizopita, katika uchaguzi huu CUF ilikuwa imeshinda. Habari zinasema kuwa Maalim Seif alikuwa amepata 54%. Wapenzi wa CUF kama kawaida yao walianza...
0 Reactions
50 Replies
5K Views
Wadau, nauliza: Jee, hii Tume ya Uchaguzi (NEC) ingekuwa ndiyo imeteuliwa na Mwenyekiti wa Chadamea, badala wa yule wa CCM, jee matokeo ya uchaguzi huu yangekuwaje? Kwa wale ambao wako tayari...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa. Tume ya uchaguzi inataka...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Yaani inasikitisha jinsi software ya uchaguzi ya NEC ilvyojaa wadudu(bugs)!! angalia jinsi wasimamizi kule Kilombero walivyoshindwa kuitumia na mwishowe kuamua kujumlisha matokeo ya vituo kwa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nimekuwa nikifuatilia uchaguzi huu wa TZ kwa karibu, kuna jambo moja sijaelewa, je kama results ni tume tu inasoma i mean za urais, sasa nani anafuatilia kama tally iliyopatikana mkoani au...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwenu Watanzania wenzangu mnaoitakia mema nchi yetu, Kuna maneno ya ushawishi yameanza kuenezwa kupitia kwenye mtandao kwamba Dr. Slaa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo watumie uungwana kwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hii haikubaliki nasema kama noma na iwe noma Matokeo Tunduru Kaskazini Kikwete amepata kura 22,261 Slaa amepata kura 1,965 Lipumba amepata kura 12,935
0 Reactions
31 Replies
3K Views
KAMA KURA ZIMECHAKACHULIWA MBONA KWENYE MAJIMBO AMBAYO WANANCHI WAKE WANAUCHU WA MAENDELEO WAMEING'OA CCM? mimi nasema sidanganyiiikiiii
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Mwananchi Election Editions
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wapigakura wanaghadhabu nchi nzima na hawaafiki na kile kinachoendelea na hususani sehemu ambazo CCM imefanya vibaya matokeo kucheleweshwa kusomwa au kugeuzwa ili kuibeba CCM............ Haya ni...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wananchi, hasa wapenda mabadiliko wamezunguka majengo ya halmashauri wanasubiri matokeo rasmi kwa hamu. Mgombea wa ccm (blandes) alitoweka eneo hilo tangu jana jioni.
0 Reactions
121 Replies
14K Views
Website ya Bunge iko makini. Si kama ya NEC. NEC wanachojua kuchakachua 2.
0 Reactions
2 Replies
994 Views
Buchosa - charles john dr tizeba (ccm); kiteto - benedict ngalama ole nangoro (ccm)
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuwapatia CCM wakati mwingine wa utawala hakika ni kutowatendea haki watanzania, wana nini cha ziada kwa ajili ya watanzaniaaaaaaa??????????
0 Reactions
0 Replies
899 Views
Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wageni ndio wanaingia. Ni Shamrashamra, nderemo na vifijo kwa Wana Zanzibar.
0 Reactions
22 Replies
5K Views
  • Closed
Hali ya jiji la Mwanza kwasasa si shwari kama wengi wanavyodhani, kwani imeonekana kama majimbo yote ya mjini yameweza kuchukuliwa na upinzani basi hata mapinduzi yanaweza kufanywa. Ulinzi...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimepigiwa simu na mdogo wangu, amenitaarifu baada ya kuchakachua as ussual CCm wameshinda jimbo la karagwe. UNFAIR.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
wanaJF mwenye taarifa za mshindi wa kiti cha ubunge jimbo la Ilala anijuze tafadhali
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom