Habari wakuu.
Nauza Tank langu KIBOKO LITA ELFU 3. Bado jipya tangu ninunue Lina miezi 7 nahofia kuibiwa maana mlinzi WA site hatulii kazini nahofia hasara mara mbili Bora nipate hasara moja ya...
Habari wakuu,
Nauza mizani used ni nzito haina kipengele ina mawe yote
Imethibitishwa na wakala wa vipimo Tanzania
Ipo wilaya ya Hai
110k tu
0718569091
Habari Wanajamvi!
Wacha niende Moja kwa Moja kwenye Maada yangu.
Nina shida ya kifedha, hivyo nalazimika kuuza friji yangu aina ya frigo.
Glass(650Ltrs)nimeitumia miezi mitano tu, kwamaana...
MIZANI YA KUPIMIA MADINI ZINAPATIKANA
TUPO DAR ES SALAAM, tunadeliver bure Dar es Salaam.
Bei ya OFA Tshs. 50,000 badala ya Tshs. 60,000 (Tunadeliver Bure Dar es Salaam)
Pia tunauza kwa bei ya...
Nauza piki piki ya watoto Electric quadbike 4×4
Inatumia betri ya kuchaji na umeme,(12v)
Music system (USB,memory card,aux,children songs and tales)
Inafaa watoto wenye umri miaka 3-10
Price...
Habari za leo.
Mashine seti nzima ya kutengeneza vijiti vya meno (toothpick) na vya kuchomea nyama(skewers) inapatikana.
Zimetumika kwa miezi michache.
Zipo Bagamoyo karibu na shule ya Baobab...
Dunia inarahisisha mambo!
Sasa unaweza pika chakula chochote Kwa haraka na gharama nafuu sana kuitumia pressure cooker ya kisasa.
Pika Maharage, mboga na nyama aina zote Kwa haraka na gharama...
Nauza hio pikipiki bei ya kutupa (ukita kadi isome majina yako ni ndani ya saa 24 tayari kadi inasoma majina yako)
Imetumika kwa matumizi binafsi haijafanya kazi ya boda boda
Bado haijaguswa na...
Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa bei ya Tshs 110,000
Nimeitumia kwa muda wa miezi 3 tu bado ina upya wake na boksi lake pia bado lipo
Haina tatizo la aina yoyote na haijawahi kwenda kwa...
Nauza Subwoofer aina ya mrUk UK21T23 kwa Tshs 140,000
Subwoofer hii nimeitumia kwa muda wa miezi mitatu tu hivyo bado ina upya wake na haina tatizo la aina yoyote na boksi lake pia lipo
Mziki ni...
Jipatie spy camera uweze kurekodi
matukio na ukaona kupitia simu yako
Camera ina sifa zifuatazo
Unaweza ukaunganisha camera na wifi ya simu yako ukaona kinachoedelea live kabisa
Au ukaweka...
3000mAh Battery life (24 hours)
Up to 10 devices
200metres
Can also be flashed to be used for ALL NETWORKS (Not recommended)
In a mint Condition
.
Price: TZS. 70,000/=
.
Call: 0717 650800
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.