Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kiwanja kinauzwa kiko Mbezi Msakuzi. Ukubwa Ni "17-20" bei Sh mil. 7. Karibu Sana. Umeme upo karibu mno. Wasiliana Na mwenye no: 0719031549. Bei inaweza kupungua kidogo. Gari inafika hadi getini...
0 Reactions
0 Replies
786 Views
Kuna square meter 955 na 1200 na 2000 na 3000 na 4990 kila square meter moja ni tsh 14,000 tu. Pia kuna square meter 803 kwa tsh 17,000. Eneo ni Katikati ya Mwongozo nyuma ya utumishi housing na...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
Nahitaji kilichopimwa, kiwe Nkuhungu, Kisasa ama irazo au sehem yoyote za jirani na zenye makazi sio viwanja vipya.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ukubwa wa kiwanja ni 700Mita za Mraba. Kiwanja kipo eneo la Makazi, hakijapimwa, unaruhusiwa kuleta Mtafiti wa ardhi kukiangalia kimekaaje. Kiwanja kipo eneo zuri, barabara ni nzuri hadi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza kiwanja changu maeneo ya lugwadu chenye ukubwa wa mita 20 kwa 20 bei maelewano hakijapimwa kwa anaehitaji anichek kwenye namba hizi 0688246998, 0675953263
0 Reactions
1 Replies
678 Views
Habari za asubuhi ndugu zangu wa Jamii forums, natumaini kwa kudra za mwenyezi Mungu wote ni wazima wa afya. Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza kiwanja cha heka 4 kinauzwa kipo Madale...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kiwanja Dodoma mjini. Kisasa, Nkuhungu au Ilazo. Kinahitajika, taja bei na eneo.
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja flat 20m X 40m kinauzwa 7m Kipo kivule Dar es salaam
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Habari za leo? Kuna viwanja viwili vyenye ukubwa wa futi 50X80,umbali ni kama dakika 25 kutembea kwa mguu toka kituo cha daladala Pongwe,dakika 8 kwa bodaboda(malipo ni elfu moja) Mnunuzi...
1 Reactions
28 Replies
8K Views
Viwanja vinauzwa,kimoja changu kiko vikindu 50ft kwa 100ft bei m5,na kingine cha rafiki yangu kiko vianzi 20m kwa 30m bei 4m kwa atakayehitaji 0654879476 thaman ya ardhi inapanda kila siku...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Nauza Kiwanja maeneo ya airport ilemela-mwanza. Ukubwa 30m*27m (sqm 810). Bei 1.8 ml. 0753101293
1 Reactions
2 Replies
701 Views
Eneo lililopimwa lenye ukubwa wa 6acres lililo kandokando ya barabara ya lami (morogoro road) linauzwa.. Sehemu eneo lilipo: Kiluvya. Bei: Tsh 600milion. Contact: 0689315582
0 Reactions
6 Replies
1K Views
kuna viwanja kinauzwa maeneo ya mbezi Luis DAR Cha kwanza ni 30*30 milioni 22 kimepimwa na kina ati miliki Cha pili ni 25*30 milioni 17 kimepimwa na kina ati miliki Cha tatu ni 20*22 milioni 7...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Ukubwa kuanzia Mita 20x20 bei kuanzia 4.5milion pungufu mnaongea, viko eneo la makazi sehemu nzuri, umeme upo, maji yapo na barabara nzuri. Kwa taarifa zaidi piga#0653367580
0 Reactions
1 Replies
872 Views
Uwanja una uzio na frem zipo mbele uwanja upo boko unauzwa bei ya kutupa kabisaaaa. barabara ninzuripaka kwenye kiwanja uwanja huu mwenyewe amekata eneo lake anauza nayeye yupo hapo hapo una sqm...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kiwanja Hiki Kipo Eneo La Wazo-hill Katika Wilaya Ya K'nondoni Mkoa Wa Dar Es Salaam, Kiwanja Ni Tambalale Na Kina Nyaraka Zote Za Umiliki Pia Tayari Kina Nyumba Ya Kuishi Ya Vyumba 3 Na Sebure...
0 Reactions
0 Replies
839 Views
KIWANJA kinauzwa kwenje mji mdogo wa chalinze.Kipo pembezoni kabisa na morogoro road. Ukubwa:robo heka Bei:100mill Maelewano yapo Mawasiliano:0652324449 Madali wastaarabu ruksa
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Eneo la hekari 2 lipo kijiji cha Cheta, kata ya Kazole wilaya Mkuranga mkoa wa Pwani, ni 8km kutokea Vikindu getini kwenye barabara ya rami linauzwa kwa Tsh. 10millions kila hekari moja. kwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kiwanja hiki kipo eneo la wazo hill katika wilaya ya k'ndoni, Dar Es Salaam Kiwanja Kipo Tambalale Pia Tayari Kina Nyumba Ya Kuishi Ya Vyumba 3 Na Sebure, Kipo Karibu Na Barabara Ya Kwenda Madale...
0 Reactions
0 Replies
872 Views
Kipo barabara ya Goba, ukitokea mbezi ya kimara ni 2.5km na kutoka barabara ya lami ni mita kama 150. Barabara ni lami. Ukubwa ni 22m kwa 22m, kina banda kwa nyuma kama servant quarter flanan...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Back
Top Bottom