Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Kwa msaada wa policeHabarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Hata sasa ndani ya Bunge, Wa CCM ni wengi kuliko upinzani, Je kuna tija yoyote?
Sana naona vichekesho,Mipasho na Sifa kwa Mwenyekiti wao, nini cha ziada Wataleta 100% Wakiwa Wabunge CCM!
Hoja zote za Maana na Kufikirisha zinatolewa na Wabunge wa Upinzani.
Kwa msaada wa police
Kaliuwa tabora kwa yule mke wa prof lipumb*uu muunga mkono wa kila hojaHii habari ina ukweli fulani hivi...kama waliweza kwa goli la mkono....je kwa mtutu wa bunduki si majimbo yote yanabebwa tu....labda lile moja alilosema Polepole hata sijui alimaanisha jimbo la nani.
Nikusahihishe Mkuu.Kwa hiyo Serikali inafanya kazi kwa kusikiliza hoja za wabunge wa upinzani?
Nikusahihishe Mkuu.
Serikali imeshindwa kuleta Maisha bora kwa Watanzania kwa kutosikiliza na kufanyia kazi Ushauri wa Wabunge wa Upinzani.
Kwa nijuavyo Mimi mtu hawezi kuzungumza Jambo pasi na kulifanyia utafiti kinyume chake Ni kujidanganya.Nafikiri mbali Kama watanzania wataamua kipa ccm ushindi wa kishindo hayo Ni maamuzi yao na dunia haitashangaa hata kidogo kwa kuwa dunia kwa Sasa inakimbia kuelekea mapinduzi makubwa ya kiteknolojia na si nani ameshinda kwa asilimia ngapi.Sote tumeshuhudia kile kilichoitwa uzalendo wa kiongozi aliyepo madarakani mwisho wake Ni udikteta uliokithiri.Ccm ikishinda kwa asilimia 100 hakutakuwa na jipya lolote kwa faida ya nchi kwa kuwa hakutakuwa na upinzani na ikumbukwe kuwa mtu hawezi kujikimbiza mwenyewe then akajisifu kuwa Ni mshindi.Habarini wanajamvi....
Nionavyo Mimi namna JPM anavyofanya kazi huku wananchi wakimuunga mkono kwa 100% sina shaka kuwa hatakuwepo Mbunge yeyote yule toka chama pinzani 2020,
Wananchi hawako tayari kuwachagua Hata kidogo ni mwendo wa kuchagua CCM 2020 hatutaki kelele
Mkuu utajichanganya tu, CCM haitaweza sababu imeshindwa hayo yote kwa awamu zote 5.Huwezi kuleta maendeleo kwa kila mwananchi unachotakiwa kufanya unaleta maendeleo ya jumla,
Hata ukiwa Baba wa Familia huwezi ukawaletea watoto maisha bora utakachofanya ni unawapa elimu bora,halafu waje watafute maendeleo mwenywe...
Kwa hiyo tunaboresha miundombinu kwanza halafu mengine mazuri yatakuja...
Ushauri wa wabunge wa upinzani wakati hawana hata ofisi maalum ya chama Taifa?
Muda mwingine muwe mnakaa kimya...
Onyesheni mfano kwanza kwa kujenga ofisi ya chama....
Mkuu utajichanganya tu, CCM haitaweza sababu imeshindwa hayo yote kwa awamu zote 5.
sasa umehamia kwenye mada ya Ofisi za chama π
Hivi tu wanapanga ofisi mnazuia wasifanye siasa, na Bungeni hamuwawezi kwa hoja.
Hivi tu hawana ofisi mnaiba kura na kuwafunga.
Siku wakijenga ofisi si mtakimbia Nchi !π
Kwa nijuavyo Mimi mtu hawezi kuzungumza Jambo pasi na kulifanyia utafiti kinyume chake Ni kujidanganya.Nafikiri mbali Kama watanzania wataamua kipa ccm ushindi wa kishindo hayo Ni maamuzi yao na dunia haitashangaa hata kidogo kwa kuwa dunia kwa Sasa inakimbia kuelekea mapinduzi makubwa ya kiteknolojia na si nani ameshinda kwa asilimia ngapi.Sote tumeshuhudia kile kilichoitwa uzalendo wa kiongozi aliyepo madarakani mwisho wake Ni udikteta uliokithiri.Ccm ikishinda kwa asilimia 100 hakutakuwa na jipya lolote kwa faida ya nchi kwa kuwa hakutakuwa na upinzani na ikumbukwe kuwa mtu hawezi kujikimbiza mwenyewe then akajisifu kuwa Ni mshindi.
