Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

*Kiwanja Kizuri Ajabu* Hallo. Kwa anayehitaji kiwanja kizuri sana. Kwenye barabara kubwa ya Mtaa, huitaji hata nguzo ya umeme. Kiwanja kina nguzo tatu za umeme kwenye kona zote tatu...
0 Reactions
5 Replies
928 Views
PureLife Tap Maji safi ni nini? BF Suma PureLife ya Maji inashika nafasi ya 7 kati ya vifaa vyenye ubora na ufanisi wa maji kwa hali ya juu , kifaa ambacho kinaweza kuzuia chembe za 0.1amu na...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
1. SQM 3600 Kipo opposite na Ifisi hospital 120m (Negotiable). 2.SQM 4700 Kipo opposite na Songwe international airport,price 160m (Negotiable). NB; Plots zote zina “Tittle deeds” Zinafaa kwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nauza shamba lenye ukubwa wa ekari 16 njia ya kwenda wilaya ya pangani kata ya kirare kijiji cha kirare shamba halijawahi kulimwa. main road bei maelewano. nitafute 0787913493
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Habari za jumapili wadau,Nauza Shamba lingine ,ekari moja ,Ruvu Kisabi,.liko pembeni ya mto.mazao yanayokubali,Mahindi,mpunga,tikiti maji,bamia ,n.k.pia zuri kwa ufugaji wa Samaki,hakuna haja ya...
3 Reactions
24 Replies
3K Views
Kama wewe ni mkulima njoo nikuuzie shamba kwa ajili ya kilimo cha mboga mboga.. Eneo lipo kalibu na mkondo wa maji panafaa sana kilimo cha umwagiliaji, maji hayakauki.. Ukubwa heka moja. Bei...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
NAUZA SHAMBA LANGU LA EKARI 20 LIPO BUNGU KIBITI NALIUZA KWA BEI YA CHINI KABISA KWANI NINA SHIDA. BEI NI SHILLING MILIONI NNE TU CASH. KATIKA SHAMBA KUNA NANASI KATKA EKARI TANO NA VIBANDA VYA...
6 Reactions
80 Replies
8K Views
viwanja vinauzwa nyamagana kijiji cha luchelele karibu na dolphini lodge viko vitatu mita 16×30, vyote vipo sehemu moja vina hati. bei M6.5 kila kimoja, maelewano yapo simu 0753155934
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja Muungano Barabara ya Mwanza/Singida. ukubwa - Miguu 28 kwa 25 umbali - 2.5 km toka Barabarani Hakijapimwa ila wamehakiki Bei-milioni 1.3 Kama uko interested niPM
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Maahamba ktk sehemu maeneo ya Kibaha Misugusugu, bei milioni 7 kwa hekari moja maongezi yapo, Hekari Mia zinapatikana, karibuni wadau PM kwa maelezo zaidi Kama upo na interest
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Viwanja (Vimepimwa ), Vinaizwa Bunju na Mpinga (Baobab Sec) Kwa Mpinga Kimele vipo viwanja sqm 400 (20/20) kwa Tsh. 5 mil, sqm 600 (20/30) kwa Tsh 7 mil, sqm 800 (20/40) kwa Tsh 9 mil, Viko mbali...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Shamba liko mvuti ni ekari saba ila zinazouzwa ni ekari nne tu ::mvuti dondwe linapakana na magereza ya dondwe kwa upande wa kaskazini na upande wa mashariki linapakana na shamba la kanari...
0 Reactions
2 Replies
804 Views
Jamani nina shida nauza eneo langu likiwa na nyumba ndogo yenye chumba cha kulala sebure na jiko ipo jirani na project ya standard gauge soga project bei ni 2,500,000 eneo kuna makazi ya watu...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Kiwanja kilichopimwa kinauzwa Dege Kigamboni, eneo lipo jirani na mradi mkubwa wa ujenzi wa Dege Eco Village. Kiwanja kipo eneo zuri na kimezungukwa na miundombinu muhimu yote ikiwemo umeme...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Ninauza viwanja 2 vilivyoshikana jumla vina sqm 3614.. Kuna maji ya kisima Dawasco Na umeme wa 3 phase umefika Kinafaa Kwa makazi Shule Guest house/ lodge Kanisa
1 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wadau, Wakuu nauza kiwanja mbezi malamba mawili kina upana wa 20m kwa urefu wa 27 kipo eneo lilichangamka sana, ni umbali wa mita 300 kutoka barabara kubwa mpya ya lami ya kinyerezi mbezi...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Viwanja vipo Kigamboni Mbutu-Mkwajuni. Vimepimwa na vina mawe, Mnunuzi atamalizia kufwatilia Hati (Title Deed) kwa jina lake. Vina ukubwa tofauti tofauti , umeme umefika na panafikika kiurahisi...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
1. Kiwanja Kinauzwa Goba Ukubwa 16M × 16M Bei Tshs 6Milioni 0675107182 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Back
Top Bottom