2024 Africa Cup Of Nations (AFCON) | Special Thread. Mechi ya fainali, FT: Nigeria 1 - 2 Ivory Coast. Ivory coast abeba ubingwa. 11.02. 2024

Yaani ile game yao na South Africa ujue nilimshangaa hata sikuamini.

Halafu nilivyo mjinga nikaona kama hajaendana na ile timu eti. [emoji23][emoji23]
Ni kweli hajaendana nayo kabisa, katika timu yao niliona ni Shalulile tu na yule Hotto wa Orlando Pirates ndio walikuwa wanajitahidi kupambana wafunge sema wenzao ndio walikuwa wanawaangusha, kwenye hizi timu za taifa magarasa mengi sana ukifuatilia wengi ni wale wanaochezea club ndogo na league ndogo wanaochezea club kubwa na league kubwa wanahesabika
 
Haya jamani, leo mapemaaaaa nataja timu zangu.
Mauritania japo nina wasiwasi na Senegal ambao ni uhakika.
Hahaha hapo kwa Mauritania unaweza ukaanza tu kuhesabu maumivu mapema, furaha utaipata hapo kwa Senegali, mimi leo niko na "The Blue Sharks" Cabo Verde na "The Lions of Teranga" Senegal [emoji4][emoji4]
 
haya ndugu zangu wabantu, tumebakiza mwarabu mmoja tu ambaye ni morocco.

siku ya game tuungane wote kwa pamoja kusapoti south.

nauliza Morocco tumfanye niniiiiiiiiiiii?

Jipe moyo tu, wale ni world class atapigwa mpaka basi
😭😭

Poti vipi tena! Unajiliza nini wakati mmeshinda!
 

Japo Nipo upande wa Mauritania, ilaa ni ngumu kupita kwa verde

Senegal na codivo ni mechi ngumu, yeyote anaweza kupita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…