2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Afadhali rafiki.

Mie nilikimbiaga hili somo. 😂😂😂
Sie tulikua na Monsieur mmoja alikua mnoko sio kidogo ni alitucharaza mijeredi hatari afu alikua anashika fimbo dabo Alooooooohh utake usitake utalisoma tu😂
 
Kabisa Mkuu.

Na ni vile tu Morocco anacheza na South Africa ambaye huwa simuelewagi nje ya hapo nao tungekuwa na uhakika kuwa kesho wanasepa tunabakia wenyewe.
Team zangu ni mbili Super Eagles Nigeria na Bafanabafana south Africa... Nawakubali maana kikosi chao chote ni mamelod sundown wazee wa kazi chafu... Natarajia baadae watanitolea hao waarabu

Japo kombe ni la Senegal😄
 
Team zangu ni mbili Super Eagles Nigeria na Bafanabafana south Africa... Nawakubali maana kikosi chao chote ni mamelod sundown wazee wa kazi chafu... Natarajia baadae watanitolea hao waarabu

Japo kombe ni la Senegal😄
Nimecheka sana Mkuu ulivyoshangaa.

Nikajua lazima we utakuwa ni team Sauzi. 🤣🤣🤣
 
Team zangu ni mbili Super Eagles Nigeria na Bafanabafana south Africa... Nawakubali maana kikosi chao chote ni mamelod sundown wazee wa kazi chafu... Natarajia baadae watanitolea hao waarabu

Japo kombe ni la Senegal😄
Hahahaaa. Umenikumbusha kitu Mkuu baada ya kuitaja Mamelody ujue mie siku zote najua Shalulile ni MSouth Africa nilikuja kushangaa kumbe ni mNamibia. Lol.
 
Team zangu ni mbili Super Eagles Nigeria na Bafanabafana south Africa... Nawakubali maana kikosi chao chote ni mamelod sundown wazee wa kazi chafu... Natarajia baadae watanitolea hao waarabu

Japo kombe ni la Senegal😄
Nawatakia kila la kheri japo kiukweli kwa Timu zilizobakia sasa mpira upo Morocco na Senegal tu kwa upande wangu na Nigeria kwa mbaali.

Hawa wengine sijawahi kuwaelewa mpira wao.

Hivyo kesho Bafana bafana mujipange hasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…