Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Wakuu salaam Kama ambavyo tangazo linajieleza,nyumba hii inauzwa bado haijakamika IPO kwenye lenta ,nyumba IPO Bunju B(Mugemuzi) pale sokoni unapandisha juu kidogo ni kama 1.5km toka barabarani...
0 Reactions
8 Replies
5K Views
Nyumba mbili mpya za kisasa vyumba vinne kimoja master jiko sebule na store room..ukubwa wa eneo ni 25*30 viwanja vime pimwa na vina hati..milango na madirisha ya grill tayari. Nyumba moja ina...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wakuu Asylum Aleku Nauza nyumba ipo mbezi msakuzi dsm Ina vyumba vitatu, 1master, public toilet Ukubwa wa eneo robo heka na zaidi Nyumba ina tiles yote, bati m'south Kuna hati ya makazi...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nyumba ipo Kongowe kibaha ina vyumba 2 kila chumba na choo yake iliyokamilika. Kuna kiwanja kuendeleza ujenzi Bei ni million 15 Bei ndogo kulingana na hali mbaya ya mdololo wa kiuchumi Ukubwa...
0 Reactions
119 Replies
12K Views
Ukubwa wa Kiwanja:sq meter 1200 Ina fensi na getiI kubwa upana meter 4 serv coater ____________________ Master bed rooms: 2 Normal bed room :1 Bafu na choo cha public Jiko la kisasa ndani...
2 Reactions
43 Replies
8K Views
Nyumba ya kisasa yenye ubora wa hali ya juu ipo Mbagala Chamazi kituo cha Magengeni. Nyumba ni mpya ipo karibu na barabara na huduma zote za jamii. Bei yake ni 65 milion. Nyumba ina documents...
1 Reactions
0 Replies
935 Views
Ni nyumba ambayo haijakamilika IPO kilimahewa mwanza,Ipo pembeni mwa bara bara,ina offer bei million 30 .tuwasiliane kwa 0742159555
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Nyumba nzuri,mpya na ya kisasa ipo maeneo ya Mbagala chamazi.Imejengwa ktk ubora wa hali ya juu na ipo karibu na barabara na huduma nyengine za kijamii...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Nyumba ipo boko/ mianzini dare salaam Plot size sqm 1000 Haina title deed Ina vyumba vitatu vya kulala ikiwemo master moja Ina jiko Sebure Na sehemu ya kulia chakula Pia ina tailiz ndani...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
jumla ya vyumba ni vinne ,master Mbili +Sebule+Dining Room+jiko+stoo +tank maji +fensi na Parking Ipo mikadi kigamboni Bei: Tsh. 210 milion (maongezi yapo) Ina hati na nyaraka zote muhimu...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Salaam wadau..nauza nyumba ipo Makumbusho stand kwa nyuma karibu kabisa na hotel ya Mesuma.Ina eneo la kutosha sana.Bei ni Mil.160 maongezi yapo.In hati miliki. Kwa mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
NYUMBA INAUZWA KIGAMBONI.MAGENGENI KWA URASA.UKITOKA FERY NI DK 5 KUTEMBEA KWA MIGUU.INA VYUMBA VINNE(4) VYA KULALA,KIMOJAWAPO NI MASTER.HIVYO VYUMBA VINGINE VITATU VINA-SHARE-(TUMIA) CHOO...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Bestates Properties Contact: 0786157788 inauzwa • TSh milioni 15 • Kigamboni, MuembeMdogo • kilomita 22 kutoka ferry au 2 kutoka Dege Eco Village • iko karibu na barabara ya kuu ya lami...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habarini wanaJF kuna ndugu yangu anahitaji nyumba maeneo ya kimara iwe na vyunba viwili vya kulala,sebule ,jiko na choo luku ya peke yake maji hakiwa ya kushea sio mbaya iwe na fance na parking na...
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Nyumba inauzwa ipo Mabibo Makutano Mita 300 Kutoka N.I.T kuelekea makutano Nyumba ipo kwenye Eneo la mita 45 Ina apartments za kuishi Sita Ina fremu NNE Bei ni 300 million Mazungumo yapo...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Inapatikana tegeta karibu na barabara ya kwenda twiga . . Ina hati.. vyumba vitatu, kimoja master,, sebule kubwa, dining, jiko, public toilet, na uwanja mkubwa nje kama inavyoonekana.. Ipo...
1 Reactions
39 Replies
5K Views
Nyumba inauzwa ipo maeneo ya ubungo maji gari inafika bei in 120,000,000/= dfebad961.jpg[/IMG] Mawasiliano ni 0717698975 0756417990 au 0693300450
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Ipo Goba Matosa umbali wa mita 250 kutoka Barabara ya lami,ina vyumba 3 vya kulala(kimoja master bedroom) dinning,sitting room,jiko,public toilet,Kiwanja kina ukubwa wa 30x22 bei tsh 55m.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nauza nyumba yangu ipo mbagala zakhem ina vyumba viwili, jiko, choo na ipo na fensi ya matofali. Inaumeme pia ina nafasi ya kuongeza vyumba viwili na ipo katika hali nzuri. Gari inafika mpaka...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ina vyumba vinne vya kulala, sebure, jiko na sehemu ya kulia chakula. Kiwanja kina ukubwa wa 1200 sqmts. Bei 160mil. Kwa mawasiliano piga simu number 0784225000
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Back
Top Bottom