Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

√ Viwanja Vimepimwa Vina Offer. √ Vina Ukubwa Mbalimbali. Direction: 3Km Kutoka Goba njia nne. Bei : Tsh 25,000/1SquareMeter [emoji767] 0685917621
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Viwanja viwili na.45&47 vinavyofuatana vinauzwa kwa Tshs. 5mln@ na bei inapungua. Mahali:Makutano Ukubwa:MD Eneo:1,800sq.m Karibuni
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Kiwanja Kimepimwa Kina hati. Ukubwa wa Kiwanja ni 3500sqm ( ekari 1 Kasoro ) Kipo Kilomita 2 kutoka Salasala Mwisho wa rami. Bei Tsh 40,000,000/- ( Maelewano yapo ) ((( 0685917621 )))
0 Reactions
0 Replies
966 Views
Nauza viwanja bei poa, vipo eneo panaitwa Nyanguge, ni km 30 kutoka katikakati ya jiji la Mwanza(dakika 20-25) eneo linafaa kwa ujenzi/ufugaji, mita 110, kutoka barabara kuu ya Mwanza-Musoma, cha...
1 Reactions
14 Replies
4K Views
Habari zenu ndugu zangu mabibi na mabwana, matumaini yangu kuwa hamjambo na mnaendelea vizuri kwa uwezo wake aliyejuu. Napenda kuwahabarisha kwamba nauza viwanja vyangu ambavyo vipo kata ya Wazo...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Wakuu kama tangazo linavyojieleza hapo juu nina kiwanja changu nakisukuma kwa bei cheee kipo maeneo ya mbezi msumi kina ukubwa wa 20*23 hatua za miguu ... Njoo pm
0 Reactions
0 Replies
736 Views
Nauza shamba heka 1, lipo Boko Mnemela-Kibaha. Eneo lipo umbali wa 8km kutoka shirika la elimu kibaha na linafaa kwa ujenzi, ufugaji na kilimo. Halipo mbali sana na barabara inayounganisha Kibaha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kwa bei ya kutupwa milioni 6 kina ukubwa wa hatua za miguu 20 kwa 23 hakuna udalali mim ndo mmiliki wa icho kiwanja kipo mbezi msumi jirani na shule ya sekondari mbopo
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa kiko CHANIKA ukubwa: 978 meter squares (Plot No. 142, kilichowekewa Tiki kulia) kiko kabla hujafika CHANIKA MWISHO kimepimwa na ukikinunua tunakuprocessia na hati. Katika picha...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Vimepimwa na hati zake kamili na malipo ya kodi zote,square meter 600 kila kiwanja.Ni pale lile eneo maarufu kama makazi ya wastaafu. Sababu ya kuuza,shida na hela ya kuendeleza project zangu.bei...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau habarini! Nina kiwanja kimepimwa kipo Dodoma eneo linaitwa Swaswa mbele kidogo ya makazi ya Waziri Mkuu na jirani kabisa na inakopita barabara ya kuelekea Airport tarajiwa ya Msalato...
0 Reactions
2 Replies
965 Views
Ndugu mpendwa, husika na kichwa cha habari tajwa hapo juu, ENEO la ziwani hekari 20 linauzwa MWANZA nyanguge uelekeo ni barabara yakwenda musoma ni km 30 kutoka mwanza mjini hadi site, SIFA ZA...
0 Reactions
88 Replies
7K Views
Wasalaam Kiwanja kilichopimwa kinauzwa ,kiko NYEBURU Mita 800 kutoka barabara kuu ya lami kituo cha Italian (ukielekea Chanika upande wa kulia) SIFA ZAKE;kimepimwa kwa uzito wa chin LOW DENSITY...
0 Reactions
0 Replies
764 Views
Ndg Eneo Linauzwa Lipo Kinyerezi Kifuru Mtaa wa Hali ya Hewa Ukubwa wa Eneo 35*25 Lina Hati Miliki na Pia lina nyumba amabayo aijamalizika Eneo halina Mgogoro Bei Milion 17 Mawasiliano...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kwa Mahitaji ya viwanja nicheki Nina kiwanja kipo kinyerezi king'azi bei milioni 3 ukubwa 20×20 Pia mbezi makabe 20×20 bei milioni 6 Kingine kibamba Kiluvya milioni 3.5 ukubwa 20×20 Nicheki...
0 Reactions
1 Replies
966 Views
Viwanja viwili tajwa hapa chini vinauzwa, vyote vina hati miliki vipo karibu na mizani ya zaman ya kibaha for serious buyers pm for price Title 45916 kibaha area sqm...
0 Reactions
15 Replies
1K Views
kiwanja kinauzwa cha ukubwa wa 1734 sqm kipo chanika (ukipanda basi la chanika unashuka kituo kinaitwa Kwa Sadala) kina hati ya umiliki na hakina mgogoro, kiko 300m au pungufu kutoka barabara kuu...
0 Reactions
0 Replies
556 Views
Nauza kiwanja 20×20 kipo Kiluvya kilomita 1 kutoka lami kuu karibu na zahanati ya Kiluvya na shule ya sekondari bei yake milioni 3.5 mazungumzo yapo Mawasilian
0 Reactions
4 Replies
738 Views
Kiwanja chenye ukubwa wa 25 kwa 25 ,kinauzwa , Kiwanja kipo kibamba . Kinaumbari Wa m500 ,kutoka morogoro load , katembea kwa miguu mpaka kilipo ni dk 20 /30. gari inafika bila shida. Umeme...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Wanabodi amani iwe kwenu. Kuna eneo ( Plot) zuri sana liauzwa. Lipo mji wa Kibaigwa Dodoma. 1. Lina ukubwa wa heka 7 2. Lipo pembezoni mwa barabara ya Dodoma-Dar 3. Limepimwa na lina hati miliki...
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Back
Top Bottom