Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Listing by: Bestates Properties +255786157788 Tunapenda kuwatangazia wananchi wote raia wa Tanzania, mwendelezo wa uuzaji viwanja kwa bei nafuu kwa kuzingatia viwango vya serikali. Hati...
2 Reactions
20 Replies
9K Views
BEI: 300,000,000/- Maongezi yapo kwa mhitaji MAHALI:TABATA RELINI(karibu na st.Mary chuo cha ualimu) UKUBWA: SQUARE M 1600 UHALALI:KINA HATI AMBAYO INALIPIWA KILA MWAKA Mhitaji anaweza kuja PM...
1 Reactions
1 Replies
722 Views
Ukubwa wake ni 30×20 kiko barabarani umeme maji vipo. Bei mil 12. Mawasiliano
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Eneo linauzwa mbezi beach barabara ya white sand jirani na shule ya English medium ya Elite eneo lina fance na nyumba ya nyumba vitatu Umeme na maji tayari limepimwa na lina hati ukubwa 4500sq m...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa Ukubwa 32*32 Kipo Dar es salaam eneo la kinyerezi_Kifuru(hali ya hewa) Umeme na barabara vipo Bei: Tsh.15million maelewano yapo. Dalali haitajiki Mawasiliano: +255712264469...
1 Reactions
4 Replies
979 Views
Wakuu kiwanja kinauzwa Mbezi kwa Msumi. Ukubwa ni 20 kwa 20. Bei, kinaanzia milioni 5 (kwa mnunuaji mazungumzo yatazingatiwa) Kiwanja kipo eneo tambarare na kipo jirani kabisa na barabara,pia...
0 Reactions
0 Replies
846 Views
Karibuni nauza kiwanja Mikocheni "B" Kina ukubwa Wa 750SQM BEI 400M Karibuni sana 0715011022
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kiwanja kinauzwa madale 2450sqm kwa Tsh 40 milioni.. Pamejengeka vizuri sana na Huduma zote muhimu zipo Bei haina maongezi Call 0689315582
0 Reactions
0 Replies
713 Views
MAHALI: Kisarawe Km 35 toka Airport UKUBWA: Heka 17 SIFA: Lina Hati , kuna Nyumba kubwa Pia Kuna Mazao Kama Mitiki, Michungwa,Mikaratusi Bei: Tsh Milioni 800 aliyesirias Anakaribishwa kuliona Pi...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Habari wa ndugu Nauza kiwanja kipo Tabata - Bonyokwa kisiwani karibu kabisa na shule ya Mesodonia, upande mmoja kinapakana na barabara ya Ole Meikoki inayoelekea chuo cha Masanja. Kina ukubwa...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Viwanja vipo Mkuranga mjini.Ni dakika30 kutoka Mbagala,na nauli ni elf moja tu kwa daladala,na ni kama km30 au zaidi kidogo kutoka Mbagala. Eneo lipo mita500 kutoka barabara kuu ya lami.Eneo ni...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 70m*70m . Bei 13 ml. 0753101293
0 Reactions
4 Replies
960 Views
Kuna viwanja vinauzwa Chanika zingiziwa 20x20 vipo eneo zuri mkabala na zahanati ya serikali kiasi kwamba vinafaa hata kujenga kitega uchumi kwa wanaoelewa fursa zipatikanazo maene jirani na...
0 Reactions
4 Replies
727 Views
Kipo Tegeta-Madale Dar es salaam. Karibu na Flamingo. Kina ukubwa wa mita 20×25. Msingi wa vyumba 3. Vyoo vya ndani 2, sitting & dining rooms. Mawasiliano:- 0788886038.
1 Reactions
19 Replies
4K Views
Viwanja hivi vipo Msalato njia ya Kondoa - Arusha kimoja kina ukubwa wa zaidi ua eka moja na ramani ya mchoro tayari imeshapitishwa na Mamlaka husika Viwanja vingine vipo Nala Mizani njia ya...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Lipo Mkuranga , bungo karibu na kibiti km 7 toka barabara ya lami , kilimo cha umwagiliaji ni rahisi kwani maji hayako mbali simu: 07182 95 182 Bango
0 Reactions
2 Replies
816 Views
Kipo kibaha kwa mfipa. Ni 23x20. Bei ni milion 6. Ukihitaj ni pm.
0 Reactions
0 Replies
734 Views
Square Feet/Meters: 164,042 ft2/50,000 m2/12 acres Zaidi ya viwanja 50 vinauzwa Kigamboni Mwasonga,Karibu na Mradi wa Real Madrid soccer Academy na Nssf. Umeme na maji vipo. Bei ni tsh 10,000 kwa...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kiwanja kinauzwa kipo Kinyerezi Kibaga ukubwa wa 35m kwa 45m kipo kando ya barabara ya lami kuekuelekea mitambo ya gesi mita 20. Bei tsh mil 25 mazungumzo yapo. Piga simu 0754/0715 472414
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Viwanja vinauzwa kiluvya (vimepimwa) Bei kwa kila square mita ni 8000 Tshs Kwa mawasiliano zaidi piga namba 0712252525
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom