Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Habari wana Jf. Bei ni 2.7mil maelewano yapo. Ukubwa ni mita15*15. Kilomita moja kutoka barabara ya lami ya Chanika(Kwa wenyeji wa Chanika ni jirani na pale kwa Mzelu(Chabupu) kwa miguu ni...
3 Reactions
25 Replies
4K Views
Kiwanza kinaunza Mahali: Kinzudi Ukubwa: 40*50m Bei:. Milion 65 (maongez yapo) Umeme na maji vipo hapo hapo NB: Kuna jengo la ghorofa moja ambalo kidogo lipo chini ya kiwango, ni uamuz...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Plot ina uzwa ipo Tabata Kinyerezi shule karibu na bank ya mkopo njia ya kwenda songasi,haufiki songasi,ukubwa ni ni miguu 25 kwa 25 bei ni tsh Milion 27 maongezi,pana foundation imara sana ina...
0 Reactions
0 Replies
727 Views
Plot for sale at mbezi beach B rifle range near roundabout 1372 square metres good for building apartments Price:250 million Contact:0673864333 :0688229888
1 Reactions
0 Replies
722 Views
HABARI WANA JF HUSIKA NA KICHA CHA HABARI HAPO JUU. KIWANJA KINAUZWA Maeneo ya Mwanagati karibu na shule ya Mzinga English Medium. Umbali wa kilometa 7 kutoka Banana ( Nyerere Road ). Eneo...
1 Reactions
27 Replies
7K Views
(1)KIWANJA KINAUZWA KIGAMBONI;KIPO KIBUGUMO;KIMEPAKANA NA SECONDARI YA KIDETE.Kiwanja hicho kina ukubwa wa ekari moja.Sio mbali kutoka barabara kubwa ya lami.Bei mil 40 tu.Mazungumzo yapo.Contacts...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja. Bei kuanzia tsh 1.5m tu Kwa taarifa zaidi piga...
0 Reactions
0 Replies
923 Views
Bestates Properties Call/Whatsapp: 0786157788 kinauzwa • TSh milioni 2.2 • Chanika Nyeburu B • kilomita 1 baada ya Zahanati ya Buyuni na kilomita 2 kutoka barabara kuu ya lami ina nyaraka toka...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Viko Mbezi Mpiji Magoe karibu na hospital ya mpiji Magoe vyote vinafikika kwa barabara Viko vya ukubwa mbalimbali kulingana na uhitaji wa mteja. Kwa taarifa zaidi piga 0715338989
0 Reactions
5 Replies
1K Views
VIWANJA VINAUZWA.VIWANJA VINAUZWA. VIWANJA VINAUZWA VIPO VIWILI KWA PAMOJA,KILA KIMOJA KINA UKUBWA WA MITA 16 KWA MITA 16. KIPO MAENEO YA CHANIKA SHULE MPYA YA KABAKARI. KILA KIMOJA KINAUZWA...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kiwanja UJAZO 645sqm kina Hati kipo Mbweni Mpiji mahali pazuri,maji umeme upo bei,35 m ,majadiliano yapo wahi kipo KAribu na shule ya kimataifa
1 Reactions
2 Replies
759 Views
Kiwanja kiko tegeta Madame kilomita 3 kutoka kiwanda cha twiga cement ukubwa 30×20 bei mil 12.
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Mashamba yanauzwa, yapo maeneo mawili tofaut Shamba la kwanza, lipo Mlandizi Makazi mapya, ukubwa wa heka tano, shamba lina miundo mbinu ya maji, kila baada ya mita 50 kuna bomba la maji...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Ukiwa na swali nicheki kwa namba 0712823601,nimeattach ramani ya kiwanja kilivokaa,huduma ya umeme na maji inapatikana.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wadau amani iwe Nanyi. Plot moshi inauzwa ipo Shia mjohoroni mbele kama una tokea kiborloni. Ukubwa: 1ekari 150mita kutoka barabara kuu ya Moshi~Dar BEI:50ml. hakuna udalali
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mimi ni mmiliki wa Kiwanja kilichopo Isaka kahama Barabara ya nne, Kiwanja ni kikubwa cha kutosha hakijapimwa ila kipo kwenye ramani hakina mashaka kuna vitu vifuatavyo kwenye kiwanja kisima cha...
1 Reactions
0 Replies
874 Views
Wadau habarini za asubuh. Nauza maeneo yangu yaliyoko dege jiran na "magorofa ya dege" kigambon. Viko viwili sehem moja na kila kimoja kina ukubwa wa mita 23*25. Viko kama mita 60 kutoka barabaran...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Chanika Mjini(Videte) 50Ft X 50Ft, Bei: 4.5M. Umeme na Maji hapo hapo. 0.6Kms kutoka Barabara ya Lami. 1.7Kms toka Chanika Stand. Pamepimwa kienyeji vizuri kwa Makazi Bora. Kiwanja #29 & #30...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza kiwanja kiko sehemu nzuri sana na bei ni nzuri square meter 2000 . Karibuni sana.
1 Reactions
43 Replies
4K Views
Nauza kiwanja eneo la kibada Block 7,kina ukubwa wa squremeter 1350 kimepakana na eneo la NSSF,Kimepimwa na kina hati,anae hitaji tafadhali ani PM au awasiliane kwa namba 0654274004.
0 Reactions
0 Replies
744 Views
Back
Top Bottom