Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

ili kuondoa utata unaojitokeza kati ya idadi ya kura zinazotangazwa na tume na idadi ya kura wagombea wanavyodai kupata. Nashauri badala ya kukaa kimya wagombea ubunge wanaodai kuchakachuliwa...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu sina nia mbaya na chama chetu cha CHADEMA. Nimejaribu kufikiri kwamba,kuna kura zaidi ya 75000, ambazo huenda tungezipoteza hata kama uhesabuji ungekua fair. 1.Dr (Phd) aliahidi kufuta...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
WITO: Kwa jinsi chama tawala kilivyotumia nguvu za dola kugandamiza wananchi kwa kulazimisha matokeo watakayo wao. Na kwa jinsi hali ya usalama wa nchi inavyoendelea kutetereka kila kukicha. Na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Wazazi huwapeleka watoto wao waelimike, wapate maarifa na kuuepuka ujinga. Lakini watoto hao badala yake huwehuka na kutojua wanachokitaka ni nini:sad: HAPO HUANZA KWENDA KWENYE MAWAZO YA WENZI...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Nawashukuru wote mliojitokeza kupiga kura na kukipa chama chetu ushindi wa kukumbukwa, ushindi wa kihistoria mkikaribisha mapambazuko mapya ya uongozi katika taifa letu. Kama ilivyokuwa kwenye...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
Wabodi, Wabunge wateule tayari wameshatinga ndani ya nyumba-mtandao! Unaweza kuwashuhudia http://www.parliament.go.tz/bunge/elected.php Hiki ndicho NEC walitakiwa kukifanya tangu Jumatatu...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hili swala la kuchakachua matokeo waziwazi,ambalo linafanywa na ccm,(chama cha mafisadi)mwisho wake ni nini?Au wao wanafikiria kuwa kila siku ni jumamosi au jumatatu?Watanzania wa leo (2010) siyo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
...jamani siamini masiko yangu....ati CHENGE....a.k.a VISENTI ameshinda BARIADI......hivi wananchi wapo wanaishi huko....au tumeingiliwa....
0 Reactions
0 Replies
796 Views
Sasa Rais wetu JK anakalibia kuapishwa JWTZ HIma Himaaaaaaaaaa...............malizia Mpaka sasa 80%
0 Reactions
3 Replies
1K Views
MISSION: To safeguard democracy and maintain integrity of Electoral System in the country by co-ordinating and supervising voter registration, constituency demacration and election related...
0 Reactions
3 Replies
996 Views
Habari zenu wana JF, Nikiwa kama kijana mpenda maendeleo ya nchi yangu nmekua nikijiuliza maswali mengi sanaa kuhusu nchi yangu na at times nakosa majibu kabisaa.Huwezi kuifikiria tanzania bila...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mbona sipati matokeo ya urais majimbo haya, HAI, MOSHI MJINI, ARUSHA MJINI, KARATU, ILEMELA, NYAMAGANA, BIHARAMULO, KIGOMA, MBEYA MJINI, IRINGA MJINI, UBUNGO, KAWE,BUKOMBE, SINGIDA MASHARIKI...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
DK HARRISON MWAKYEMBE CCM 41,214 2 YUSUF KASANDE CUF 336 3 EDDO MWAMALALA CHADEMA 3,964 Ushindi wake ni wa 90.55 % ni mfano wa kuigwa
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Kuendelea kuikumbatia ccm kulikooneshwa na watanzania licha ya ulaghai wa miaka nenda rudi nimekufananisha na maudhui ya wimbo wa mwanamuziki machachari wa kimarekani eminem unaosema i love the...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Hatimae imefahamika kwamba kumbe ile tuliyokuwa tunaambiwa ni saa ya ukombozi ama ni ya kichina au iliwekwa betri za kichina baada ya kuonekana mwendo wake kusuasua kiasi cha kutishia ule...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Na maandiko yaliyoandikwa ni haya; MENE, MENE, TEKELI, NA PERESI. Na tafsiri ya maneno haya ni hii; MENE, Mungu ameuhesabu ufalme wako na kuukomesha. TEKELI, umepimwa katika mizani nawe...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Tanzania Daima la leo limeripoti matokeo haya ya awali pamoja na utata wa uhalali wake CCM imemgwaya Dr. Slaa kwa mchango wake katika kupanua demokrasia hapa nchini...........
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Hapo tunasubiri matokeo yapi? Wenye kujua nipeni habari?
0 Reactions
0 Replies
964 Views
Kwenye basi nililolipanda leo wakati naenda kazini, nimesikia kuwa upinzani (Chadema) wamepata viti vingi vya ubunge, na baadhi ya wabunge wao ni sawa na 50 wa CCM, kama hivyo ni kweli basi...
0 Reactions
58 Replies
4K Views
KUNA NNINI KARAGWE:cool:
0 Reactions
0 Replies
933 Views
Back
Top Bottom