Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Chadema wanamuogopa Tundu Lisu hadi Maaskofu na Mashehe wanashangaa kulikoni Huu uoga wa Chadema dhidi ya Mwanachama mwenzao tena Kiongozi unatoka wapi? Kuna Siri gani? Nimekaa pale 🐼
6 Reactions
38 Replies
875 Views
The difference is clear. Baada ya kutangaza nia kinachofuata ni kutafuta kura kwa wajumbe, kutangaza sera zako wajumbe wazipime, tofauti na hapo utaonekana kama mpiga kelele. As a result...
19 Reactions
240 Replies
3K Views
𝗠𝗷𝘂𝗺𝗯𝗲 𝘄𝗮 𝗛𝗮𝗹𝗺𝗮𝘀𝗵𝗮𝘂𝗿𝗶 𝗞𝘂𝘂 𝘆𝗮 𝗖𝗵𝗮𝗺𝗮 𝗖𝗵𝗮 𝗠𝗮𝗽𝗶𝗻𝗱𝘂𝘇𝗶 (𝗖𝗖𝗠) 𝗧𝗮𝗶𝗳𝗮 (𝗠𝗡𝗘𝗖), 𝗥𝗶𝗰𝗵𝗮𝗿𝗱 𝗞𝗮𝘀𝗲𝘀𝗲𝗹𝗮, 𝗮𝗺𝗲𝘀𝗲𝗺𝗮 𝗸𝘂𝘄𝗮 𝗠𝗯𝘂𝗻𝗴𝗲 𝗮𝘂 𝗗𝗶𝘄𝗮𝗻𝗶 𝗮𝘁𝗮𝗸𝗮𝘆𝗲𝘀𝗵𝗶𝗻𝗱𝘄𝗮 𝗸𝘂𝘁𝗲𝘁𝗲𝗮 𝗻𝗮𝗳𝗮𝘀𝗶 𝘆𝗮𝗸𝗲 𝗮𝗷𝗶𝗹𝗮𝘂𝗺𝘂 𝗺𝘄𝗲𝗻𝘆𝗲𝘄𝗲, 𝗸𝘄𝗮𝗻𝗶 𝗥𝗮𝗶𝘀 𝗮𝗺𝗲𝗳𝗮𝗻𝘆𝗮 𝗺𝗮𝗺𝗯𝗼...
0 Reactions
0 Replies
144 Views
Kwa jicho la kawaida , bila matumizi ya akili nyingi, ni wazi kabisa itakuwa heri endapo Lisu ataibuka mshindi dhidi ya Mbowe katika kuwania kiti cha uenyekiti CHADEMA TAIFA. Ni kwa nini? Mosi...
4 Reactions
19 Replies
645 Views
𝐋𝐈𝐒𝐒𝐔 𝐀𝐊𝐈𝐑𝐈 𝐂𝐇𝐀𝐃𝐄𝐌𝐀 𝐊𝐔𝐏𝐎𝐓𝐄𝐙𝐀 𝐌𝐀𝐄𝐋𝐅𝐔 𝐘𝐀 𝐖𝐀𝐍𝐀𝐂𝐇𝐀𝐌𝐀 𝐊𝐖𝐀 𝐌𝐏𝐈𝐆𝐎. Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameonesha mfadhaiko mkubwa, baada ya kukiri hadharani kuwa chama chake kimepoteza zaidi ya...
1 Reactions
11 Replies
726 Views
Wakuu, Kupe wanapamba moto dakika za lala salama, huku Lugumi kule Samia! Mkurugenzi wa Shirika la Reli Tanzania (TRC), Masanja Kadogosa, amesema kuwa ni haki kwa Watanzania kumwombea Rais...
2 Reactions
13 Replies
454 Views
Wakuu, Rais Samia Suluhu Hassan amechangia Shilingi Milioni 35 kwa ajili ya kusaidia ujenzi wa kanisa la Mtakatifu Petro la Anglikana Dayosisi ya Kusini Magharibi Tanganyika lililopo katika...
