Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Viwanja vipo kibamba,kibaha nk mawasiliano 0717342414/0788492588
1 Reactions
28 Replies
10K Views
Kiwanja kinauzwa Dar es salaam,msasani mil 350 Kimweri Avenue near by Tirdo kinafaa ata kwa yard ya magar Mawasiliano 0657 131366
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Ukubwa: square meter 1500 (30m x 50m) Kimepimwa na kina hati ni mali yangu hakuna udalali Mahali: Kigamboni Cheka karibu na apartments za Sophia simba, ni 29km kutoka Feri Bei ni Tsh 18,000,0000
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Bonde zuri kwa kulima mpunga, mahindi au bustani linauzwa
0 Reactions
4 Replies
751 Views
Kipo pwani.mlandizi.ukubwa wa 20 kwa 20 .na cha ukubwa wa 30 kwa 20.bei milioni mbili na nusu kwa milioni tatu.umbali toka barabarani km 2. Nipo mlandizi msufini karibia na sheli...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kwa wanaohitaji viwanja vya makazi vilivyopimwa..ndani ya eneo lenye huduma na makazi tayari. Eneo linafikika..mtaa unaitwa Leperanya/kwa pius.. Mita 300kutoka kituo cha daladala/soko...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja maeneo ya Bunju Mwisho- Kijiweni Bondeni Kipo eneo zuri tambarare urefu hatua 65 upana hatua 40 Km 4 kamili kutoka barabara ya Bagamoyo Barabara ya kueleweka ipo tayari Maji tayari yapo...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari wakuu, Viwanja vya makazi vyenye ukubwa wa M.40x30 (zingatia hapa nimevipima mimi mwenyewe na havina hati) vinauzwa maeneo ya Kibaha Kwa Mfipa - Simbani, karibu na kituo cha kulelea...
0 Reactions
26 Replies
6K Views
Habari za asubuhi, Eneo Heka 2 linauzwa, imejengwa nyumba ambayo yenye vyumba viwili vya kulala na sebule pamoja na bafu ndani (haijaezekwa). Mahali: Kikongo - km 9 kutoka Mlandizi stand ukiwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu umundani,tunauza Viwanja maeneo ya Mbagala dar es salaam Kata ya chamazi,mbande mipeko kwa Shilingi milioni mbili na nusu(2.5) tu. Na kwa hekari moja ni Shilingi milioni18 tu. Unaweza...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa Dar es salaam. kiwanja kiko Kibaha picha ya ndege. kuna maji na umeme. kina ukubwa wa Acre moja. kingine kiko Chanika Acre moja na robo. Bei maelewano kwa mawasiliano tafadhali...
0 Reactions
18 Replies
4K Views
Liko Ruvu-darajani lifaa kwa ujenzi wa shule au kuchimba mabwawa ya samaki
0 Reactions
1 Replies
876 Views
Kiwanja cha ukubwa wa 18×16 kinauzwa Kipo Buswelu Nyamadoke Kimepimwa Bei ni milioni 1.5 Maongezi yapo Kwa Maelezo zaidi nifuate PM
0 Reactions
0 Replies
717 Views
Nauza kiwanja kwa bei nafuu sana kipo maeneo ya chanika standi daresalaam kina urefu wa nusu hekari. Hakina mgogoro, kina hati miliki zote kipo mjini kabsa namba zangu 0712268339 Karibu...
0 Reactions
1 Replies
871 Views
Nina viwanja 4 vyote vimepimwa kama Ramani inavyo onyesha katika picha Baadhi ya viwanja vina mabanda na kingine kina banda na kisima hivyo ni wewe kuchagua Hata ukitaka kimoja njoo uchukue na bei...
1 Reactions
40 Replies
7K Views
Heshima kwenu wakuu.
1 Reactions
0 Replies
896 Views
Habarini wadau, kuna eneo ambalo ni zuri kwa makazi maeneo ya dege kigamboni. Ni ukubwa wa mita 25 kwa 25. Bei ni milion tatu. Mwenye uhitaji serious anichek 0764503076. Umeme na maji yapo maeneo...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Mawasiliano ni 0714 77 55 66 0683 77 55 66 Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
0 Replies
994 Views
Thread has been deleted.
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Kipo Chanika mwisho eneo linaloitwa Gogo minazi mirefu. Urefu ni meter 42, upana meter 25. Gari inafika na imezungukwa na fensi za ukuta mbili za majirani. Bei ni million 5 kutoka Million 8...
1 Reactions
101 Replies
9K Views
Back
Top Bottom