Mkuu natamani ningeyafurahia kama wewe, ila kwangu Maendeleo ni zaidi ya hivyo unavyosifia awamu hii.Mkijiletea maendeleo ninyi mwenywe tutajua kuwa mna nia ya dhati kabisa,
Awamu nne imeshindwa lkn awamu hii ya tano ni kiboko,tatizo hamtembei mmejifungia ndani na kuleta ubishi huku mtandaoni tembea Tanzania uone mambo yanayofanyika Mkuu..
Usijitoe ufahamuPolisi wapo kulinda Amani na properties za Raia,
CCM chama kikongwe ije itegemee polisi kwenye uchaguzi?
Ukiwa ni mzalendo wa kweli wa taifa lako, hautajali kutukanwa, kusimangwa, kukashifiwa, kudhalilishwa na hata kutengwa na kuonekana an enemy of the people kwa ajili ya kuusema ukweli mchungu, watu wasiopenda kuusikia, kwa sababu siku zote nabii huwa hakubaliki kwao, hata Masiya alisulubishwa na watu wake na ni kuteswa kwake, sisi tuliponywa, hivyo ni ukweli kama huu ndio utalisaidia taifa letu.
Kupata maendeleo ya kweli, Watanzania ni lazima tujifunze kuukubali ukweli!. Hili la CCM kutawala milele ni kweli!.
Wanabodi, Leo tena naendelea na zile Makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Topic yangu ya leo ni kutuhusu sisi Watanzania, ili tupate maendeleo ya kweli, ni lazima tujifunze kuupokea na kuubali ukweli halisi ulipo, ukweli bayana, hata huo ukweli ukiwa mchungu vipi, ukweli ni ukweli tuu, na siku...www.jamiiforums.com
Swali la Ukweli Mchungu: Je, 2020 Magufuli ana mpinzani au mshindani, au ni Magufuli tu?
Wanabodi, Hili ni bandiko la swali, kwa uchaguzi wa 2020, kwa mujibu wa utaratibu wao CCM, tayari tunaye mgombea wa urais ni Dr. John Pombe Joseph Magufuli. Swali la kujiuliza kwa huu upinzani uliopo Tanzania kwa sasa, jee kwa uchaguzi wa 2020 mgombea wa CCM, Dr. John Pombe Joseph Magufuli ana...www.jamiiforums.com
Wanaohamia CCM wasibezwe! Wanaona mbali, 2020 Majimbo yote kurejeshwa. Je, tunarejea nchi ya chama kimoja?
Wanabodi. Hili ni bandiko la swali kuhusu Trend Reading. Wanaohamia CCM Wasibezwe, Wanaona Mbali, 2020 Majimbo Yote Kurejeshwa?, Jee Tunarejea Kuwa Nchi Chama Kimoja? Trend reading sio utabiri, bali ni matumizi ya analitical na logical thinking kwa kila jambo lililofanyika huangalii tuu hilo...www.jamiiforums.com
Hoja zote hizi ni hoja chungu lakini ndio ukweli wenyewe na mimi sitaacha kuusema ukweli hata uwe mchungu vipi, bila kujali ukweli huu utamfurahisha nani na utamuudhi nani as long as ni ukweli.
P
Wasiosoma upuuzi, hata post hachangii.Nani atasoma huu upuuzi wako!? π³π³π³
Teuzi imegoma endelea kujikomba.
Wasiosoma upuuzi, hata post hachangii.
Nakutakia Jumamosi njema.
P
Wasiosoma upuuzi, hata post hachangii.
Nakutakia Jumamosi njema.
P
Kwa mazingira tuliyonayo hayaoneshi Kama kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.Kinachofanyika Sasa nchini Ni Kama kufanya riadha isiyo na pa kuanzia Wala sehemu ya kuishia,hakuna mwamuzi anayeweza kutenda haki na ndiyo maana watu wengi wanafikiri kwa hakika kuwa JPM atashinda kwa kishindo si kwa sababu anakubalika na watu wote la hasha Bali mazingira ya uchaguzi wenyewe yanambeba.Kutakuwa kuna uchaguzi Mkuu huru na wa haki sasa JPM akiwabwaga wote kwanini asijisifu?
Yaan kwenye nafasi ya urais watokee 10 halafu mmoja aibuke kidedea kwenye hao 10 kwanini asijisifu?