Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

"Tunatarajia kutoa tamko letu leo kufuatia mwelekeo wa utangazaji wa matokeo ya kura za urais na maoni yetu juu ya yale yaliyojiri kuanzia siku ya Jumapili. Tunashukuru kwa uvumilivu na uelewa...
0 Reactions
49 Replies
6K Views
jamani tangujuzi matokeo hapa yalikuwa tayari bt baada ya kufika ksir george kahama mambo yamebadilika,watu jana walipigwa mabomu wakajeruhiwa lakini mda huu bado watu wamejaa niko hapa tangu jana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba sana wabunge wa upinzani tukatae kurudia kuhesabu kura kwa wale majimbo yao hayajatangazwa, ni hatari sana ni sawa na kushika waya wa umeme bila rubber gloves.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Jamani Wadau vipi kuhusiana na matokea ya Anna Kilango?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Ni kweli mahanga alikamatwa na mabox ya kura..?, kama ni kweli amechukuliwa hatua gani..?, mbona yule aliyekamatwa na karatasi 2 shinyanga amefungwa miaka 3, na vipi aliympatia hiyo karatasi...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
From the attached na NyongezaKibaha Mjini,Segerea,Kilombero mnaweza kuongezea. Sababu kuu ikiwa tofauti ndogo ya kura ikiambatana na uchelweshaji wa kutoa matokeo. Bila kusahau ushaidi wa wale...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
DAUDI Gimbishi (41) mkazi wa Kijiji cha Mwamitumi, Kata ya Ipililo, Wilaya ya Maswa, mkoani Simiyu, jana amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela bila faini kwa kosa la kutaka kupiga kura...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wengi wa wasanii wa Bongo flavour Mnachekesha sana mlipokuwa mkinunuliwa kutumbuiza na kipigia debe CCM wakati mwenzenu Mr II alipokataa kutumiwa na CCM na kwenda kujikita upinzani. Haya naona eti...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
  • Closed
Wana jamii nipeni jibu
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu asiyejua kuwa NEC wanafanya hila kubadilisha matokeo? Ivi kweli unaweza kusema huu ulikuwa uchaguzi huru na kweli Tanzania? NEC wametia aibu Tanzania CCM...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kuna tetesi kuwa karagwe CCM wamechukua jimbo, hii ni baada ya kijina wa CHADEMA aliyekuwa akiongoza kwa tofauti ya kura 500+ kukubali kurudia kuhesabu kura, hii inatokana na Mh. wa zamani (Sr...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Waungwana kwa matokeo yanayoendelea kutolewa na tume, bado ninawasiwasi na watanzania kama kweli wanataka kujenga nyumba bora. Slaa aliahidi kushusha bei ya simenti na bati, lakini kinachoendelea...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Marando yuko sahih, kama mawakala wao wanayo matokeo ya kila kituo, ni rahisi kuyajulisha upya na kutoa tamko. Wasitoe tamko kabla hawajawa na exact figures, wakikuta kuna utata wanaweza kutosaini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakati rais jakaya mrisho kikwete anahojiwa na waandishi wa habari wakati wa kampeni 'live-itv' alisema: "kama kila chama kina mawakala wake vipi kura zinaibiwa?" ukiona hivo ujue hao mawakala...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kuna njia nyingi zinazotumika kuchakachua matokeo na njia mojawapo ni ile ya kubadili masanduku na kisha kutaka kura zihesabiwe upya na njia kuu ni ile ya kubadili takwimu. Nitaongelea njia hii...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nilikuwa najaribu kujiuliza kwanini kuanzia jana mchana mapambano ya kulazimisha ushindi kwa CCM na hasa kuwanyima Chadema ushindi wao hasa katika majimbo ya Segerea, Kigoma Mjini, Karagwe, NGara...
0 Reactions
55 Replies
5K Views
Jamani siyo kweli kuwa Dr. Mary Nagu kaangushwa. Nagu ameshinda tena kwa kura nyingi, ila Rosemary Kamili wa CHADEMA amekataa kusaini fomu za matokeo. Matokeo: Nagu CCM: 38,000 + Kamili...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Katiba ya Tz mparaganyiko wa hali ya juu. Kama JK bado ni raisi wa Tz mpaka leo then akishinda anaapishwa kwa ajili ya nini wakati bado hajautema huo uraisi. Na sasa JK anatambulika kama nani...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa utaratibu wa kawaida miaka yote huwa naona kabla ya uchaguzi mkuu kufanyika huwa rais wa jamhuri anatangaza kuvunja baraza la mawaziri na makatibu wakuu wanakaimu kwa muda mfupi. Lakini mwaka...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Back
Top Bottom