Jamani wana JF imekuwa muda mrefu sana sijasikia matokeo ya mpanda kati,ambapo makamu mnyekiti wa Chadema alikuwa anatetea kiti chake.Mwenye taarifa atujuze,ili tujue hali ya mpiganaji wetu!!!
Kama ilivyokuwa katika chaguzi tatu zilizopita, katika uchaguzi huu CUF ilikuwa imeshinda. Habari zinasema kuwa Maalim Seif alikuwa amepata 54%. Wapenzi wa CUF kama kawaida yao walianza...
Wadau, nauliza:
Jee, hii Tume ya Uchaguzi (NEC) ingekuwa ndiyo imeteuliwa na Mwenyekiti wa Chadamea, badala wa yule wa CCM, jee matokeo ya uchaguzi huu yangekuwaje?
Kwa wale ambao wako tayari...
Ninamshukuru Mungu sana maana yeye si mtu hata aseme uongo. Kwa jinsi ya kibinadamu macho yangu na ufahamu unaona yafuatayo katika matokeo yanayoendelea kutolewa.
Tume ya uchaguzi inataka...
Yaani inasikitisha jinsi software ya uchaguzi ya NEC ilvyojaa wadudu(bugs)!! angalia jinsi wasimamizi kule Kilombero walivyoshindwa kuitumia na mwishowe kuamua kujumlisha matokeo ya vituo kwa...
Nimekuwa nikifuatilia uchaguzi huu wa TZ kwa karibu, kuna jambo moja sijaelewa, je kama results ni tume tu inasoma i mean za urais, sasa nani anafuatilia kama tally iliyopatikana mkoani au...
Kwenu Watanzania wenzangu mnaoitakia mema nchi yetu,
Kuna maneno ya ushawishi yameanza kuenezwa kupitia kwenye mtandao kwamba Dr. Slaa na Chama cha Demokrasia na Maendeleo watumie uungwana kwa...
Wapigakura wanaghadhabu nchi nzima na hawaafiki na kile kinachoendelea na hususani sehemu ambazo CCM imefanya vibaya matokeo kucheleweshwa kusomwa au kugeuzwa ili kuibeba CCM............
Haya ni...
Wananchi, hasa wapenda mabadiliko wamezunguka majengo ya halmashauri wanasubiri matokeo rasmi kwa hamu. Mgombea wa ccm (blandes) alitoweka eneo hilo tangu jana jioni.
Uchaguzi umefanyika na kwa kiasi fulani umetoa matokeo yanayoonyesha wanaharakati nchini wanaendelea kuimarika. Lakini najua hii haikuwa target yetu. Unadhani nini kifanyike ili mapungufu ya sasa...
Hali ya jiji la Mwanza kwasasa si shwari kama wengi wanavyodhani, kwani imeonekana kama majimbo yote ya mjini yameweza kuchukuliwa na upinzani basi hata mapinduzi yanaweza kufanywa.
Ulinzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.