Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nauza Plot TABATA segerea eneo halijapimwa lina ukubwa wa sq metre 589 urefu 27 upana upande mmoja ina 18 mwingine 22 bei ni 20 million mazungumzo yapo umbali toka kituo cha daladala hadi kwenye...
0 Reactions
2 Replies
763 Views
Wakuu hodi humu ndani..nauza kiwanja mbezi makabe ni kizuri tambarare ukubwa wake ni 20* 20 bei poa.. Samahani sina picha zake nilipoteza simu na picha zote lkn ni kizuri kama mtu anauhitaji wa...
0 Reactions
0 Replies
694 Views
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
0 Reactions
6 Replies
812 Views
Kiwanja kipo Mbezi Malamba mawili, njia ya kwenda kinyerezi. Ukubwa wa 520 sqm Bei ni 12,000,000 Malipo ni cash Umeme na barabara ni hapo hapo Kinafaa kwa matumizi ya makazi na biashara kwani...
0 Reactions
0 Replies
603 Views
Goodmorning... Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza viwanja vyangu viwili ambavyo vyote vipo wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam. Kiwanja kimoja kipo kata ya Goba ambacho ukubwa...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kiwanja kidogo kinauzwa Bulola, Buswelu, Mwanza. - Kipo karibu na St. Helen English Medium Primary School. Kabla ya kuingia centre ya Buswelu. - Vipimo: 12x26m. - Documents zote za jiji zipo. -...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wasalaam wana JF Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma. Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wana JF, Kuna viwanja vinauzwa eneo la Kimara Kibamba. Ramani ya viwanja husika imeambatanishwa hapa chini. Kila kiwanja kinachoonekana ni TZS 4,000,000/= (milioni nne tu). Nafasi ya majadiliano...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Shamba linauzwa Kigamboni, liko Mwasonga ekari 6. Km 18 kutoka Kibada au Km 21 kutoka dara jipya. Shamba liko barabarani, barabara kubwa ya TANROADS karibu na kinapojengwa chuo cha kilimo. Shamba...
1 Reactions
0 Replies
834 Views
Eneo la hekari 53 lenye hati, liko bunju kialaka 1.8 km toka barabara ya bagamoyo kona ya kuingilia Lord Baden powell/Efatha seminary secondary school. Eneo lina hati ya jumla na sasa liko kwenye...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe, Miti iliyopandwa ni aina ya pine, Ina umri wa miaka miwili Zipo ekari hamsini, Bei ni million 20 zinauzwa pamoja na ardhi Kwa mahitaji wasiliana nami...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
Viwanja vinauzwa viko Mbezi Makabe Njia Panda . Ukubwa Ni "20-20" bei Sh mil.10. Vimepimwa kisasa. Umeme upo karibu mno. Wasiliana Na mwenye no: 0714486466.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habar wanaJF kinauzwa ni pm kwa maelezo zaidi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nauza viwanja vilivyopimwa viko kigamboni mbele ya kimbiji sehemu inaitwa yaleyale puna..tunauza kwa sq meter... sqm1 ni sh 9000 tunakupatia na hati yako..viwanja viko karibu kabisa na bahari in...
1 Reactions
24 Replies
6K Views
Two surveyed plots with title deeds (1) 5,115 sqm (2) 9,199 sqm. Good access road off the Dar es Salaam-Mtwara Highway. No middlemen required. Only interested buyers should in-box me.
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kiwanja kipo Umbali wa Mita 300 kutoka Barabara Kuu( Bagamoyo Road) Kiwanja Kimepimwa na kina hati. Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1200 Bei ni Tshs Milioni 250 Tuwasiliane: 0713226191 au...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Ipo mtaaa wa muhoro na jangwani bei ni maelewano document zote zipo mwenye interest please ni inbox ili tuweze kufanya mawasiliano
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kiwanja kipo barabara ya Mwanza karibu na mizani. Bei ni 3.5ml kwa eka ila inaongeleka. Wasiliana nae 0752959836
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom