Habari,
Nauza Kabati la nguo, tv stand, sofa na subwoofer
Kabati la nguo 120000
Tv stand 30000
Sofa 40000
Subwoofer 40000
Vitu vipo mwananyamala biashara complex
Nipigie +255719073206
Note...
Karibu tukupatie VFD kwa bei ya punguzo kwa mwezi huu wa kwanza (January 2023).
Bei ya kawaida ni 300,000/= ila kwa mwezi huu wa kwanza tutakuuzia 280,000/=
VFD ni mfumo unaokuwezesha kutoa...
Ni router inayotumia single sim card ya Halotel, ipo na box lake ila imetumika kidogo
Bei Tsh 40000
Location: Mwanza
Charger haina, ila inatumia charger ya simu
Halotel wanasema kifaa hiki kina...
Knauzwa milioni 18 maongezi yapo, ipo Morogoro mjini, Kilakala.
Mawasiliano: 0627518825. Imetumika misimu miwili.
Sent from my OPPO A57 using JamiiForums mobile app
LAPTOP : DELL INAUZWA IPO. MOSHI MJINI MAENEO YA KCMC CHUONI , MAPIPA ROAD.....INA RAM 8GB , ROM 1 TB SYSTEM TYPE NI 64 bit , ..INATUMIA WINDOW 10 Pro...
Bei LAKI 9. CHARGE HOURS 6 HRS...
Kwa yeyote mwenye kuhitaji Fridge yenye nafasi kubwa ya kuweka vitu na uwezo mkubwa wa kuhifadhi vitu kwa matumizi nafuu ya umeme basi anitafute kupitia namba hii
0673 17 5000
Bei yake ni Tsh...
HABARI, NAUZA VITU VYANGU VYOTE NI VIPYA KWA TSHS. 3.5M, CAMERA MPYA YA CANON 90D, LENS, U-GRIP PRO GIMBAL, REFLECTOR KUBWA, MEMORY CARD PAMOJA STAND YA CAMERA. VIMEFANYA KAZ MOJA TU. KWA...
Tunauza asali mbichi kutoka Tabora
Asali yetu ni original kabisa haijachakachuliwa hata kidogo
Kuthibitisha hilo unaruhusiwa kutest mpaka ukijiridhishe ndipo unafanya malipo
Kwawale ambao...
Ipo sokoni bei 100k (mazungumzo yapo) ni used ila still kama mpya.. kila kitu chake kipo router yenyewe, power cable pamoja na ethernet cable.
Location: Mwanza Buzuruga.
Mawasiliano: 0767 744 254
Ilinunuliwa February, 2019, mwezi September, 2019 ikapata ajali. Tangu ipate ajali hakuna matengenezo yoyote yaliyofanyika, kwa muda wote huo ipo ndani.
Ina nyaraka halali.
Inapatikana Dsm.
Njoo...
Haya hii ni kwa Content Creators najua hizi mic huwa Mnazipata kwa shida sasa nimewaletea kwa 29,900/- tu. Sauti nzuri; hutolazimika kuwa karibu na simu ili inase sauti maana mic hii itakunasia...
•Taa zinamwanga wa kutosha ni auto usiku zinawaka zenyewe
•mikoani tunatuma kwa uaminifu
•unaweza kufunga nje ya nyumba au kwenye fensi
•namba ya simu ni 0658554720
Karibuni
OFISI YA MOVIE inauzwa ni Computer
Desktop Core i5 (4th Gen)
Brand HP
STORAGE 20TB
RAM 12GB
MONITOR 17INCH (DELL)
KEYBOARD
MOUSE
ina Movie zote za kutafsiriwa hii ilikua ni ofisi ya kumpa mtu...
Mwenye uhitaji wa king'amuzi cha Canal plus anicheck
Bei full set ni Tsh.135,000
Kununua kifurushi kwa mwezi Tsh.50,000
Kinaonesha League za
-UEFA
-UEROPA
-PRIMER LEAGUE
-BUNDASLIGA
-SPAIN...
Habari wadau nauza maharage mapya mazuri ya njano kwa bei ya jumla.
kilo moja nauza shilingi 2500.
Mzigo upo tani 2 na nusu asante.
Tuwasiliane kwa namba ya simu
+255789740368
*Whatsapp/Call 0719668825
* Kimara Baruti, DSM
*Bei ni Tsh 90,000/=
Stendi kwa ajili ya simu/tablets, inasaidia kwa shughuli mbalimbali ikiwemo:- kuangalia movies,kurecord videos, kucheza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.