2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

Marekani, Israel, USA, Russia, China hawa wote pamaoja na kutengeneza bado wananunua silaha.
 
Inaonekana hujui mambo mengi ya ukanda huu. Uzuri kwa sasa taarifa ni nyingi fuatilia ujue ni kwa nini.

Nenda pia kasikilize hotuba ya Rais wa Burundi Ndayishimiye aliyoitoa juzi akiwa anahutubia mabalozi Bujumbura.
Burundi kwanza inatakiwa iunganishwe na Rwanda itawaliwe kutokea Kigali, umaskini ni mkubwa sana Burundi.
 
Jeshi lenu ni weak sana kwa JWTZ.
 
Burundi kwanza inatakiwa iunganishwe na Rwanda itawaliwe kutokea Kigali, umaskini ni mkubwa sana Burundi.
Unaona sasa. Hili ndilo tatizo lenu Rwanda, Hamtaweza kuitawala Burundi ikiwa JWTZ ipo na ni imara. Burundi ni jirani wa kimkakati kwa Tanzania.
 
Acha uoga, total war is coming, mnaleta ukoloni wa kishamba this time m23 wanapotezwa kwenye historia ya dunia

Peace is a cost.
 
Unaona sasa. Hili ndilo tatizo lenu Rwanda, Hamtaweza kuitawala Burundi ikiwa JWTZ ipo na ni imara. Burundi ni jirani wa kimkakati kwa Tanzania.
Burundi ina faida au msaada gani kimkakati kwa Tanzania?
 
Unajiandikia tu km huna kichwa...
Deep states haziendeshwi hivyo duniani pote. Ukiona majaribio ya mapinduzi yanafeli basi hayo ni maandalizi ya kuingia mapinduzi kamili, ref. Syria.
Unataka kunambia JWTZ ni bora kuliko RDF?. Kwa sasa Rwanda ni nchi yenye intelejensia kali kuliko nchi yoyote Central & East Africa na mbaya zaidi imeweka watu wake katika kila serikali kwenye sekta za maamuzi... Anzia ikulu ya Samia, TISS, JWTZ, JKT, POLICE, mashirika yote muhimu yote ya umma pote huko kuna wanyarwanda kibao wamejazana.
We kuweza Rwanda na JWTZ yako?
 
Acha uoga, total war is coming, mnaleta ukoloni wa kishamba this time m23 wanapotezwa kwenye historia ya dunia

Peace is a cost.
European union, U.SA kila mwaka wanatenga bajeti ya kufadhili M23 kupitia Rwanda.
Umeandika nn sasa?
 
Uongo huumbuliwa na facts, France ni mmoja wa maadui wakubwa wa Rwanda. Uongo huu unayabainisha yote uliyoyaandika kuwa null and void.
 
Marekani, Israel, USA, Russia, China hawa wote pamaoja na kutengeneza bado wananunua silaha.

Wananunua silaha ndogo ndogo, zile sophisticated zinazohitaji high tech na kwa ajili ya kuamua vita huwa wanatengeneza mwenyewe.
 
Tulia ,kamuulize Rais wako kagame.

Na Jiulize juzi ktk speech yake kwenu kwa nini alikwepa kutamka Tanzania ,akaishia kulaumu South africa.
Inawezekana ni kwasababu TZ hakuna mahala tumefanya kitu, maana rais wetu hajatoa tamko lolote lile juu ya kinachoendea Drc, sasa ulitaka aitaje Tz kwa lipi??
 
RDF na Rwanda ni weak sana kwa JWTZ Tanzania.

Endelea kujifurahisha na hizo propaganda zenu.

Tanzania hatuna ukabila hata Raia halali wa Tanzania mwenye asili ya Rwanda ana haki ya kuhudumu taaisisi yeyote Tanzania.

Kwa sasa mpango uliopo ni kupitisha operesheni ya kuwaondoa wahamiaji haramu wote ni kuwarudisha nchini kwao, mikoa itakayoanza ni Kigoma, Geita, Katavi, Kagera.

Kwahiyo sisi Tanzania hatuwezi kuwabagua Wanyarwanda ila wale ambao hawana uhalali wowote wa kuishi Tanzania watarudishwa.

Hamna ambacho Rwanda yaweza kufanya Tanzania isijue.
 
Kama Congo inataka vita iishe....iwatangaze wanyamlenge ni Wacongo. Waited waasi ikae nao chini.

Wakikataa basi nchi zingine Zitoe msaada wa Kavita. Ninaamini namna bora ya kushinda vita ni kuanza na amani kwanza.
 
Hawa watoto wa elfu 2 hawajui kitu. Huyo mwenetu tumemuonyesha njia hiyo amekulia hapa hapa na akipata shida break ya kwanza ni hapa ndio kwao.Madogo hawajui historia wanapotezwa na hizi PROPAGANDA ambazo tumewafunza sisi🤗🤗🤗
Kagame kakulia Uganda, japo sawa ame train hapa, ila ni mwenyeji wa Uganda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…