1 Reactions
3 Replies
214 Views
Imeandikwa na: Adv Tito Magoti Niliweka wazi kwamba ninamuunga mkono Tundu Antiphas Mughwai Lissu katika safari yake ya kuwania nafasi ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo...
9 Reactions
20 Replies
1K Views
Wakili wa Kujitegemea nchii, Peter Madeleka, amesema Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Freeman Mbowe, amefikia mwisho wa mchango wake katika siasa za mageuzi na hana...
2 Reactions
6 Replies
375 Views
Wakili msomi Peter Madeleka afunguka mambo mazito kuhusu uchaguzi wa ndani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unatarajiwa kufanyika Januari 2025. "Wako watu ambao wanasema, na sidhani...
7 Reactions
32 Replies
1K Views
Ingewezekana Mkutano Mkuu wa Chama chetu utakaofanyika Mwezi January utoke na jina la Mgombea Urais na pia utoe mamlaka kwa Kamati Kuu/Baraza Kuu kutafuta mgombea mwenza na kumthibitisha kwa niaba...
12 Reactions
45 Replies
1K Views
Kumekucha ila ngoja tuone Miamba hii miwili ya CHADEMA itakavyomenyana mbele ya Wananchi, Tuendelee kumwomba Mungu ili sote tufike salama 2025. ==== Mdahalo wa wagombea uenyekiti Chadema Taifa...
9 Reactions
103 Replies
4K Views
Mbunge wa Jimbo la Busokelo, Mhe. Atupele Mwakibete, amechangia mchango wa shilingi Milioni 10 kw ajili ya ujenzi wa Ofisi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika jimbo la Busokelo. "Hii ni kutokana...
0 Reactions
0 Replies
139 Views
Propaganda ni mbinu ya mawasiliano inayolenga kushawishi watu kuamini, kukubaliana, au kutenda kwa namna fulani kwa kutumia taarifa zilizochaguliwa, zilizopotoshwa, au zenye mwelekeo wa upande...
2 Reactions
5 Replies
306 Views
Ni kweli Tundu Lissu ameshatia nia lakini kwa mujibu wa mjumbe wa CC, Yeriko Nyerere ni kwamba Tundu Lissu hana sifa za kuwa Rais wa JMT na hata 2020 walimteua kimakosa Nimeona tuwekane sawa...
10 Reactions
72 Replies
1K Views
Maria space imemuharibia LISSU kisiasa. 1. Uenyekiti CHADEMA ni wazi uko mbali na yeye. 2. Akihamia chama chengine kama Chauma uwezekano wa chama hicho kuwekewa biti na kujikuta LISSU anayumba...
6 Reactions
31 Replies
1K Views
Wakuu, Baadhi ya Wajumbe wa Sekretarieti ya CCM Halmashauri ya Wilaya ya Monduli Mkoani Arusha wameungana kumkataa Katibu wa Wilaya wa Chama hicho Rukia Omary kwa kile walichokidai kuwa kiongozi...
1 Reactions
1 Replies
221 Views
Muungwana haaminiki tena, Idadi ya waliokua wakifuatilia siasa zake imeshuka na hakuna mtu anae mtilia maanani tena. Wanampuuza tu na kumuona kama mtu mwenye chuki moyoni alizokua nazo tangu...
5 Reactions
161 Replies
3K Views
Rais Samia ameyasema hayo akiwaapisha Mawaziri, amesema kuwa Wizara ya Habari ni muhimu sana katika utekelezaji wa ile falsafa yetu ya R4, uhuru wa habari lazima uendelee kusimamiwa kikamilifu...
2 Reactions
56 Replies
3K Views
"Unaposema leo kuwa Lissu hafai, mtu mliyemuamini nyinyi (CHADEMA) wenyewe, kama Lissu hafai basi CHADEMA haifai. Kama Tundu Lissu wanamuona hafai kuwa Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, CHADEMA haifai...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Back
Top Bottom