Nina Viwanja vilivopimwa na venye hati maeneo ya Kibaha Bagamoyo na Kigamboni kama unahitaji nicheki 0718161656 au nifollow kwenye mitandao ya kijamii @dalalimsomi [emoji65]
Viwanja vinapatikana kigogo fresh maeneo ya pugu karibu na kwa waziri mkuu mstaafu mizengo pinda.ukubwa ni miguu 20x20 bei milioni tatu tu.nb umeme upo.mawasiliano 0755221899
Nauza Plot TABATA segerea eneo halijapimwa lina ukubwa wa sq metre 589 urefu 27 upana upande mmoja ina 18 mwingine 22 bei ni 20 million mazungumzo yapo umbali toka kituo cha daladala hadi kwenye...
Wakuu hodi humu ndani..nauza kiwanja mbezi makabe ni kizuri tambarare ukubwa wake ni 20* 20 bei poa..
Samahani sina picha zake nilipoteza simu na picha zote lkn ni kizuri kama mtu anauhitaji wa...
Habari... Jamani nina viwanja na shamba maeneo ya mkuranga nauza kwa bei nafuu,, au kama kuna madalali wanaweza kunisaidia naitaji msaada wenu pia mawasiliano 0716927850
Kiwanja kipo Mbezi Malamba mawili, njia ya kwenda kinyerezi.
Ukubwa wa 520 sqm
Bei ni 12,000,000
Malipo ni cash
Umeme na barabara ni hapo hapo
Kinafaa kwa matumizi ya makazi na biashara kwani...
Goodmorning...
Kama Tangazo linavyojieleza hapo juu, nauza viwanja vyangu viwili ambavyo vyote vipo wilaya ya Kinondoni mkoa wa Dar es salaam.
Kiwanja kimoja kipo kata ya Goba ambacho ukubwa...
Kiwanja kidogo kinauzwa Bulola, Buswelu, Mwanza.
- Kipo karibu na St. Helen English Medium Primary School. Kabla ya kuingia centre ya Buswelu.
- Vipimo: 12x26m.
- Documents zote za jiji zipo.
-...
Wasalaam wana JF
Kwa heshima na taadhima napenda kuwafahamisha kwamba ninauza shamba langu lililopo eneo la Ihumwa katika manispaa ya Dodoma.
Mwenyewe nina heka kadhaa katika eneo hilo, hivyo...
Wana JF,
Kuna viwanja vinauzwa eneo la Kimara Kibamba.
Ramani ya viwanja husika imeambatanishwa hapa chini.
Kila kiwanja kinachoonekana ni TZS 4,000,000/= (milioni nne tu).
Nafasi ya majadiliano...
Shamba linauzwa Kigamboni, liko Mwasonga ekari 6. Km 18 kutoka Kibada au Km 21 kutoka dara jipya. Shamba liko barabarani, barabara kubwa ya TANROADS karibu na kinapojengwa chuo cha kilimo.
Shamba...
Eneo la hekari 53 lenye hati, liko bunju kialaka 1.8 km toka barabara ya bagamoyo kona ya kuingilia Lord Baden powell/Efatha seminary secondary school.
Eneo lina hati ya jumla na sasa liko kwenye...
Lipo ktk tarafa ya Lupembe mkoani njombe,
Miti iliyopandwa ni aina ya pine, Ina umri wa miaka miwili
Zipo ekari hamsini, Bei ni million 20 zinauzwa pamoja na ardhi
Kwa mahitaji wasiliana nami...
Viwanja vinauzwa viko Mbezi Makabe Njia Panda . Ukubwa Ni "20-20" bei Sh mil.10. Vimepimwa kisasa.
Umeme upo karibu mno.
Wasiliana Na mwenye no: 0714486466.
nauza viwanja vilivyopimwa viko kigamboni mbele ya kimbiji sehemu inaitwa yaleyale puna..tunauza kwa sq meter... sqm1 ni sh 9000 tunakupatia na hati yako..viwanja viko karibu kabisa na bahari in...
Two surveyed plots with title deeds
(1) 5,115 sqm (2) 9,199 sqm.
Good access road off the Dar es Salaam-Mtwara Highway.
No middlemen required.
Only interested buyers should in-box me.
Kiwanja kipo Umbali wa Mita 300 kutoka Barabara Kuu( Bagamoyo Road)
Kiwanja Kimepimwa na kina hati.
Ukubwa wa kiwanja ni Mita za Mraba 1200
Bei ni Tshs Milioni 250
Tuwasiliane: 0713226191 au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.